Ksi
Mandhari
| Alfabeti ya Kigiriki | |||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Herufi za kawaida | |||||||
| Α α Alfa | 1 | Ν ν Ni | 50 | ||||
| Β β Beta | 2 | Ξ ξ Ksi | 60 | ||||
| Γ γ Gamma | 3 | Ο ο Omikron | 70 | ||||
| Δ δ Delta | 4 | Π π Pai | 80 | ||||
| Ε ε Epsilon | 5 | Ρ ρ Rho | 100 | ||||
| Ζ ζ Dzeta | 7 | Σ σ ς Sigma | 200 | ||||
| Η η Eta | 8 | Τ τ Tau | 300 | ||||
| Θ θ Theta | 9 | Υ υ Ipsilon | 400 | ||||
| Ι ι Iota | 10 | Φ φ Phi | 500 | ||||
| Κ κ Kappa | 20 | Χ χ Khi | 600 | ||||
| Λλ Lambda | 30 | Ψ ψ Psi | 700 | ||||
| Μ μ Mi | 40 | Ω ω Omega | 800 | ||||
| Herufi za kihistoria1 | |||||||
| 6 | 90 | ||||||
| 6 | 90 | ||||||
| 8 | 900 | ||||||
| 10 | 900 | ||||||
| 1 Viungo vya nje: Alfabeti_ya_Kigiriki#Viungo_vya_nje | |||||||
Ksi (Ξ ξ) ni herufi ya 14 katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama ξ (alama ya kawaida) au Ξ (alama kubwa). Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia tarakimu ikiwa alama ya namba 60.
Asili ya ksi ni herufi ya Kifinisia "samekh"
. Herufi zilizotokana nayo katika alfabeti zilizofuata Kigiriki ni X katika alfabeti ya baadhi ya lugha za Kirumi na Ksi (Ѯ, ѯ) katika alfabeti ya Kisirili.
Matamshi yake ilikuwa "ks".
Jinsi ilivyo kawaida kwa herufi mbalimbali za Kigiriki, ξ inatumiwa kama kifupisho kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hisabati na fizikia.