Tau

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alfabeti ya Kigiriki
Herufi za kawaida
Α α Alfa 1 Ν ν Ni 50
Β β Beta 2 Ξ ξ Ksi 60
Γ γ Gamma 3 Ο ο Omikron 70
Δ δ Delta 4 Π π Pi 80
Ε ε Epsilon 5 Ρ ρ Rho 100
Ζ ζ Dzeta 7 Σ σ ς Sigma 200
Η η Eta 8 Τ τ Tau 300
Θ θ Theta 9 Υ υ Ipsilon 400
Ι ι Iota 10 Φ φ Phi 500
Κ κ Kappa 20 Χ χ Khi 600
Λλ Lambda 30 Ψ ψ Psi 700
Μ μ Mi 40 Ω ω Omega 800
Herufi za kihistoria1
Digamma 6 San 90
Stigma 6 Sho 90
Heta 8 Koppa 90
Sampi 900
1 Viungo vya Nje:
Alfabeti_ya_Kigiriki#Viungo_vya_Nje

Tau (Τ τ) ni herufi ya 19 katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama τ (alama ya kawaida) au Τ (alama kubwa). Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia tarakimu ikiwa alama ya namba 300.

Asili ya tau ni herufi ya Kifinisia "taw" (𐤕). Herufi zilizotokana nayo katika alfabeti zilizofuata Kigiriki ni T katika alfabeti ya Kilatini na Te (Т, т) katika alfabeti ya Kikirili.

Matamshi yake ilikuwa "t".

Jinsi ilivyo kawaida kwa herufi mbalimbali za Kigiriki, τ inatumiwa kama kifupisho kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hisabati na fizikia.