Gerhard Schröder
Gerhard Schröder (amezaliwa tar. 7 Aprili 1944 mjini Mossenberg) alikuwa chansela wa Ujerumani kuanzi 1998 hadi 2005. Baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2005, akapokelewa na Angela Merkel. Huyu ni mwanachama wa chama cha kisiasa cha Kijerumani cha SPD (Social Democratic Party of Germany).
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Pictures "Spuren der Macht" Archived 27 Desemba 2007 at the Wayback Machine.
- From Ironmonger's Apprentice to Chancellor, Deutsche Welle, Julai 2005
- Profile: Gerhard Schroeder, BBC News, Julai 2005
- The Modern Chancellor: Taking Stock of Gerhard Schröder, Der Spiegel Online, Oktoba 2005
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Gerhard Schröder kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikimedia Commons ina media kuhusu: