Maria Bertila Boscardin
Mandhari

Maria Bertila Boscardin (jina la awali: Anna Francesca; Brendola, 6 Oktoba 1888 – Treviso, 20 Oktoba 1922) alikuwa bikira wa Italia kaskazini ambaye, kisha kujiunga na shirika la kitawa la Masista Walimu wa Mt. Dorotea la Vicenza, alihudumia wagonjwa hospitalini kwa upendo wa ajabu ili wapate afya wa mwili na wa roho[1].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XII tarehe 8 Juni 1952, halafu mtakatifu na Papa Yohane XXIII tarehe 11 Mei 1961.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 365-366
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 322-323
Marejeo ya lugha nyingine
[hariri | hariri chanzo]- Attwater, Donald and Catherine Rachel John. The Penguin Dictionary of Saints. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. ISBN 0-14-051312-4.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |