Wikipedia ya Kiingereza
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
![]() |
|
| Picha:Wikipedia screenshot.png | |
| Kisara | http://en.wikipedia.org/ |
|---|---|
| Ya kibiashara? | Hapana |
| Aina ya tovuti | Mradi wa Kamusi Elezo ya Interneti |
| Kujisajiri | Hiari |
| Mmiliki | Wikimedia Foundation |
| Mwanzilishi | Jimmy Wales na Larry Sanger |
Wikipedia ya Kiingereza ni toleo la kamusi elezo la lugha ya Kiingereza la Wikipedia na ndilo toleo la kwanza kutolewa. Ilianzishwa mnamo tar. 15 Januari, 2001, ndiyo Wikipedia toleo lililokubwa kuliko matoleo yote. Ilivyofika mwezi Agosti ya mwaka wa 2008, Wikipedia ya Kiingereza imefikisha makala milioni 2.5 katika Wiki hiyo.
[hariri] Tazama pia
- Wikipedia ya Kiswahili
- Wikipedia ya Kiingereza Rahisi
- Wikipedia ya Kijerumani
- Wikipedia ya Kifaransa
- Wikipedia ya Kihispania
- Wikipedia ya Kiwolofu
- Wikipedia ya Kiyoruba
- Wikipedia ya Kiafrikaansi
