Wilaya ya Same

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wilaya ya Sama ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro
Mahali pa Same (kijani kilichokolea) katika mkoa wa Kilimanjaro.

Wilaya ya Same ni wilaya mojawapo kati ya wilaya 7 za Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 269,807. Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 300,303 [1].

Wilaya hii imepakana upande wa kazkazini na Wilaya ya Mwanga na nchi jirani ya Kenya, upande wa kusini na Mkoa wa Tanga na upande wa magharibi na Mkoa wa Manyara. Makao makuu yapo Same Mjini.

Upande wa kusini wa Milima ya Pare upo ndani ya wilaya pamoja na sehemu ya Hifadhi ya Mkomazi.[2]

Njia ya reli ya Usambara inapita wilayani.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. (June 2015) Tanzania travel guide, 6, Lonely Planet, 148. ISBN 978-1742207797. Retrieved on 12 January 2016. 

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Same - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania

Bangalala | Bendera | Bombo | Bwambo | Chome | Gavao Sawene | Hedaru | Kalemawe | Kihurio | Kirangare | Kisima | Kisiwani | Lugulu | Mabilioni | Makanya | Maore | Mhezi | Mpinji | Mshewa | Msindo | Mtii | Mwembe | Myamba | Ndungu | Njoro | Ruvu | Same Mjini | Stesheni | Suji | Tae | Vudee | Vuje | Vumari | Vunta

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Same kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Isipokuwa usitaje majina ya viongozi waliopo sasa maana wanabadilika haraka mno.