Kono wa Naso

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kono.

Kono (jina kamili: Cono Navacita; Naso, Sicilia, 3 Juni 1139 - Naso, 28 Machi, 1236) tangu ujanani alikuwa mmonaki, padri na hatimaye abati kadiri ya nidhamu ya mababu wa Ukristo wa Mashariki katika kisiwa hicho kikuu cha Italia ya leo[1].

Aliporudi kutoka hija aliyoifanyia Nchi takatifu, alikuta wazazi wake wamekufa; hapo aliwagawia fukara urithi wake wote na kushika maisha ya ukaapweke.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[2] kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Machi[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90277
  2. March 28. Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome.
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Il devoto di San Cono, Parrocchia Santi Filippo e Giacomo, Naso.
  • Pasquale Almirante, Immagini San Cono, Cuecm, Catania, 2007

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.