Mchana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha iliyotengenezwa kwa tarakilishi ili kuonyesha jinsi jua linavyoonekana kusogea, pamoja na matokeo yake kwa mandhari.

Mchana ni kipindi chote cha siku ambapo nuru ya jua inaangaza sehemu fulani ya dunia.

Kinyume chake ni usiku.

Kwa wakati mmoja, jua linaangaza karibu nusu ya dunia. Huko ni mchana, kumbe katika nusu ya pili ni usiku.

Kwa binadamu na wanyama wengi ndio wakati wa utendaji mwingi zaidi.

Alfajiri huko Taritari, Nueva Esparta, Venezuela Vipindi vya siku Kutwa huko Knysna, Afrika Kusini

UsikuUsiku katiUsiku wa mananeAlfajiriPambazukoAsubuhiAdhuhuriMchanaAlasiriJioniMachweo