Nchi takatifu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nchi takatifu ni jina la heshima ya kidini linalopewa eneo maalumu huko Mashariki ya Kati kadiri ya imani ya Uyahudi, Ukristo na Uislamu.

Kanisa la Kaburi Takatifu ni kituo muhimu zaidi cha hija za Wakristo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.