Wilaya ya Mwanga
Jump to navigation
Jump to search
Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama hapa

Mahali pa Mwanga (kijani) katika mkoa wa Kilimanjaro.
Wilaya ya Mwanga ni wilaya moja ya Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 131,442. [1]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Taarifa juu ya "Declining coffee economy and low population growth in Mwanga district, Tanzania" Archived 4 Machi 2016 at the Wayback Machine.
![]() |
Kata za Wilaya ya Mwanga - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Chomvu | Jipe | Kifula | Kighare | Kigonigoni | Kileo | Kilomeni | Kirongwe | Kirya | Kivisini | Kwakoa | Lang'ata | Lembeni | Mgagao | Msangeni | Mwanga | Mwaniko | Ngujini | Shighatini | Toloha |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mwanga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|