Sesilia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Sesilia kadiri ya Guido Reni, 1606.
Mt. Sesilia na Malaika kadiri ya Orazio Gentileschi

Sesilia (kwa Kilatini Caecilia) alikuwa mwanamke Mkristo wa mjini Roma katika karne ya 2 na ya 3 BK.

Anaheshimiwa kama mtakatifu bikira mfiadini na somo wa wanamuziki kwa sababu inasimuliwa kwamba hao walipokuwa wakiimba kwenye arusi yake, mwenyewe "alikuwa akimuimbia Bwana moyoni".[1][2][3]

Sikukuu yake inaadhimishwa na madhehebu mbalimbali tarehe 22 Novemba.[4][5][6]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Christian cross.svg Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.