Machansela wa Ujerumani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jengo la Machansela la mjini Berlin ndiyo kitako cha Machansela.

Chansela wa Ujerumani (kwa Kijerumani: Bundeskanzler, katika fasihi: chansela wa shirikisho) ni kiongozi wa serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani. Chansela wa Ujerumani huchaguliwa na jopu la wabunge wa shirikisho hilo la Ujerumani (Bundestag).

Chansela wa sasa wa Ujerumani ni Olaf Scholz wa chama cha (SPD).

Bundeskanzler (tangu 1949)[hariri | hariri chanzo]

Orodha ya Machansela tangu 1949[hariri | hariri chanzo]

  1. Konrad Adenauer (CDU), 1949-1963
  2. Ludwig Erhard (CDU), 1963-1966
  3. Kurt Georg Kiesinger[1] (CDU), 1966-1969
  4. Willy Brandt[1] (SPD), 1969-1974
  5. Helmut Schmidt (SPD), 1974-1982
  6. Helmut Kohl (CDU), 1982-1998
  7. Gerhard Schröder[1] (SPD), 1998-2005
  8. Angela Merkel (CDU), 2005-2021
  9. Olaf Scholz (SPD), 2021-

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 Pia aliwahi kuwa Rais wa Bundesrat wa Ujerumani

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons