Wikipedia ya Kiromania
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Picha:RomanianWikipedia 20071125.png | |
| Kisara | http://ro.wikipedia.org/ |
|---|---|
| Ya kibiashara? | Hapana |
| Aina ya tovuti | Internet encyclopedia project |
| Kujisajiri | Hiari |
| Lugha asilia | Kiromania |
| Mmiliki | Wikimedia Foundation |
Wikipedia ya Kiromania (kifupi: ro.wiki au ro.wp[1]; kwa Kiromania: Wikipedia în limba română) ni toleo la kamusi elezo huru ya Wikipedia kwa lugha ya Kiromania.
Ilianzishwa mnamo mwezi wa Juni 2003, toleo hili lina makala takriban 100,000 (kwa mwezi wa Januari 2008) na ndiyo Wikipedia ya 16 kwa ukubwa. Mnamo mwezi wa Desemba 2004, watumiaji katika Wikipedia ya Kiromania walianza mjadala kuhusu kuanzisha ukurasa wa kwao wenyewe wa Wikimedia, Asociaţia Wikimedia România.
[hariri] Marejeo
- ↑ The article on this matter on the Romanian Wikipedia Kigezo:Ro icon
[hariri] Viungo vya Nje
Wikipedia ya Kiromania ni toleo la Wikipedia, kamusi elezo huru