Malakia wa Armagh

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kioo cha rangi kikimuonyesha Mt. Malakia huko Sligo.

Malakia wa Armagh (jina asili la Kieire: Máel Máedóc Ua Morgair;; Armagh, Ireland, 1094 - Clairvaux, Ufaransa, 2 Novemba 1148) alikuwa mkaapweke, padri, abati, halafu askofu (1124) wa Cannoret, tena wa Down na Connor, Ireland, alipoanzisha jumuia ya Wakanoni[1].

Alifariki katika monasteri ya Bernardo wa Clairvaux, aliyeandika maisha yake[2] .

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Novemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/37650
  2. Grattan-Flood, William (1910). "St. Malachy". The Catholic Encyclopedia. 9. New York: Robert Appleton Company. http://www.newadvent.org/cathen/09565a.htm. Retrieved 25 May 2013.
  3. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.