Pusisi
Mandhari
Pusisi (alifariki nchini Uajemi, 341) ni kati ya Wakristo elfu kadhaa, waliouawa kwa sababu ya imani yao katika dhuluma ya mfalme Sabor II pamoja na Patriarki Simeoni[1].
Pusisi, afisa wa ikulu, alichomwa shingo kwa upanga siku ya Jumamosi Kuu kwa sababu ya kumtia moyo padri Anania asiasi Ukristo kama alivyoelekea kufanya[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ A near-contemporary 5th century Christian work, the Ecclesiastical History of Sozomen, contains considerable detail on the Persian Christians martyred under Shapur II. Sozomen estimates the total number of Christians killed as follows: The number of men and women whose names have been ascertained, and who were martyred at this period, has been computed to be upwards of sixteen thousand, while the multitude of martyrs whose names are unknown was so great that the Persians, the Syrians, and the inhabitants of Edessa, have failed in all their efforts to compute the number. — Sozomen, in his Ecclesiastical History, Book II, Chapter XIV
- ↑ https://catholicsaints.info/saint-pusicio/
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/49920
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Book of Saints, by the Monks of Ramsgate
- Our Sunday Visitor’s Encyclopedia of Saints
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |