Ekuador

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Ekuador
República del Ecuador
Bendera ya Ekuador Nembo ya Ekuador
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kihispania: "Dios, patria y libertad"
("Mungu, taifa na uhuru")
Wimbo wa taifa: Salve, Oh Patria (usalimiwe e taifa)
Lokeshen ya Ekuador
Mji mkuu Quito
00°9′ S 78°21′ W
Mji mkubwa nchini Guayaquil
Lugha rasmi Kihispania
Serikali Jamhuri
Daniel Noboa
Uhuru
Kutoka Hispania
kutoka Gran Colombia

24 Mei 1822
13 Mei 1830
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
283,560 km² (ya 75)
5
Idadi ya watu
 - 2023 kadirio
 - 2022 sensa
 - Msongamano wa watu
 
17,483,326[2] (ya 73)
16,938,986[1]
69/km² (ya 148)
Fedha U.S. dollar (USD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-5; UTC -6 (Galápagos Islands))
(UTC)
Intaneti TLD .ec
Kodi ya simu +593

-


Ramani ya Ekuador

Ekuador (kwa Kiswahili pia: Ekwado) ni nchi kwenye pwani ya magharibi ya Amerika Kusini.

Jina la nchi kwa Kihispania (Ecuador) lamaanisha "ikweta", na sababu ni kwamba imekatwa nayo.

Imepakana na Kolombia, Peru na Bahari ya Pasifiki.

Funguvisiwa la Galapagos (Archipiélago de Colón) ni sehemu ya Ekuador ikiwa na umbali wa karibu kilomita 1,000 kutoka bara.

Mji mkuu ni Quito, lakini mji mkubwa zaidi ni Guayaquil.

Watu[hariri | hariri chanzo]

Wananchi wengi (71%) wana mchanganyiko wa damu ya Kizungu na ya Kiindio. Wenye asili ya Afrika ni 7.2%, Waindio ni 7%, na Wazungu ni 6.1%.

Ekuador ilikuwa koloni la Hispania, hivyo lugha ya wakazi wengi na lugha rasmi imekuwa Kihispania hadi leo. Lakini kuna Waindio wengi, hasa katika milima ya Andes, wanaoendelea kutumia lugha zao.

Asilimia 91.95 wana dini, na kati yao 80.44% ni Wakatoliki ma 11.3% Waprotestanti.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Amerika Kusini

Argentina | Bolivia | Brazil | Chile | Ekuador | Guyana | Guyani ya Kifaransa | Kolombia | Paraguay | Peru | Surinam | Uruguay | Venezuela

Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ekuador kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. Inicio.
  2. Kigezo:Cite CIA World Factbook