Poto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Perodicticinae)
Poto
Poto wa kawaida (Perodicticus potto)
Poto wa kawaida (Perodicticus potto)
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Strepsirrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na lemuri)
Oda ya chini: Lorisiformes (Wanyama kama poto)
Familia: Lorisidae (Wanyama walio na mnasaba na poto]]
Gray, 1821
Nusufamilia: Perodicticinae
Gray, 1870
Ngazi za chini

Jenasi 3:
Arctocebus Gray, 1863
Perodicticus Bennett, 1831
Pseudopotto Schwartz, 1996

Poto au koni ni wanyama wadogo wa nusufamilia Perodicticinae katika familia Lorisidae. Wamo miongoni mwa wanyama wa asili wa jamaa ya binadamu. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara. Wanaishi mitini kwa misitu ya mvua ya Afrika ya Magharibi na ya Kati, na wanateremka chini kwa nadra. Hukiakia usiku na hulala mchana katikati ya majani. Kwa hivyo wana macho makubwa ili kuona vizuri kwa giza. Mkia ni mfupi na haupo takriban kwa spishi za Arctocebus. Manyoya yao ni mazito kama sufu yenye rangi ya kijivu, ya kahawa au ya dhahabu. Huenda polepole sana. Wana kucha kama zile za watu, isipokuwa ule wa kidole cha pili cha miguu ambao ni mrefu wenye ncha kali na hutumika kwa kusafisha manyoya. Kidole cha pili cha mikono ni karibu ya kutoweka. Hula matunda, sandarusi, wadudu na wanyama wadodo.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.