Sigimundi Gorazdowski

Sigimundi Gorazdowski (kwa Kipolandi: Zygmunt; Sanok, Podkarpackie, Austria-Hungaria, leo nchini Polandi, 1 Novemba 1845 – Lwów, leo nchini Ukraina, 1 Januari 1920) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki, mwanzilishi wa shirika la Masista wa Mt. Yosefu.[1][2]
Utotoni Gorazdowski aliugua TB hivi ilimbidi asubiri apone kabisa kabla hajapewa upadirisho.[2]
Baadaye alifanya kazi katika parokia mbalimbali akianzisha kwa huruma kubwa nyumba kwa mayatima, wasichana wenye watoto na wahitaji wengineo. Pia aliandika katekisimu na vitabu vingine vya dini kwa watu wake na kutetea uhai wa wasio na sauti.[3][4][5]
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri huko Ukraine tarehe 26 Juni 2001. Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 23 Oktoba 2005 huko Vatikano.[4]
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Saint Zygmunt Gorazdowski. Saints SQPN (31 December 2016). Retrieved on 4 April 2017.
- 1 2 St. Zygmunt has a Cheap Eating House. The Compass (7 January 2010). Retrieved on 4 April 2017.
- ↑ Saint of the Month. Spirituality for Today (June 2015). Retrieved on 4 April 2017.
- 1 2 San Sigismund Gorazdowski. Santi e Beati. Retrieved on 4 April 2017.
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |