Ziwa Balangida

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ziwa Balangida ni ziwa dogo (kilometa mraba 33) nchini Tanzania. Liko upande wa kaskazini, mkoa wa Manyara, katika Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Manyara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ziwa Balangida kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.