Maroni
Mandhari

Maroni (kwa Kiaramu ܡܪܝ ܡܪܘܢ, Mar|Mār(y) Mārōn; kwa Kiarabu: مار مارون) alikuwa padri mkaapweke mwenye juhudi za sala, lakini pia za umisionari nchini Siria.
Alifariki kati ya mwaka 406 na mwaka 423 akaanza mara kuheshimiwa kama mtakatifu. Wakristo wengi walihamia kwenye kaburi lake na ndio mwanzo wa tapo la kiroho lenye jina lake ambalo lilizaa nchini Lebanon Kanisa la Wamaroni lililomo katika ushirika kamili na Kanisa la Roma na Kanisa Katoliki lote duniani [1].
Kuanzia karne ya 17, sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 9 Februari[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Our Lady of Lebanon Ilihifadhiwa 5 Januari 2020 kwenye Wayback Machine.
- The Eastern Catholic Churches Ilihifadhiwa 18 Aprili 2009 kwenye Wayback Machine.
- The Maronite Hermits
- German Homepage of Maronitische Christliche Union Deutschlands e.V. Arabic/German Ilihifadhiwa 26 Julai 2014 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |