Wilaya ya Mwanga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama hapa
Mahali pa Mwanga (kijani kilichokolea) katika mkoa wa Kilimanjaro.

Wilaya ya Mwanga ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 131,442. Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 148,763 [1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Mwanga - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania

Chomvu | Jipe | Kifula | Kighare | Kigonigoni | Kileo | Kilomeni | Kirongwe | Kirya | Kivisini | Kwakoa | Lang'ata | Lembeni | Mgagao | Msangeni | Mwanga | Mwaniko | Ngujini | Shighatini | Toloha

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mwanga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Isipokuwa usitaje majina ya viongozi waliopo sasa maana wanabadilika haraka mno.