Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Garissa Mjini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge la Garissa Mjini (awali: Jimbo la Uchaguzi la Dujis) ni mojawapo ya majimbo 290 ya uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya majimbo katika Kaunti ya Garissa.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Kenya wa 1988.

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1988Hussein Maalim MohamedKANUMfumo wa Chama Kimoja
1992Hussein Maalim MohamedKANU
1997Hussein Maalim MohamedKANU
2002Hussein Maalim MohamedKANU
2007Aden Bare DualeODM
Wodi
Wodi Wapiga Kura Waliojisajili Utawala wa Mitaa
Biashara3,994Munisipali ya Garissa
Bulla2,887Munisipali ya Garissa
Jamhuri2,747Munisipali ya Garissa
Market5,578Munisipali ya Garissa
Mashambani1,596Munisipali ya Garissa
Stadium4,796Munisipali ya Garissa
Sankuri / Raya1,838Garissa County
Balambala2,563Garissa County
Denyere1,167Garissa County
Jara Jara595Garissa County
Kora Kora1,306Garissa County
Saka965Garissa County
Shimbiri880Garissa County
Jumla30,912
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]