William McKinley

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
William McKinley


Muda wa Utawala
Machi 4, 1897 – Septemba 14, 1901
Makamu wa Rais
  • Garret Hobart (1897–1899)
  • Hapakuwa na naibu kwa sababu Hobart alifariki(1899–1901)
  • Theodore Roosevelt(Mar–Sep. 1901)
mtangulizi Grover Cleveland
aliyemfuata Theodore Roosevelt

tarehe ya kuzaliwa (1843-01-29)Januari 29, 1843
Niles, Ohio, Marekani.
tarehe ya kufa 14 Septemba 1901 (umri 58)
Buffalo, New York, Marekani.
mahali pa kuzikiwa McKinley National Memorial,
Canton, Ohio
chama Republican Party
ndoa Ida Saxton McKinley (m. 1871) «start: (1871-01-25)»"Marriage: Ida Saxton McKinley to William McKinley" Location: (linkback://sw.wikipedia.org/wiki/William_McKinley)
mhitimu wa
  • Allegheny College
  • Mount Union College
  • Albany Law School
Fani yake
  • Mwanasiasa
  • Wakili
  • Rais wa Marekani
signature

William McKinley (29 Januari 184314 Septemba 1901) alikuwa Rais wa 25 wa Marekani kuanzia mwaka wa 1897 hadi 1901. Kaimu Rais wake alikuwa Garret Hobart (1897-1899), na Theodore Roosevelt (tangu 1901) aliyemfuata kama Rais, McKinley alifariki wakati wa awamu yake ya pili.

Tazamia pia[hariri | hariri chanzo]

}}

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu William McKinley kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.