Sisilia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bendera ya Sisilia.
Bendera ya Sisilia.
Wilaya za mkoa wa Sisilia.

Sisilia (kwa Kiitalia Sicilia) ni kisiwa kikubwa cha Italia na cha bahari ya Mediteranea yote, ikiwa na eneo la kilomita mraba 25711.

Iko kusini kwa rasi ya Italia, ng'ambo ya mlangobahari wa Messina.

Sisilia pamoja na visiwa vidogo vya jirani ni pia mkoa wa nchi wenye katiba ya pekee.

Idadi ya wakazi ni watu 5,077,487 (2015), ambao kati yao 98% ni raia wa Italia.

Mji mkuu ni Palermo (wakazi 677,854).

Wilaya[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tovuti za nje[hariri | hariri chanzo]


 
Mikoa ya Italia
Mikoa ya kawaida
Abruzzo | Basilicata | Calabria | Campania | Emilia-Romagna | Lazio | Liguria | Lombardia | Marche | Molise | Piemonte | Puglia (Apulia) | Toscana | Umbria | Veneto |
Mikoa yenye katiba ya pekee
Friuli-Venezia Giulia | Sardinia | Sisilia | Trentino-Alto Adige | Valle d'Aosta
Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sisilia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.