Kitabu cha Yuditi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Boti: Inarbadilisha nl:Judith (boek) hadi nl:Judit (boek)
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 37 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q202129 (translate me)
Mstari 18: Mstari 18:
[[Jamii:Vitabu vya Agano la Kale]]
[[Jamii:Vitabu vya Agano la Kale]]
{{Link FA|he}}
{{Link FA|he}}

[[bar:Judit (Buach)]]
[[ca:Llibre de Judit]]
[[cs:Kniha Júdit]]
[[da:Judits Bog]]
[[de:Buch Judit]]
[[en:Book of Judith]]
[[eo:Libro de Judit]]
[[es:Libro de Judit]]
[[eu:Judithen liburua]]
[[fi:Juditin kirja]]
[[fr:Livre de Judith]]
[[fur:Judite]]
[[gl:Libro de Xudit]]
[[he:ספר יהודית]]
[[hr:Judita (knjiga)]]
[[hu:Judit könyve]]
[[id:Kitab Yudit]]
[[it:Libro di Giuditta]]
[[ja:ユディト記]]
[[jv:Kitab Yudit]]
[[ko:유딧기]]
[[la:Liber Iudith]]
[[ml:യൂദിത്തിന്റെ പുസ്തകം]]
[[nl:Judit (boek)]]
[[nn:Judits bok]]
[[no:Judits bok]]
[[pl:Księga Judyty]]
[[pt:Livro de Judite]]
[[qu:Juditpa qillqasqan]]
[[ru:Юдифь]]
[[sh:Judita (knjiga)]]
[[sk:Kniha Judita]]
[[sv:Judits bok]]
[[ta:யூதித்து (நூல்)]]
[[tl:Aklat ni Judit]]
[[uk:Книга Юдити]]
[[zh:友第德]]

Pitio la 15:11, 9 Machi 2013

Kitabu cha Yudith ni kimojawapo kati ya vitabu vyadeuterokanoni vya Biblia ya Kikristo.

Kimo katika Septuaginta na katika Agano la Kale la Kanisa Katoliki, la Waortodoksi wengi na la baadhi ya Waprotestanti, lakini si katika Tanakh ya Uyahudi wala katika Biblia ya Waprotestanti.

Hadithi hiyo, iliyoandikwa katika karne ya 1 K.K. inahusu wakati wa mfalme Nebukadreza, na vita vyake dhidi ya Israeli (karne ya 6 K.K.).

Kinyume cha matarajio, Yudith, mwanamke wa kabila la Yuda, aliweza kupata ushindi kwa imani na ushujaa wake.

Habari hiyo ya ajabu ilipata mwangwi kwa wingi katika sanaa mbalimbali.

Wengi wanaona katika Yudith kielelezo cha Bikira Maria katika mapambano dhidi ya shetani, hasa kutokana na maneno yafuatayo: "Umebarikiwa, binti yangu, usoni pa Mungu Aliye Juu, kuliko wanawake wote duniani. Na ahimidiwe Bwana Mungu, Muumba mbingu na nchi, aliyekuongoza hata ukampiga kichwa mkuu wa adui zetu" (Yudith 13:18).

Kama vitabu vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.


Vitabu vya Agano la Kale

Mwanzo * Kutoka * Walawi * Hesabu * Kumbukumbu * Yoshua * Waamuzi * Ruthu * Samueli I * Samueli II * Wafalme I * Wafalme II * Mambo ya Nyakati I * Mambo ya Nyakati II * Ezra * Nehemia * TobitiDK * YudithiDK * Esta * Wamakabayo IDK * Wamakabayo IIDK * Yobu * Zaburi * Methali * Mhubiri * Hekima DK * SiraDK * Wimbo Bora * Isaya * Yeremia * Maombolezo * BarukuDK * Ezekieli * Danieli * Hosea * Yoeli * Amosi * Obadia * Yona * Mika * Nahumu * Habakuki * Sefania * Hagai * Zekaria * Malaki

Alama ya DK inaonyesha vitabu vya deuterokanoni visivyopatikana katika matoleo yote ya Biblia.

Kigezo:Link FA