Foresti (Mbeya mjini)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kata ya Foresti
Kata ya Foresti is located in Tanzania
Kata ya Foresti
Kata ya Foresti

Mahali pa Foresti katika Tanzania

Majiranukta: 8°53′24″S 33°25′48″E / 8.89000°S 33.43000°E / -8.89000; 33.43000
Nchi Tanzania
Mkoa Mbeya
Wilaya Mbeya Mjini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 6,649

Foresti ni kata ya Mbeya Mjini katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania yenye Postikodi namba 53103.

Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 6,649 [1] walioishi humo.

Foresti ni kata mpya ng'ambo ya barabara kuu ya TANZAM kati ya Mwanjelva na Mabatini. Imeanzishwa tangu miaka ya 1980 katika eneo lenye msitu wa milingoti ulioanza kando ya barabara kuu ukitazama Mabatini. Shabaha ya kuanzisha eneo hili ni kuwa na kitovu kipya cha manispaa ya Mbeya kwa sababu mji wa kale hauna nafasi tena kwa upanuzi wa huduma za serikali na biashara.

Kati ya majengo ya kwanza ya Foresti, mojawapo lilikuwa hospitali ya mkoa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya 2012, Mbeya - Mbeya MC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2017-03-14.
Kata za Jiji la Mbeya - Tanzania

ForestiGhanaIdudaIganjoIganzoIgawiloIlemiIlombaIsangaIsyesyeItaganoItendeIteziItijiIwambiIyelaIyungaIziwaKalobeMaangaMabatiniMaendeleoMajengoMbalizi RoadMwakibeteMwansekwaMwansangaNondeNsalagaNsohoNzovweRuanda (Mbeya)SindeSisimbaTembelaUyole


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mbeya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Foresti (Mbeya mjini) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.