Bwawa la Nyumba ya Mungu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bwawa lilivyo.

Bwawa la Nyumba ya Mungu limepatikana kwa lambo lililojengwa miaka ya 1960 katika wilaya ya Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro (Tanzania) ili maji ya mto Kikuletwa na ya mto Ruvu yaweze kutumika kuzalisha umeme (8 MW).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]