Lemuri-ukosi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lemuri-ukosi
Lemuri-ukosi mwekundu
Lemuri-ukosi mwekundu
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Strepsirrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na lemuri)
Oda ya chini: Lemuriformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Lemuroidea (Lemuri)
Familia: Lemuridae (Lemuri walio na mnasaba na Lemuri mkia-miviringo)
Jenasi: Varecia
Gray, 1863
Ngazi za chini

Spishi 2

Lemuri-ukosi (kutoka Kiingereza: ruffed lemur) ni spishi za lemuri wa jenasi Varecia katika familia Lemuridae. Kama lemuri wote wanatokea Madagaska tu. Jina lao linatoka kwa ukosi wa manyoya kuzunguka shingo yao. Rangi yao ni kahawianyekundu au nyepe na nyeusi. Spishi hizi ni lemuri wakubwa kuliko wote wengine wa familia hii (urefu wa mwili: sm 43-57, na uzito: kg 3-4). Hula matunda na mbochi, na husaidia kutawanya mbegu za miti.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.