Charbel Makhlouf
Charbel Makhluf, kwa Kiarabu مار شربل, M (8 Mei 1828 – 24 Desemba 1898), aliitwa kwanza Youssef Antoun Makhlouf alipozaliwa huko Bekaa Kafra katika nchi ya Lebanon kaskazini mpaka akawa mmonaki wa Kanisa la Wamaroni, halafu pia padri.
Papa Paulo VI alimtangaza mwenye heri tarehe 5 Desemba 1965, halafu mtakatifu tarehe 9 Oktoba 1977.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Julai[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Saint Charbel Official Website Archived 13 Oktoba 2005 at the Wayback Machine.
- Saint Charbel.com English site
- Charbel.org - Saint Charbel Website
- A spiritual way (French website)
- American Catholic Archived 2016-05-18 at the Portuguese Web Archive "Saint of the Day" article entitled "St. Charbel Makhlouf"
- (belorussian website)
- (russian website) Archived 6 Septemba 2010 at the Wayback Machine.
- Maronite Monks of Adoration Archived 23 Julai 2007 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |