Ziwa Duluti
Jump to navigation
Jump to search
Ziwa Duluti ni kati ya maziwa madogo ya Tanzania. Linapatikana katika mkoa wa Arusha.
Uso wa ziwa unapatikana kwa kimo cha mita 1290 juu ya UB; eneo la maji ni km2 0.6. kina chake ni takriban mita 9. Hupokea maji yake kutoka kwa chemchemi chini yake na kupoteza maji kwa njia ya uvukuzaji, maana hakuna mito inayoingia au kutoka[1]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Nancy P. Mduma, Hans C. Komakech, Jing Zhang, Alfred N.N Muzuka: Application of isotopes and water balance on Lake Duluti-groundwater interaction, Arusha, Tanzania, Hydrology and Earth System Sciences, Published: 8 June 2016, kupitia researchgate.net
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ziwa Duluti kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |