Ziwa Eyasi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

3°35′S 35°0′E / 3.583°S 35.000°E / -3.583; 35.000

Ziwa Eyasi kutoka angani.

Ziwa Eyasi (zamani pia Ziwa Njarasa, au Ziwa Hohenlohe) ni ziwa la chumvi kubwa nchini Tanzania. Liko upande wa kaskazini, karibu na Hifadhi ya Serengeti, mita 1,030 juu ya usawa wa bahari.

Eyasi ni ziwa lenye upepo mkali sana, labda kuliko maziwa yote nchini Tanzania, kwani unavuma saa 24 bila kutulia hata baadhi ya wavuvi wakubwa (wengine kutoka ziwa Nyasa, wengine kutoka ziwa Viktoria) unakuta wanashidwa na upepo, mpaka wanakimbia ziwa hilo na kwenda ziwa jirani la Manyara.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]