Pierio

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Pierio alikuwa padri ambaye inawezekana alikuwa mkuu wa Chuo cha Aleksandria kabla ya Achilas wa Aleksandria. Alistawi wakati Theonas alikuwa patriarki wa Alexandria[1].

Alifariki Roma baada ya mwaka 309[2]

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, ingawa si rahisi kwamba alifia dini yake walivyosema Fosyo na wengine[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Novemba[4] au 29 Novemba.

Sehemu chache tu za maandishi yake zimetufikia[5][6][7][8].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Jerome, de Viris Illustribus 76. Online in the NPNF translation at CCEL.org. Accessed 31 January 2010.
  2. St. Jerome assures us that he survived the Diocletianic Persecution and spent the rest of his life at Rome.
  3. https://dacb.org/stories/egypt/pierius/
  4. Martyrologium Romanum
  5. Reliquiæ Sacræ, III, 423-35
  6. Patrologia Graeca, X, 241-6
  7. Texte und Untersuchungen zur Geschichte der altchristlichen Literatur, V, ii (Leipzig, 1888), 165-184.
  8. For an English translation see Stewart Dingwall Fordyce Salmond in Ante-Nicene Fathers (New York, 1896), 157.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Radford, Three Teachers of Alexandria (Cambridge, 1908);
  • Bardenhewer, Gesch. der altchrist. Lit., II (Freiburg, 1903), 198-203;
  • ____, Patrologie, tr. Shahan (Freiburg, 1908), 158;
  • Harnack, Gesch. der altchrist. Lit., I (Leipzig, 1893), 439-44;
  • Acta Sanctorum, II November, 254-64.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.