Wikipedia ya Kiingereza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Favicon of Wikipedia English Wikipedia
Logo of the English Wikipedia
Picha:Wikipedia screenshot.png
Kisara http://en.wikipedia.org/
Ya kibiashara? Hapana
Aina ya tovuti Mradi wa Kamusi Elezo ya Interneti
Kujisajiri Hiari
Mmiliki Wikimedia Foundation
Mwanzilishi Jimmy Wales na Larry Sanger

Wikipedia ya Kiingereza ni toleo la kamusi elezo la lugha ya Kiingereza la Wikipedia na ndilo toleo la kwanza kutolewa. Ilianzishwa mnamo tar. 15 Januari, 2001, ndiyo Wikipedia toleo lililokubwa kuliko matoleo yote. Ilivyofika mwezi Agosti ya mwaka wa 2008, Wikipedia ya Kiingereza imefikisha makala milioni 2.5 katika Wiki hiyo.

[hariri] Tazama pia


[hariri] Viungo vya Nje


WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Wikipedia ya Kiingereza" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Wikipedia ya Kiingereza kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.