Serboni
Mandhari

Serboni (kwa Kilatini: Cerbonius; Afrika Kaskazini, 493 - Elba, Toscana, Italia, 575) alikuwa askofu wa Populonia wakati wa uhamisho mkuu wa Ulaya.
Akiwa padri, alihama Afrika ili kukwepa dhuluma ya Wavandali dhidi ya Wakatoliki, akahamia Italia ya Kati alipopata uaskofu.
Walombardi walipovamia eneo hilo, yeye alihamia katika kisiwa cha Elba alipotoa mifano ya utakatifu na kutenda miujiza mingi.
Gregori Mkuu alimsifu katika Kitabu XI cha Majadiliano.[1]
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "San Cerbone, il santo patrono di Massa Marittima". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-07-22. Iliwekwa mnamo 2019-09-13.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Cerbonius of Piombino Ilihifadhiwa 4 Agosti 2019 kwenye Wayback Machine.
- Saint Cerbonius
- (Kiitalia) San Cerbone Ilihifadhiwa 22 Julai 2007 kwenye Wayback Machine.
- (Kiitalia) San Cerbonio (Cerbone)
- (Kijerumani) Cerbonius
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |