Sesilia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Sesilia mfiadini)
Mt. Sesilia kadiri ya Guido Reni, 1606.
Mchoro wa Botticini
Mt. Sesilia na Malaika kadiri ya Orazio Gentileschi
Domenichino, jaribio, abasia ya Grottaferrata, 16081610

Sesilia (kwa Kilatini Caecilia) alikuwa mwanamke Mkristo wa mjini Roma katika karne ya 2 na ya 3 BK.

Anaheshimiwa kama mtakatifu bikira mfiadini na somo wa wanamuziki kwa sababu inasimuliwa kwamba hao walipokuwa wakiimba kwenye arusi yake, mwenyewe "alikuwa akimuimbia Bwana moyoni".[1][2][3]

Sikukuu yake inaadhimishwa na madhehebu mbalimbali tarehe 22 Novemba.[4][5][6]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.