Pambazuko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pambazuko baharini.
Jua limeshapambazuka huko Cua Lo, Vietnam.
Video ya pambazuko.

Pambazuko (au macheo au maawio ya jua) ni hasa nukta ambapo jua linaanza kuonekana upande wa mashariki wa dunia,[1] lakini pia kipindi chote cha siku ambacho kinafuata na kuathiriwa na nukta hiyo.[2]

Kurudi kwa mwanga wa kutosha duniani baada ya giza la usiku ni mfano muhimu katika sanaa na katika dini ambao unachukuliwa kama mzuri na wa kuleta tumaini jipya.

Kinyume cha mapambazuko au macheo ni machweo wakati wa jioni.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Alfajiri huko Taritari, Nueva Esparta, Venezuela Vipindi vya siku Kutwa huko Knysna, Afrika Kusini

UsikuUsiku katiUsiku wa mananeAlfajiriPambazukoAsubuhiAdhuhuriMchanaAlasiriJioniMachweo