Nenda kwa yaliyomo

Obama : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Redirecting to Barack Obama
 
Translated from http://en.wikipedia.org/wiki/Obama (revision: 328694615) using http://translate.google.com/toolkit.
Mstari 1: Mstari 1:
{{Redirect4|Barack|Obama|other uses|[[Barack (disambiguation)]] and [[Obama (disambiguation)]]}}
#redirect [[Barack Obama]]
{{Pp-semi-blp|small=yes}}{{Pp-move-indef}}{{Active editnotice}}
{{Infobox President
| image = Official portrait of Barack Obama.jpg
| alt = Portrait of Barack Obama
| order = [[List of Presidents of the United States|44th]]
| office = President of the United States
| term_start = January 20, 2009 <!-- Term officially started 12pm January 20, prior to the administration of the presidential oath. -->
| term_end =
| vicepresident = [[Joe Biden]]
| predecessor = [[George W. Bush]]
| jr/sr2 = United States Senator
| state2 = [[Illinois]]
| term_start2 = January 3, 2005
| term_end2 = November 16, 2008
| predecessor2 = [[Peter Fitzgerald (senator)|Peter Fitzgerald]]
| successor2 = [[Roland Burris]]
| state_senate3 = Illinois
| state3 = [[Illinois]]
| district3 = 13th
| term_start3 = January 8, 1997
| term_end3 = November 4, 2004
| predecessor3 = [[Alice Palmer (Illinois politician)|Alice Palmer]]
| successor3 = [[Kwame Raoul]]
| birth_date = {{Birth date and age|mf=yes|1961|08|04}}<ref name="biography">{{cite web|url=http://www.whitehouse.gov/administration/president_obama/|title=President Barack Obama|publisher = [[White House|The White House]]|accessdate=December 12, 2008}}</ref>
| birth_place = [[Honolulu]], [[Hawaii]]<ref name="birth-certificate"/>
| birthname = Barack Hussein Obama II<ref name="birth-certificate"/>
| nationality = [[United States|American]]
| party = [[Democratic Party (United States)|Democratic]]
| spouse = [[Michelle Obama]] <small>(m. 1992)</small>
| children = [[Family of Barack Obama#Immediate family|Malia Ann <small>(b. 1998)</small><br />Natasha (Sasha) <small>(b. 2001)</small>]]
| residence = [[White House|The White House]] (official) [[Chicago, Illinois]] (private)
| alma_mater = [[Occidental College]]<br/>[[Columbia University]] <small>([[Bachelor of Arts|B.A.]])</small><br/>[[Harvard Law School]] <small>([[Juris Doctor|J.D.]])</small>
| occupation = [[Community organizing|Community organizer]]<br/>[[Lawyer]]<br/> [[Constitutional law]] [[Professor]]<br/>[[Author]]
| religion = [[Christianity|Christian]]<ref name="Christian"/>
| signature = Barack Obama signature.svg
| signature_alt = Barack Obama
| website = [http://www.whitehouse.gov/ The White House]<br/>[http://www.barackobama.com/ Barack Obama]
| footnotes = <div style="background:#ccf;" class="center">'''This article is part of a series about'''</div><div style="font-size:120%; background:#ccf;" class="center">'''Barack Obama'''</div><div style="font-size:120%;" class="center">[[Early life and career of Barack Obama|Background]] {{·}} [[Illinois Senate career of Barack Obama|Illinois Senate]] {{·}} [[United States Senate career of Barack Obama|U.S. Senate]]{{·}} [[Political positions of Barack Obama|Political positions]]{{·}} [[Public image of Barack Obama|Public image]]{{·}} [[Family of Barack Obama|Family]]{{·}} [[Barack Obama presidential primary campaign, 2008|2008 primaries]]{{·}} [[Barack Obama presidential campaign, 2008|Obama–Biden campaign]]{{·}} [[Presidential transition of Barack Obama|Transition]]{{·}}[[Inauguration of Barack Obama|Inauguration]]{{·}}[[Electoral history of Barack Obama|Electoral history]]{{·}} [[Presidency of Barack Obama|Presidency]] ([[Timeline of the Presidency of Barack Obama|Timeline]], [[Barack Obama's first 100 days|First 100 days]]) {{·}} [[2009 Nobel Peace Prize]] <div style="float:right;">[[#obamaNavbox|''more...'']]</div></div>
}}
Barrack Hussein Obama II ([5]; aliyezaliwa tarehe 4 mwezi Agosti 1961), ni Rais wa 44 na wa sasa wa Amerika. Ndiye Mwamerika wa kwanza mwenye asili ya Kiafrika kushikilia wadhifa huo, mbali na kuwa rais wa kwanza mzaliwa wa Hawaii. Awali, Obama alikuwa mbunge mdogo wa Bunge la Amerika akiwakilisha jimbo la Illinois kuanzia Januari 2005 hadi wakati alipojiuzulu kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa urais mwezi wa Novemba 2008.
Obama ana shahada ya digrii kutoka Chuo Kikuu cha Columbia na Chuo cha Sheria cha Harvard, ambako alikuwa rais au mwenyekiti wa Jarida la Sheria la Harvard. Aliwahi kuhudumu kama mhamasishaji wa jamii huko Chicago kabla ya kuhitimu na shahada yake ya digrii katika fani ya sheria. Alifanya kazi kama mwanasheria mtetezi wa haki za wananchi huko Chicago na akawa mhadhiri wa sheria ya katiba katika Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Chicago kuanzia mwaka wa 1992 hadi mwaka wa 2004.


Obama alihudumu mihula mitatu katika Bunge la Jimbo la Illinois kuanzia mwaka wa 1997 hadi wa 2004. Baada ya kutofanikiwa katika jaribio la kuchaguliwa kama mjumbe wa Jumba la Wawakilishi la Amerika mnamo mwaka 2000, Obama aliwania kiti cha Bunge la Amerika mwaka wa 2004. visa kadhaa vilipelekea kutambulika kwake katika jukwaa la kitaifa; kwa mfano ushindi wa kuteuliwa kwake na chama cha Democratic ili kugombea kiti cha Mwakilishi wa Jimbo la Illinois katika Bunge la Amerika mnamo Machi 2004 na vilevile hotuba kuu Aliyoitoa na iliyoonyeshwa kwenye runinga katika Mkutano Mkubwa wa Kitaifa wa Chama cha Democratic mnamo Julai 2004. Alishinda katika uchaguzi wa Bunge la Marekani mnamo Novemba 2004.


Obama alianza kugombea urais mwezi Februari 2007. Baada ya kampeni iliyopiganiwa vikali kushindania uteuzi wa tikiti ya kuwania urais kupitia Chama cha Democratic mwaka wa 2008 kati yake na Hillary Clinton,aliibuka mshindi wa uteuzi huo. Katika uchaguzi wa kitaifa wa mwaka wa 2008, alimshinda mteule wa Chama cha Republican John McCain na kuapishwa kama rais mnamo tarehe 20 Januari, mwaka wa 2009. Tarehe 9 Oktoba 2009, yeye ilipatiwa [[2009 Tuzo ya Amani ya Nobel.]]



==Maisha ya Utotoni na Kazi==
{{main|Early life and career of Barack Obama}}


Barack Obama alizaliwa katika Hospitali ya kujifungulia akina mama wajawazito ya Kapi'olani mjini Honolulu, Hawaii, Marekani,[8] Mamake Stanley Ann Dunham, alikuwa Muamerika mwenye asili ya Kiingereza kutoka mji wa Wichita, Kansas,[10] na babake Barack Obama,Sr., alikuwa Mluo kutoka kijiji cha Nyang'oma Kogelo, Mkoa wa Nyanza, katika Colony ya Kenya. Wazazi wake Obama walikutana mwaka wa 1960 katika darasa la lugha ya Kirusi katika Chuo Kikuu cha Hawaii cha Manoa, ambako babake alikuwa mwanafunzi wa kigeni aliyekuwa amebahatika kupata msaada wa kimasomo.[12][14] Wawili hao walifunga ndoa mnamo tarehe 2 Februari, 1961,[16] na Barack akazaliwa baadaye mwaka huo. Wazazi wake walitengana akiwa na miaka miwili na kutalikiana mwaka wa 1964.[17] Babake Obama alio tena na kurudi Kenya, ambako alikuwa na wana wawili zaidi, Daudi na Mark Ndesandjo.[19] Mwandamizi Obama aliona mwana wake wa kwanza mara moja tu zaidi kabla ya kufa katika ajali mwaka 1982.[22]


Baada ya kupewa talaka, Dunham alifunga ndoa tena na mwanafunzi Muindonesia Lolo Soetoro aliyekuwa akisomea chuo kimoja cha Hawaii. Wakati Suharto, kiongozi wa kijeshi katika nchi yake Soetoro , aliposhika hatamu za uongozi mwaka wa 1967, wanafunzi wote kutoka Indonesia waliokuwa wakisomea nchi za nje waliamrishwa kurudi nyumbani na familia yake Soetoro ikalazimika kurudi kisiwani Indonesia.[23] Alipokuwa na umri wa kati ya miaka sita na kumi, Obama alihudhuria masomo katika shule za umma nchini Jakarta, ikiwemo Shule ya Umma ya Besuki na shule ya Mtakatifu Francis wa Assisi.


Mwaka wa 1971, alirudi Honolulu kuishi na wazazi wa mamake Madelyn na Stanley Armour Dunham, wakati akisomea Shule ya Punahou , shule ya kibinafsi iliyokuwa ya kuwatayarisha wanafunzi wanao jiunga na vyuo vya juu, alikohudhuria masomo kutoka darasa la tano hadi alipomaliza masomo ya shule ya upili mnamo mwaka wa 1979.[25]


Mamake Obama alirejea Hawaii mwaka wa 1972 na kusalia huko hadi mwaka wa 1977 alipohamia Indonesia kufanya kazi kama mtafiti wa nyanjani wa kianthropolojia. Hatimaye alirudi kukaa Hawaii mwaka wa 1994, mwaka mmoja kabla ya kifo chake kutokana na ugonjwa wa saratani ya kikapu cha uzazi.[28]


[[File:Ann Dunham with father and children.jpg|thumb|left|float|alt=Right to left:A young boy possibly in his early teens, a younger girl (about age 5), a grown woman and an elderly man, sit on a lawn wearing contemporary circa-1970 attire. The adults wear sunglasses and the boy wears sandals.|Kulia-hadi-kushoto : Barack Obama na dadake wa kambo Maya Soetoro, pamoja na mama yao Ann Dunham na babu Stanley Dunham,huko Hawaii (mapema 1970)]]


Akizungumzia maisha yake ya utotoni, Obama alisema, "Sikusumbuliwa akilini na fikra ya kuwa babangu alikuwa tofauti na watu wengine waliokuwa karibu nami na kwamba alikuwa mweusi ti naye mamangu alikuwa mweupe ja maziwa- sikuifikiria hata.[29] Alisimulia mawazo yaliyokuwa yakimkera kama kijana aliyekuwa akijaribu kuyatafakari na kulinganisha maoni ya jamii kuhusu asili yake ya kichotara.[31] Akitafakari kuhusu maisha yake ya utotoni huko Honolulu, Obama aliandika: "Fursa niliyopata Hawaii ya kuweza kushuhudia watu wakiheshimiana ilhali wakiishi katika mazingira ya mchanganyiko wa tamaduni nyingi, iliniwezesha kuyaiga maisha hayo na kuyadumisha katika fikira na tabia zangu na ikawa ni chanzo cha maadili niliyoyatukuza zaidi.[33] Katika maandishi yake, Obama amezungumzia jinsi alivyokunywa pombe, na kutumia , bangi na kokeini katika ujana wake ili "kuondoa akilini mwake maswali mengi kuhusu asili yake.[37] Alipokuwa akihutubia Kikao cha Wananchi cha mwaka wa 2008 Kujadili Urais, Obama aliufedhehekea utumiaji wake wa mihadarati akiwa shule ya upili na kuelezea hali hiyo kama "upotovu wake mkubwa zaidi wa kimaadili."[39]


Kufuatia high school, Obama alihamia Los Angeles mwaka 1979 kuhudhuria Chuo cha Occidental.[41] Baada ya miaka miwili alihamia Chuo Kikuu cha Columbia mwaka wa 1981 mjini New York City, na akalitaalimikia somo la siasa huku akisomea kwa kina uhusiano ya kimataifa[43] akahitimu Shahada ya BA mwaka wa 1983. Alifanya kazi kwa muda wa mwaka mmoja katika kampuni ya Business International Corporation,[47] kabla ya kujiunga na kampuni ya New York Public Interest Research Group.[51]



===Uanaharakati wa jamii Chicago na Harvard Law===


Baada ya kuishi miaka minne mjini New York, Obama alirejea mjini Chicago alikopata ajira kama mkurugenzi wa Mradi wa Ustawishaji wa Jamii (DCP), shiriki la kijamii lililodhaminiwa na kanisa na lililojumuisha parokia nane za Kikatoliki huko Greater Roseland (eneo lililo jumuisha Roseland, West Pullman na Riverdale) lililoko kusini zaidi mwa jiji la Chicago linalojulikana kama South Side. Alifanya kazi hapo kama mhamasishaji wa jamii kutoka Juni 1985 hadi Mei 1988.[52] 55] Kwa muda wa miaka mitatu alipokuwa mkurugenzi wa DCP, wafanyi kazi wa shirika hilo waliongezeka kutoka idadi ya mtu mmoja na kufikia watu kumi na watatu na bajeti ya shirika ikaongezeka maradufu kutoka dola 70,000 hadi dola 400,000. Alisaidia kuanzisha mpango wa mafunzo ya kikazi, ya kuwatayarisha wanafunzi kwa masomo katika ngazi ya vyuo, na kusajilisha huko Altgeld Gardens shirika la kutetea haki za wapangaji nyumba.[58] Aidha, Obama alifanya kazi kama mtaalamu na mkufunzi katika Wakfu wa Gamaliel, taasisi ya uhamasishaji wa jamii.[62] Katikati ya mwaka wa 1988, kwa mara ya kwanza alilizuru Bara Uropa kwa mujuma matatu kabla ya kuzuru Kenya kwa majuma matano na kukutana na jamaa wengi wa babake kwa mara ya kwanza.[63] Mnamo Agosti 2006, alirudi kutembelea kijiji alipozaliwa babake karibu na Kisumu, sehemu ya vijijini magharibi mwa Kenya.[65]


Obama alijiunga na Chuo cha Sheria cha Harvard, mwishoni mwa mwaka 1988. Aliteuliwa mhariri wa Jarida la Sheria la Harvard mwishoni mwa mwaka wake wa kwanza,[71] kabla ya kupandishwa cheo ha kuwa rais au mwenyekiti wa jarida hilo alipokuwa katika mwaka wake wa pili.[79] Nyakati za likizo wa msimu wa joto alirejea Chicago alikofanya kazi kama mwana sheria msaidizi wakati wa msimu wa joto katika kampuni ya kisheria ya Sidley Austin mwaka 1989 na ile ya Hopkins &amp; Sutter mwaka wa 1990.[81] Baada ya kufuzu na shahada iitwayo Juris Doctor (JD) magna cum laude[82] kutoka chuo cha Harvard mwaka 1991, alirejea teana Chicago.[83] Kuchaguliwa kwa Obama kuwa rais wa kwanza mwenye asili ya Kiafrika wa Jarida la Sheria la Harvard, kuliangaziwa sana na vyombo vya habari vya taifa.[84] Aliweza kutwaa kandarasi ya uchapishaji na kupata malipo ya awali ya kuandika kitabu kuhusu uhusiano baina ya watu wa rangi tofauti,[86] ingawa kitabu kiliibuka kuwa kumbukumbu la maisha yake binafsi hatimaye. Mswada huo ulichapishwa katikati ya mwaka wa 1995 na kupewa anwani Dreams from my Father.[87]



===Kurudi Chicago===


Kuanzia Aprili hadi Oktoba 1992, Obama alisimamia Mradi wa Upigaji Kura wa Illinois, kampeni ya usajili wa wapiga kura iliyowaajiri wafanyi kazi kumi na kuwakaribisha wafanyi kazi 700 wa kujitolea. Kampeni hiyo ilifikia lengo lake la kuwasajili Wamarekani wenye asili ya Kiafrika 150,000 kati ya 4000,000 walio katika jimbo hilo waliokuwa hawajajisajili kupiga kura. Kufuatia shughuli hiyo, gazeti la kibiashara la Crain's Chicago Business lilimtaja Obama katika orodha ya mwaka wa 1993 ya watu "40 walio na umri wa chini ya miaka arobaini" wenye uwezo wa kuongoza.[86]


Kwa miaka 12, Obama alikuwa profesa wa sheria ya kikatiba katika Chuo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Chicago ;akihudumu kama Mhadhiri kuanzia mwaka wa 1992 hadi 1996, na Mhadhiri Mkuu kuanzia mwaka wa 1996 hadi wa 2004.[92] Mnamo mwaka wa 1993, alijiunga na Davis, Miner, Barnhill &amp; Galland, kampuni ya sheria ya wanasheria 12 wenye taaluma spesheli ya utetezi katika kesi zilizohusu haki za wananchi na mambo ya ustawi wa kiuchumi wa mitaa. Alihudumu kama mwana sheria msaidizi kwa miaka mitatu kuanzia mwaka wa 1993 hadi wa 1996, kabla ya kuwa mwana sheria kamili kuanzia mwaka wa 1996 hadi wa 2004 , na kuacha kutumia kibali chake cha uanasheria mwaka 2002.[98]


Obama alikuwa mwanachama mwanzilishi wa bodi ya wakurugenzi waanzilishi wa Marafiki wa Umma (Public Allies) mwaka 1992, na akajiuzulu kabla ya mkewe, Michelle, kuwa mkurugenzi mtendaji mwanzilishi wa tawi la Marafiki wa Umma wa Chicago mwanzoni mwa mwaka wa 1993[99][101] Alihudumu kuanzia mwaka wa 1994 hadi 2002 kama mwanachama wa bodi ya wakurugenzi wa Hazina ya Woods ya Chicago, iliyokuwa wakfu wa kwanza kutoa pesa kwa Mradi wa Ustawi wa Jamii mnamo mwaka wa 1985. Aidha alihudumu kuanzia mwaka wa 1994 hadi wa 2002 kama mwanachama wa bodi ya wakurugenzi wa Wakfu wa Joyce.[102] na kuhudumu vile vile katika bodi ya wakurugenzi wa Chicago Annenberg Challenge kuanzia mwaka wa 1995 hadi 2002, kama rais mwanzilishi na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi kuanzia mwaka wa 1995 hadi 1999.[103] Alipata pia kuwa mwanachama wa bodi za Kamati Ya Wanasheria Wa Chicago Ya Kushughulikia Haki Za Wananchi Katika Sheria, Kituo cha Mtaa cha Technolojia,, na Kituo cha Matumaini cha Lugenia Burns.



==Kazi katika ulingo wa siasa: 1996–2008==

===Mjumbe katika Bunge la Jimbo: 1997–2004===
{{main|Illinois Senate career of Barack Obama}}


Obama alichaguliwa katika Bunge la Seneti la Illinois mwaka wa 1996, akamfuata Seneta Alice Palmer kama Seneta kutoka Wilaya ya 13 ya Illinois, ambayo wakati huo ilijumuisha maeneo jirani na Chicago South Side kuazia Hyde Park - Kenwood kuelekea kusini hadi South Shore na kuelekea magharibi hadi Chicago Lawn].[108] Baada ya uchaguzi wake, Obama alipata kuungwa mkono na mirengo yote miwili ya kisiasa kwa kuleta hoja za kisheria zilizoleta mabadiliko katika sheria kuhusu maadili na huduma za afya.[113] Alifadhili sheria iliyoipandisha ruzuku ya kodi kwa wafanyikazi wenye mapato ya chini, na kuleta mabadiliko katika masilahi ya jamii kupitia kwa mazungumzo na kupelekea kupandishwa kwa msaada wa kuwatunza watoto.[116] Mnamo mwaka wa 2001, akiwa mwenyekiti mshiriki wa Kamati ya Muungano wa vyama vyote viwili kuhusu Kanuni za Usimamizi, Obama alimuunga mkono Gavana wa chama cha Republican Ryan kuhusu utekelezaji wa kanuni za mikopo ya siku za ridhaa na kanuni za mikopo ya nyumba zenye dhamira ya kudhalilisha biashara ili kuepuka kuchukua mali ya mkopaji aliyeshindwa kulipia nyumba yake kwa wakati uliokubaliwa.[119]


Obama alichaguliwa kwa mara ya pili katika Seneti ya Illinois mwaka wa 1998, alipomshinda mgombezi wa chama cha Republican Yesse Yehudah katika uchaguzi wa jimbo, na akachaguliwa kwa mara nyingine mwaka wa 2002.[122] Mnamo mwaka wa 2000, alishindwa kwa kura mbili kwa kila kura moja aliyoipata wakati wa uteuzi wa chama cha Democratic wa kuwania kiti cha Jumba la Uwakilishi la Amerika na Bobby Rush aliyekuwa ameshikilia kiti hicho kwa mihula minne.[123]


Mnamo Januari 2003, Obama aliteuliwa kuwa mwenyikiti wa Kamati ya Bunge la Seneti la Illinois kuhusu Huduma za Afya na za Kibinadamu wakati ambapo chama cha Democratic kilishinda viti vingi zaidi baada ya mwongo mmoja wa kuwa na viti vichache.[125] Alidhamini na kuongoza upitishaji wa hoja ya kisheria iliyoungwa mkono na bunge lote. Hoja hiyo ilihusu kuchunguzwa kwa kutumia jamii ya mkosi iliowataka polisi kurekodi jamii ya madereva waliowazuilia, na vile vile sheria iliyolifanya jimbo la Illinois kuwa la kwanza kuhalalisha upigwaji wa picha za video wakati wa kuwahoji washukiwa wa mauaji.[126][130] Wakati wa kampeni zake za kitaifa za kuwania kiti cha Bunge la Seneti la Amerika mnamo mwaka wa 2004, wawakilishi wa polisi walimpongeza Obama kwa kuwa mstari wa mbele katika kufanya kazi na matawi ya polisi kutekeleza mabadiliko kuhusu hukumu ya kifo.[133] Obama alijiuzulu mwezi wa Novemba 2004 kutoka kwa Bunge la Seneti la Illinois kufuatia kuchaguliwa kwake katika Bunge la Seneti la Amerika.[135]



===Mwaka wa 2004 Kampeni za kuwania kiti cha Bunge la Seneti la Amerika===
{{see also|United States Senate election in Illinois, 2004}}


Mnamo Mei 2002, Obama alidhamini kura ya maoni kuchunguza uwezekano wake wa kushinda katika uchaguzi wa Bunge la Seneti la Amerika wa mwaka wa 2004. Alibuni kamati ya kampeni na akaanza kuchangisha fedha na akamhusisha, mnamo Agosti 2002 David Axelrod mtaalamu wa habari za kisiasa kabla ya kutangaza rasmi nia yake ya kuwania kiti cha Bunge la Seneti mnamo Januari 2003.[138] Maamuzi ya mshikilizi wa kiti hicho Peter Fitzgeraldwa wa chama cha Republican, pamoja na mtangulizi wake wa chama cha Democratic Carol Moseley Braunkutowania kutowania katika uchaguzi huo, kiti hicho kulifungua mlango wazi na watu kumi na watano wakatafuta uteuzi wa vyama vya Democratic na Republican.[140] Kampeni ya Obama ilipata fanaka kufuatia matangazo ya Axelrod yaliyomhusisha Hayati Harold Washington aliyekuwa Meya wa Chicago na kule kuungwa mkono na bintiye marehemu Paul Simon, Seneta wa kitaifa wa zamani wa Illinois.[142] Katika uchaguzi wa Machi 2004 msingi, Obama alishinda kwa ukingo kubwa, huku akimaliza na 53% ya kura kati ya wagombea saba, na kumshina aliyemfuata kwa pointi asilimia 29. Akauchomoa ya kushinda usikivu wa Democrats kote, na uvumi ukaanza juu ya uwezekano wa kampeni za urais.[143]


Mnamo Julai 2004, Obama aliandika na kusoma hotuba kuu katika Mkutano wa Kitaifa wa Chama cha Democratic wa mwaka wa 2004 mjini Boston, Massachusetts.[145] Ingawa haikutangazwa na mitandao ya biashara ya televisheni,watu 9.1 milioni waliona hotuba ya Obama, ambayo ilikuwa ni belysa ya mkataba wake na muinuko sasa ndani ya Democratic Party. <ref name="status"></ref>


Mpinzani wa Obama katika uchaguzi huo , Jack Ryan mteule wa chama cha Republican, alijiondoa mnamo Juni 2004.[148] Miezi miwili baadaye Alan Keyes, aliukubali uteuzi wa Chama cha Republican cha Illinois kuwania kiti hicho badala yake Ryan.[150] Keyes, aliyekuwa kwa muda mrefu mkaazi wa Maryland, alihamia Illinois kwa mujibu wa sheria baada ya uteuzi wake. Katika uchaguzi wa ngazi ya jimbo mnamo Novemba 2004, Obama alishinda 70% ya kura dhidi 27% za Keyes. Huu ulikuwa ni ushindi mkubwa zaidi katika historia ya uchaguzi katika Jimbo la Illinois.[153]



===Seneta katika Bunge la Amerika: 2005–2008 ,===
{{main|United States Senate career of Barack Obama}}


Obama aliapishwa kuwa seneta mnamo Januari 4, 2005.[156] Obama alikuwa Seneta Mwamerika mwenye asili ya Kiafrika wa tano katika historia ya Amerika na wa tatu kuchaguliwa kupitia njia ya kura.[158] Aidha alikuwa Seneta pekee aliyekuwa mwanachama wa Kundi la Wabunge Weusi, lililojulikana kama Congressional Black Caucus.[161] Gazeti la CQ , lisiloegemea upande wowote lilimtaja kama "mwana chama cha Democratic anayeaminika" kulingana na uchanganuzi wa kura zote za Maseneta kati ya mwaka wa 2005 na 2007. Jarida la National Journal lilimworodhesha kama seneta "mwenya siasa huru zaidi" kutokana na utafiti uliofanywa kwa kura za maoni zilizopigwa mwaka wa 2007; mwaka wa 2005 aliibuka wa kumi na sita katika orodha hiyo ya Maseneta wenya siasa huru zaidi, na mwaka wa 2006 akaibuka wa kumi.[162] Mnamo mwaka wa 2008, tovuti ya Congress.org lilimworodhesha kama Seneta wa kumi na moja aliye na ushawishi zaidi,[164] na mwanasiasa aliyependwa zaidi na watu katika Seneti, kwani 72% ya watu wa Illinois waliridhika na kazi yake.[166] Obama alitangaza mnamo Novemba 13, 2008 kwamba atajiuzulu kiti chake Novemba 16, 2008, kabla ya mwanzo wa kipindi cha Bunge la Congress kinachojiri wakati wa muda wa kuondoka kwa serikali ya zamani na wa kuingia kwa serikali mpya inayojulikana kama "lame-duck session" ili aweze kukamilisha matayarisho yake kushika hatamu za urais.[167] Kwa kufanya hivyo aliweza kujiepusha na utata ulio kati ya nafasi ya Rais mteule na vile vile Seneta wakati wa kipindi hiki cha Congress ambapo walio ofisini wanajitayarisha kuondoka. Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mwanachama wa Congress kujipata katika hali hii tangu siku za Warren Harding.[169]



====Utungaji Sheria====
{{see also|List of bills sponsored by Barack Obama in the United States Senate}}


[[File:Coburn and Obama discuss S. 2590.jpg|thumb|right|alt=A man with glasses and Obama sit and hold a sheet of paper. Obama points at the paper and talks. Both men wear dark suits and ties.|Seneti muswada wadhamini Tom Coburn (R-OK) na Obama akijadili Coburn-Obama sheria ya uwazi &amp;lt;ref&amp;gt; [169] &amp;lt;/ ref&amp;gt;]]


Obama aliipigia kura hoja ya kisheria iliyojulikana kama Sheria kuhusu Sera ya Kawi ya mwaka wa 2005 na kudhamini kwa pamoja Sheria kuhusu Usalama wa Amerika na Uhamiaji wenye Mpangilio.[173] Mnamo septemba 2006, Obama aliiunga mkono hoja ya kisheria iliyohusiana na sheria hiyo , Sheria kuhusu Sheria kuhusu Usalama wa Ua la Kitaifa[175] Obama alidhamini hoja mbili za kisheria ziliyopewa jina lake: sheria ya Lugar–Obama, iliyoimarisha sheria kuhusu kupunguzwa kwa hatari wakati wa kushirikiana na nchi zingine iliyodhaminiwa kwa mara ya kwanza na[178] Nunn-Lugar iliyohusisha zana zilizokubalika na Sheria ya Coburn-Obama kuhusu uwazi, iliyotoa ruhusa ya kuanzishwa kwa tovuti ya USAspending.gov, mtambo wa utafiti katika mtandao wa intaneti kuhusu matumizi ya fedha ya serikali kuu ya Amerika.[181] Mnamo Juni 3, 2008, Seneta Obama, pamoja na Masenetan Thomas R. Carper, Tom Coburn, na John McCain, walidhamini hoja ya kisheria ya ufwatiliaji wa matumizi: Sheria ya mwaka wa 2008 kuhusu Uimarishaji wa Uwazi na Uwajibikaji katika Matumizi ya Fedha na Serikali Kuu.[182]


[[File:Lugar-Obama.jpg|left|thumb|alt=Gray-haired man and Obama stand, wearing casual polo shirts. Obama wears sunglasses and holds something slung over his right sholder.|Obama na Seneta Richard Lugar (R-IN) wazuru nchi ya Urusi kwa kampuni ya masilahi mnamo mwezi Agosti mwaka wa 2005. &amp;lt;ref&amp;gt; [181] &amp;lt;/ ref&amp;gt;]]


Obama alifadhili utungaji sheria ambao ungewahitaji wanaomiliki mitambo ya kinuklia kutaarifu serikali za majimbo na za mitaa kuhusu uvujaji wa vinururishi, lakini mswada huu haukupitishwa wakati wa kikao cha Seneti kamili baada ya kubadilishwa sana ulipofika hatua ya kamati.[185] Obama hachukii mabadiliko yanayohusu makosa ya daawa kwa hivyo alipigia kura Sheria ya Mwaka 2005 ya Kitendo cha Haki katika Matabaka na Sheria ya Marekebisho ya FISA ya mwaka wa 2008 inayotoa kinga dhidi ya kuwajibika kiraia kwa makampuni ya kimawasiliano yanayoshiriki katika shughuli za kunasa na na kusikiliza mawasiliano kusiko haki kwa NSA.[187]


Mnamo December 2006, Rais Bush alitia sahihi hoja ya kisheria na kuidhinisha Sheria kuhusa Kuimarishwa kwa Msaada, Usalama na Demokrasia katika Jamhuri ya Kidemokorasia ya Congo hii ikiwa ni sheria ya kwanza ya kitaifa kuidhiniswa baada ya kudhaminiwa tangu mwanzo na Obama.[190] Mnamo Januari 2007, Obama pamoja na Seneta Feingold walitunga kipengele kuhusu usafiri kwa ndege za kampuni kwenye Sheria kuhusu Uongozi Unaoaminika na Uwazi katika Serikali , kilichoidhinishwa mnamo Septemba 2007.[194] Aidha, Obama aliwasilisha Sheria ya Kuzuia Udanganyifu na Kutishwa kwa Wapiga Kura ,hoja ya kisheria iliyolenga kuharamisha udanganyifu katika chaguzi za kitaifa[198] na vile vile Sheria ya Mwaka wa 2007 kuhusu Kupunguzwa kwa Vita vya Iraq[201]. Hoja zote mbili hazijaidhinishwa kuwa sheria.


Baadaye mnamo mwaka wa 2007, Obama alidhamini hoja ya marekebisho ya Sheria kuhusu Ruhusa za Kiulinzi na kuongeza kipengele kuhusu uwezekano wa kuachishwa kazi kwa wanajeshi wenye nafsi punguani.[204] Marekebisho haya yalipitishwa na Seneti mwanzo wa mwaka wa 2008.[206] Aliidhamini pia hoja iliyojulikana kama Sheria ya Kuimarisha Vikwazo dhidi ya Iran iliyounga mkono kupunguzwa kwa uwekezaji wa fedha za malipo ya uzeeni katika sekta ya mafuta na gesi nchini Iran; hoja ambayo haikupitishwa katika kamati. Aidha alidhamini kwa pamoja hoja ya kisheria iliyolenga kupunguza hatari ya ughaidi wa kinuklia.[207] Obama alidhamini vile vile marekebisho ya Seneti kwa Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Afya kwa Watoto yaliyolenga kuwahakikishia bima jamaa wanaowatunza wanajeshi waliojeruhiwa vitani.[210]



====Kamati za Bunge====
Obama alikuwa na majukumu katika kamati za Bunge la Seneti; kamati za Maswala ya Kigeni, Mazingira na Kazi za Umma na Maswala ya Wakongwe wa Kivita hadi Desemba 2006.[212] Mnamo Januari 2007, alijiondoa katika Kamati ya Mazingira na Kazi za Umma na kutwaa majukumu ya ziada katika kamati za Afya, Masomo, Leba na Malipo ya Uzeeni na Usalama wa Nchi na Maswala ya Kiserikali.[214] Alikuwa pia mwenyekiti wa kamati ndogo ya Seneti kuhusu Maswala ya Bara Ulaya.[216] Akiwa mwanachama wa Kamati ya Maswala ya Kigeni, Obama alitembelea maeneo ya Ulaya ya Mashariki, Mashariki ya Kati, eneo la kati la Bara Hindi na Bara la Afrika. Alikutana na Mahmoud Abbas kabla hajachaguliwa kuwa Rais wa Serikali ya Palestina, na akatoa hotuba katika Chuo Kikuu cha Nairobi ilikoshutumu ufisadi katika serikali ya Kenya.[217][218]



==Kampeni za Mwaka wa 2008 za Uchaguzi wa Urais==
{{main|United States presidential election, 2008|Barack Obama presidential primary campaign, 2008|Barack Obama presidential campaign, 2008}}
[[File:Flickr Obama Springfield 01.jpg|thumb|right|alt=Obama stands on stage with his family. They wave.|Obama anasimama juu ya jukwaa na mke wake na mabinti wawili kabla ya kutangaza Ugombea urais wake katika Springfield, Illinois, Februari 10, 2007.]]
Mnamo Februari 10, 2007, Obama alitangaza kuwa atawania kiti cha urais wa Amerika mbele ya jengo linaloitwa Old State Capitol katika eneo la Springfield, mjini Illinois.[221][223][224] Chaguo la pahali hapo lilichukuliwa kama kielelezo[225][227]kwani ni pahali hapo ambapo Abraham Lincoln alipotolea hotuba yake ya kihistoria inayojulikana kama ""House Divided" mnamo mwaka wa 1858.[229] Kwa muda wote wa kampeni, Obama aliyapigia upatu maswala ya kumaliza vita vya Iraq War, kujitegemea zaidi kikawi na kuhakikisha huduma za afya kwa kila mtu. [230] Tazama pia:

* {{cite book|last=Thomas|first=Evan|authorlink=Evan Thomas|title=A Long Time Coming|publisher=[[PublicAffairs]]|year=2009|location=New York|page=74|isbn=9781586486075}}
* {{cite news|first=Michael|last=Falcone|title=Obama's 'One Thing'|date=December 21, 2007|url=http://thecaucus.blogs.nytimes.com/2007/12/21/obamas-one-thing/|work=The New York Times|accessdate=April 14, 2008}} </ ref>


[[File:obama08acceptance.jpg|thumb|left|upright|alt=Obama delivers a speech at a podium while several flashbulbs light the background.|Obama atangaza ushindi wake katika uchaguzi wa rais katika hotuba huko Grant Park.]]


Wagombezi wengi walijisajilisha katika uteuzi na Chama cha Democratic. Baada ya kura kupigwa mara kadhaa wengi wa wagombezi hawa waliondolewa katika uteuzi na wakabaki Obama na Seneta Hillary Rodham Clinton kupimana nguvu, na shindano hilo Obama aliongoza kwa idadi ya wajumbe walioahidi kumpigia kura kwa kuwa alikuwa na mpango wa kudumu katika kampeni yake, aliweza kukusanya fedha nyingi zaidi za kugharamia kampeni, kuandaa mipango kabambe katika majimbo yenye uzito wa kikura, na kuizingatia na kuzitumia kanuni za kujishindia wajumbe.[233] Majimbo yote yalipohesabiwa tarehe 3 Juni, Obama alitangazwa mgombezi mteule[234] na akatoa hotuba mjini St. Paul, Minnesota, kusheherekea ushindi wake. Mnamo Juni 7, Clinton alitamatisha kampeni yake na kukubali kumuunga mkono.[236]


[[File:President George W. Bush and Barack Obama meet in Oval Office.jpg|thumb|right|alt=Obama meets with Bush in the Oval Office. Both sit at a distance in front of the presidential desk with their legs crossed and their backs on an angle toward the camera. They sit at right angles to each other.|Obama akutana na Rais wa arobaini na tatu , George W. Bush katika Ofisi ya Oval tarehe 10 Novemba, 2008.]]


Obama aliendelea na mipango yake ya kampeni ya uchaguzi katika ngazi ya kitaifa dhidi ya Seneta John McCain, aliyekuwa mgombezi mteule wa chama cha Republican kabla ya Mkutano Mkuu wa Kitaifa wa Chama cha Democratic. Alitangaza mnamo Agosti 23, 2008, kwamba alikwisha mchagua Seneta Joe Biden wa Delaware kama mgombezi mwenza katika uchaguzi wa makamu wa rais.[238] Katika mkutano mkuu wa kitaifa wa chama ulioandaliwa kuazia Agosti 25 hadi 28 mjini Denver, Colorado, Hillary Clinton aliwataka wajumbe waliokuwa wamemwahidi kura na wafwasi wake kumkubali Obama, kabla kutoa hutuba katika mkutano huo pamoja na mmewe Bill Clinton kumuunga mkono Obama.[239] Akiukubali uteuzi wake, Obama aliwahutubia zaidi ya wafuasi wake 75,000 waliomuunga mkono na kuwajulisha kuhusu sera zake katika hotuba iliyotazamwa na zaidi ya watu milioni 38 kote ulimwenguni.[240]


Wakati wa harakati za uteuzi na uchaguzi, timu ya kampeni ya Obama iliweka rekodi kadhaa za kuchangisha pesa, hasa kutoka kwa watu waliotoa idadi ndogo ya pesa.[241] Mnamo Juni 19, 2008, Obama alikuwa mgombezi wa kwanza wa chama kikubwa cha kisiasa kukataa fedha za umma katika kuugharamia uchaguzi mkuu tangu kubuniwa kwa mpango huo mwaka wa 1976.[243]


Baada ya kuteuliwa kwa McCain kuwa mgombezi wa chama cha Republican mijadala mitatu kati ya wagombezi wa urais iliandaliwa kati ya Septemba na Oktoba 2008.[244] Mwezi wa Novemba, Obama alishinda urais kwa 52.9% ya kura za wananchi naye McCain's akapata 45.7%. [246] Aidha , Obama alipata kura za wajumbe 365 dhidi ya mpinzani wake aliyepata kura 173 za wajumbe.[247] Kwa hivyo aliibuka mshindi na kuwa Mwamerika wa kwanza mwenye asili ya Kiafrika[252] kuchaguliwa kuwa rais. Obama alitoa hotuba yake ya ushindi mbele ya mamia ya maelfu ya wafuasi wake uwanjani Grant Park, jijini Chicago.[254]



==Urais==
{{main|Presidency of Barack Obama}}
{{seealso|Confirmations of Barack Obama's Cabinet|List of presidential trips made by Barack Obama}}
[[File:US President Barack Obama taking his Oath of Office - 2009Jan20.jpg|thumb|right|Barack Obama anachukua kiapo ya ofisi ya rais wa Amerika.]]

===Siku za kwanza===
Kuapishwa kwa Barack Obama kama Rais wa 44, na Joe Biden kama Makamu wa Rais, ulifanyika mnamo tarehe 20 Januari 2009. Katika siku za kwanza za urais, Obama alitoa maagizo rasmi na kutuma nyaraka za kirais kuliamuru jeshi la Amerika kuanzisha mipango ya kuondoka Iraq[258] na kuamuru kufungwa kwa kambi ya kizuizi ya Guantanamo "haraka iwezekanavyo na kabla ya" Januari 2010.[260] Aidha, Obama alipunguza usiri zinazopewa rekodi za rais[262] na kubadili mipangilio ili kuwezesha kutolewa kwa habari kwa mujibu wa Sheria kuhusu Uhuru wa Kupata Habari.[264]
Rais Obama vile vile alibadilisha marufuku wa George W. Bush ya kutowapa fedha za kitaifa mashirika ya kigeni yaliyoruhusa uavyaji mimba (iliyojulikana kama Sera ya Jiji la Mexico na iliyojulikana na wapinzani wa marufuku hiyo kama "Kanuni ya Kumfunga Kila Mtu", yaani "Global Gag Rule").[266]



===Sera ya Maswala ya Ndani===
Mnamo tarehe 29 Januari 2009, Rais Obama alitia sahihi mswada wake wa kwanza kuwa sheria , Sheria ya mwaka wa 2009 kuhusu Malipo ya Haki ya Lilly Ledbetter , iliyoharamisha uamuzi wa Mahakama Kuu katika kesi ya Ledbetter dhidi ya kampuni ya Goodyear Tire &amp; Rubber Co. na hivyo kurahisisha matakwa ya kuwasilisha kesi kotini kuhusu visa vya ubaguzi katika ajira.[268] Siku tano baadaye, aliitia sahihi idhini ya pili kwa Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Afya kwa Watoto (SCHIP) ili kuwezesha watoto milioni nne zaidi kupewa bima ya maisha.[270]


Mwezi Machi 2009, Obama alibatilisha sera ya serikali ya Bush iliyoharamisha utumizi wa dola zilizotokana na kodi kulipia gharama ya utafiti mpya uliolenga chembe chembe changa yaani embryonic stem cells. Ingawa utafiti wa aina hii ulikuwa bado unajadiliwa, Obama alisema kuwa aliamini kuwa "sayansi yenye manufaa na maadili ya kijamii... ni vitu vinavyotangamana," na kuongezea kuwa tuna "utu na dhamira" kujihusisha na utafiti huu kwa uwajibikaji na kuahidi kubuni "taratibu za kufuatwa" kuhakikisha uwajibikaji huo katika utafiti.[271]


Mnamo tarehe 26 Mei 2009, Obama alimteua Sonia Sotomayor kuchukua nafasi yake Jaji Msaidizi David Souter. Uteuzi wa Sotomayor uliidhinishwa mnamo tarehe 6 Agosti 2009 kwa kura 68 dhidi ya 31[273] na hivyo kumfanya Jaji wa Mahakama Kuu wa kwanza mwenye asili ya Kihispania. Alijiunga na Ruth Bader Ginsburg kuwa mwanamke wa pili katika Mahakama hiyo na mwanamke wa tatu kuwahi kuwa Jaji.[274]


Tarehe 30 Septemba 2009, serikali ya Obama ilitangaza kanuni mpya kuhusu vituo vya nguvu za umeme, viwanda na vituo vya kusafisha mafuta katika jaribio la kupunguza kutolewa kwa gesi za sumu katika mazingira na kupambana na ongezeko la joto ulimwenguni.[275][276][277]



===Usimamizi wa kiuchumi===
Tarehe 17 Februari 2009, Barack Obama aliidhinisha Sheria ya mwaka wa 2009 kuhusu Ufufuaji Uchumi wa Amerika na Uwekezaji Upya, mpango wa kukwamua uchumi wa dola bilioni 787 uliolenga kusaidia kuufufua uchumi kutokana na uzorotaji wa uchumi ulimwenguni kote. Obama alilitembelea Bunge la Congress kwenye jengo la Capitol Hill kushiriki katika mijadala na Wabunge wa chama cha Republican, ingawaje hoja hiyo ya kisheria ilipitishwa mwishowe baada ya kuungwa mkono na Senata watatu tu wa chama cha Republican.[279] Baadhi ya mapendekezo ya sheria hiyo ni kuongeza matumizi ya fedha kwa huduma za afya, ujenzi wa nyenzo ya kiuchumi, elimu, gharama za kukatwa kwa kodi na kutoa motisha ya kuwekeza , pamoja na usaidizi wa moja kwa moja kwa watu binafsi,[280] Mabadiliko haya yalilengwa kufanyika kwa muda wa miaka kadhaa, ilhali 25% yanatarajiwa kutekelezwa kabla ya mwisho wa mwaka wa 2009. Mwezi Juni, Obama, akiwa hajatoshelezwa na kasi ya kuimarika kwa uchimi, alitoa wito kwa mawaziri wake kuongeza kasi ya matumizi ya katika wiki zijazo.[282]


Mnamo Machi, Waziri wa Fedha wa Obama, Timothy Geithner, alichukua hatua zaidi za kukabiliana na mgogoro wa ukosefu wa kifedha, ikiwemo kuanzishwa kwa Mpango wa Uwekezaji Unaojumuisha Sekta ya Umma na Kibinafsi unaoruhusu kununuliwa kwa nyumba zilizoshuka bei kwa gharama ya trilioni mbili ili kuzuia kupunguka kwa bei za hisa, kusimamishwa kwa kutolewa kwa mikopo na kuchelewesha kufufuka kwa uchumi. Mnamo tarehe 23 Machi, gazeti la, The New York Times lilieleza kwamba wawekezaji walisisimka huku bei zote za masoko makubwa ya hisa zikianza kupanda wakati wa ufunguzi wa masoko haya.[283] Kuandamana na matumizi hayo ya serikali na hakikisho kwa mikopo uliyotolewa na Hazina ya Kitaifa na Idara ya Fedha, takriban dola trilioni 11.5 zilikuwa zimeidhinishwa kutolewa na serikali za Bush na Obama. Idadi ya dola trilioni 2.7 zilikuwa zimetumika tayari kufikia mwisho wa Juni 2009.[285]


Mnamo mwezi wa machi, Obama aliingilia kati katika sekta ya utengenezaji wa magari uliyodorora[287] alipoidhinisha mikopo ya ziada kwa kampuni za General Motors na Chrysler Corporation kuziwezesha kuendelea na shughuli za matengenezo ya magari huku wakijipanga upya. Miezi iliyofuatia, Ikulu ya Rais wa Amerika, White House, ilitoa mwongozo kuhusiana na kufilisika kwa makampuni hayo, pamoja na kuuzwa kwa Chrysler kwa watengenezaji ma magari wa Italia, Fiat[289] na kupangwa upya kwa General Motors na kuipa serikali ya Amerika asilimia 60 ya hisa za kampuni, na serikali ya Canada kuchukua aslimia 12 ya hisa.[291] Yeye pia alitia saini kuwa sheria ya "Car Allowance Rebate System", inayojulikana kama muswada wa "Cash for Clunkers" , tarehe 7 Agosti, 2009.


Katika robo ya tatu ya 2009, uchumi wa Marekani wigo katika 2,8% mwaka kasi.[294] Obama, amedai kuwa kichocheo paket ulisaidia kukomesha kukosekana kiuchumi.[295] Mbalimbali wanauchumi na credited paket ya kichocheo kwa kusaidia kujenga uchumi. <ref> [http://www.nytimes.com/2009/11/21/business/economy/21stimulus.html?hp Mpya Consensus anayaona kichocheo Package kama anastahili Hatua]</ref> <ref> [http://www.nytimes.com/2009/11/02/opinion/02krugman.html?_r=1 Too Little ya jambo zuri]</ref> Hata hivyo, ukosefu wa ajira imeendelea kuongezeka hadi 10.2% (juu zaidi katika miaka 26), <ref name="unempl">{{cite news|title=U.S. Unemployment Rate Hits 10.2%, Highest in 26 Years|author=Peter S. Goodman|date=November 6, 2009|work=[[New York Times]]|url=http://www.nytimes.com/2009/11/07/business/economy/07jobs.html}}</ref> na kiwango cha kutotumika kikamilifu kimeongezeka hadi 17.5%. <ref> http://www.nytimes.com/2009/11/07/business/economy/07econ.html?_r=1&amp;em</ref> Katikati ya Novemba, Obama alisema alikuwa na wasiwasi kwamba [[matumizi]] ya kupindukia unaweza kusababisha uchumi uingia katika hali ya kudorota mara ya pili. <ref> http://www.npr.org/blogs/thetwo-way/2009/11/obama_china_afghanistan_recess.html</ref> <ref> http://www.google.com/hostednews/ap/article/ALeqM5g8-DEMtAE9q4i4ySQ0eV_qZefmRQD9C21N7G2</ref>



===Sera za kigeni===
{{Main|Foreign policy of the Barack Obama administration}}
Katika miezi ya Februari na Machi, Makamu wa Rais Joe Biden na Hillary Clinton walitembelea nchi za kigeni kutangaza "mwanzo mpya" katika uhusiano wa Amerika na Urusi pamoja na Ulaya, wakitumia maneno kama "kuvunja" na "kuanzisha upya" kuashiria mabadiliko makubwa, tofauti na sera za serikali iliyotangulia.[303] Kukubali kwa Obama kuhojiwa kwa mara ya kwanza tangu kuchukua hatamu za urais na runinga ya Kiarabu ya , Al Arabiya, kulieleweka kama jaribio la kuwakaribia Waarabu.[305]


Mnamo tarehe 19 Machi, Obama aliendelea na majaribio yake ya kuukaribia Ulimwengu wa Waisilamu aliopowatumia ujumbe wa vidio wa mwaka mpya wananchi na serikali ya Iran.[307] Jiribio hili la kuwakaribia lilikataliwa na viongozi wa Iran.[309] Mnamo Aprili, Obama alitoa hotuba mjini Ankara, Uturuki, iliyopongezwa na serikali nyingi za Kiarabu.[311] Tarehe 4 Juni, 2009, Obama alitoa hotuba katika Chuo Kikuu cha Cairo nchini Misri na kutaka kuwe na "mwanzo mpya" katika uhusiano kati ya ulimwengu wa Kiislamu na Amerika na kuimarishwa kwa amani amani Mashariki ya Kati.[301]


Tarehe 26 Juni, 2009, katika kukabiliana na vitendo Iranian serikali kuelekea waandamanaji Irans 2009 kufuatia uchaguzi wa urais, Obama alisema: "Ghasia waliotendewa ni ya kushangaza. Tumeiona na tunailaani."[314] Julai 7, alipokuwa Moscow, yeye alijibu kwa Makamu wa Rais Biden maoni juu ya uwezekano wa mgomo Israel kijeshi Iran kwa kusema: "Tumesema moja kwa moja kwa Waisraeli kwamba ni muhimu kujaribu na kutatua haya katika mazingira ya kimataifa katika njia ambayo haitajenga mgogoro kubwa katika Mashariki ya Kati."[315]


Mnamo tarehe 24 Septemba 2009, Obama alikuwa Rais wa kwanza wa Amerika aliye mamlakani kuongoza mkutano wa baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa."[316]



===Vita vya Iraq===
{{Main|Iraq War}}
Akiwa anagali rais mteule Obama alitangaza kuwa angemdumisha Waziri wa Ulinzi wakati huo, Robert Gates, katika baraza lake la mawaziri.[308]


Siku za kwanza wa Urais wake, Obama aliamua kubadilisha mtazamo wa ulimwengu kuhusu mbinu za kivita za Amerika kwa kupanga kupunguza idadi ya wanajeshi nchini Iraq kama ilivyonuiwa na serikali ya Bush katika siku zake za mwisho.[320] Mnamo tarehe 27 Februari, Obama alitangaza kwamba mapigano yataisha nchini Iraq kabla ya mwisho wa miezi 18. Aliyatamka haya alipokuwa akizungumza na kundi la wanajeshi wa Amerika waliokuwa wametumwa Afghanistan. Obama alisema, "Hebu nisema haya kinagaubaga: Kufikia tarehe 31 Agosti 2010, mapigano yetu nchini Iraq yatafika kikomo.[311]



===Vita nchini Afghanistan===
{{Main|War in Afghanistan (2001–present)}}


Mwanzoni mwa urais wake, Obama alibadili mbinu za kivita za Amerika kwa kuliongezea nguvu jeshi lililoko Afghanistan.[324] Tarehe 18 Februari 2009, Obama alitangaza kuwa Marekani itaongeza idadi ya wanajeshi nchini Afghanistan kwa idadi ya 17,000, huku akidai kwamba ongezeko ilikuwa muhimu na "kutengemaa kwa hali ya kuzorota nchini Afghanistan", eneo alisema haikuwa imepokea "kimkakati makini, mwelekeo na rasilimali hiyo inahitaji haraka."[326]


Mnamo Mei 11, Obama alimwachisha kazi kamanda wake wa kijeshi nchini Afghanistan, Jemedari David McKiernan D.,na kumteuwa kamanda wa zamani wa Jeshi la Kipekee . Luteni Jemedari Stanley McChrystal, kuchukua nafasi yake, akiwa na imani kwamba ujuzi wa Jemedari McChrystal katika Jeshi la Kipekee ungemwezesha kutumia mbinu za kivita dhidi ya wanamgambo wa kivita.[316]



===Mabadiliko katika huduma za afya===
{{main|Health care reform in the United States|Obama administration health care proposal}}
Obama ameliambia Bunge la Congress kupitisha mabadiliko katika huduma za afya, ahadi kuu aliyoitoa wakati wa kampeni na lengo lake kuu la kisheria. Mnamo Julai 14, 2009, viongozi wa Bunge wa chama cha Democratic waliwasilisha mpango wa kurasa 1,017 wa kubadilisha pakubwa mfumo wa huduma za afya wa Amerika, ambao Obama analitaka Bunge la Congress kupitisha kabla ya mwaka kuisha.[330] Aidha, Obama amesema kuwa uwezekano wa bima ya afya ya umma ni nguzo muhimu katika kupunguza gharama na kuimarisha huduma katika sekta ya afya.[331]


Baada ya mjadala mrefu wa umma wakati wa likizo ya Bunge la Congress wakati wa msimu wa kiangazi wa mwaka wa 2009, Obama alihutubia kikao cha pamoja cha Bunge la Congress mnamo Septemba 9 na kuyajibu maswali yaliyoibuka kufuatia mapendekezo ya serikali yake.[332]


Mnamo Novemba 7, 2009, hoja hiyo ya kisheria ilipitishwa katika Bunge baada ya wabunge kujadiliana kirefu kuhusu kujumuishwa au kutojumuishwa kwa uavyaji wa mimba katika mpanga wa huduma ya afya uliopendekezwa na serikali . <ref name="nyt">{{cite web|url=http://www.nytimes.com/2009/11/08/health/policy/08health.html?partner=rss&emc=rss|title=Sweeping Health Care Plan Passes House |last=Hulse|first=Carl|coauthors=Robert Pear|date=11-7-09|publisher=The New York Times|language=English|accessdate=2009-11-08}}</ref>



==Msimamo ya kisiasa==
{{Main|Political positions of Barack Obama}}


Njia inayofuatwa na baadhi ya wataalamu wa kisiasa kupima maadili ya kisiasa ni kulinganisha ukadiriaji wa mwaka wa "Americans for Democratic Action" (ADA) na ule unaotolewa na "American Conservative Union" (ACU).[338] Kwa mujibu wa miaka aliyohudumu katika Bunge la Congress, kundi la ACU limempa Obama kadri ya asilimia 7.67 kwa msimamo wake kuhusu siasa za mrengo wa kulia[330] nalo kundi la ADA[342] limempa kadri ya asilimia 90 kwa msimamo wake kuhusu siasa za mrengo wa kushoto .[346]


[[File:ObamaAbingtonPA.JPG|right|thumb|alt=Obama gestures from the podium while campaigning. The front of the podium has a sign that reads "Change We Need" with WWW.BARACKOBAMA.COM below and his campaign logo above.|Obama akifanya kampeni katika Abington, Pennsylvania, Oktoba 2008]]


Kiuchumi, aliunga mkono mnamo Aprili 2005 Makubaliano Mapya yaani "New Deal" , sera za maslahi ya kijamii za Franklin D. Roosevelt na kupinga mapendekezo ya chama cha Republican ya kufungua akaunti za kibinafsi kwa ajili ya Usaidizi wa Kijamii yaani "Social Security".[348] Baada ya Kimbunga cha Katrina, Obama alishutumu kuzembea kwa serikali kuhusu kuongozeka kwa tofauti za kimapato, na kutaka vyama vyote viwili kuhakikisha usaidizi wa kijamii kwa maskini umetekelezwa.[350] Muda mfupi kabla ya kutangaza kampeni yake ya urais, Obama alisema anaunga mkono huduma za afya kwa watu wote nchini Amerika.[352] Amependekeza tuzo kwa kazi nzuri kwa waalimu kando na mipango ya malipo kulingana na matokeo na kuvihakikishia vyama vya wafanyi kazi kuwa mabadiliko yatafanywa kupitia kwa mpango wa mijadala ya pamoja kuhusu mishahara.[354]


Kuhusu kodi, alisema kuwa mpango wake utamaliza kodi kwa wakongwe walio na mapato chini ya dola 50,000 kwa mwaka, utaongeza kodi kwa walio na mapato ya zaidi ya dola 250,000, utaongeza mapato ya uwekezaji na kodi kwa mapato ya hisa,[356] utamaliza dosari za kodi za kampuni, utainua pia mapato ya chini zaidi ya kutozwa kodi za Usaidizi wa Kijamii, utapunguza maeneo yasiyotoza kodii kwa wakezaji wa kigeni na vile vile utarahisisha ujazaji wa fomu za kodi inayotozwa mishahara kwa kujaza mbeleni habari za mishahara na za benki ambazo zimeshakusanywa na IRS.[360] Mnamo Septemba 2007,alilaumu watu walio na nia za kibinafsi kwa kutoa habari za uwongo kuhusu Sheria ya kodi ya Amerika.[360]


[[File:Obama Portrait 2006.jpg|left|thumb|upright|alt=Obama facing forward with his body facing left while wearing a white open-collared dress shirt|Barack Obama akitoa hotuba katika Chuo Kikuu cha Southern California katika kuunga mkono pendekezo kufadhili utafiti wa nishati mbadala]]


Kuhusu mazingira, Obama alipendekeza mpango wa mnada wa cap na biashara kupunguza kutolewa kwa gesi ya “carbon” na mpango wa miaka kumi wa uwekezaji katika vyanzo vipya vya kawi ili kupunguza kutegemewa kwa mafuta ya kununuliwa nje ya Amerika.[362] Obama alipendekeza kuwa malipo yanayotolewa kwa uchafuzi wa mazingira yanadiwe na kuhakikisha hayajapitishwa kwa vizazi vijavyo kwa kampuni za mafuta na gesi, na kutumiwa na serikali kwa mapato ya ustawi wa kawi pamoja na gharama za kufufuliwa kwa uchumi. [364]


Kuhusu maswala ya kigeni, Obama alianza zamani sana kupinga sera za serikali ya George W. Bush kuhusu Iraq.[366] Mnamo tarehe 2 Oktoba 2002, siku ya makubaliano kati ya Rais Bush na Bunge la Congress ya kufanya azimio la pamoja la kuruhusu Vita vya Iraq,[369] Obama alihutubia mkutano dhidi ya Vita vya Iraq, uliokuwa mkubwa zaidi kuandaliwa mjini Chicago[375] na kushutumu, vita hivyo.[377] Alihutubia mkutano mwingine wa kupinga vita ulioandaliwa mwezi wa Machi 2003 na kusisitiza kuwa vita "bado vinaweza kusimamishwa."[377]


Ingawa Obama alikuwa ametaja hapo awali kwamba aliyataka majeshi yote ya Amerika kutoka Iraq miezi 16 baada ya kuchukua hatamu za urais, alisema baada ya kuteuliwa kuwa angebadili au kuimarisha mipango yake kulingana na hali ilivyobadilika.[378] Mnamo Novemba 2006, alipendekeza "kuondolewa kwa majeshi ya Amerika kutoka Iraq kwa awamu kadhaa" na ufunguzi wa mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Amerika na Syria na vile vile Iran.[380] Katika hotuba aliyoitoa mwezi wa Machi 2007 kwa AIPAC,kundi la kushawishi kundi la ushawishi linaloiunga mkono Israel, alisema kuwa njia ya kwanza ya kuizuia Iran kujihami kinuklia ni kufuata mazungumzo na diplomasia, ingawaje hakutupilia mbali utumizi wa nguvu za kijeshi.[384] Obama ameeleza kuwa atajihusisha katika "diplomasia ya moja kwa moja ya ngazi ya rais" na Iran bila vikwazo.[384] Mnamo Agosti 2007, Obama alisema "lilikuwa kosa kubwa kukosa kuchukua hatua" mwaka 2005 wakati ilibainika kupitia kwa vyombo vya ujasusi vya Amerika kuwa viongozi wa mtandao wa al-Qaeda walikuwa wanakutana nchini Pakistan katika Maeneo ya Kikabila yanayosimamiwa Kitaifa. Alisema kuwa akiwa rais, hatakosa kutumia fursa kama hiyo hata bila ya kuungwa mkono na serikali ya Pakistan.[389]


Obama alisema kuwa akichaguliwa ataipunguza bajeti kwa mabilioni ya dola, ataacha kuwekeza katika mipango ya ulinzi dhidi ya kombora, iliyokuwa haijathibitishwa kuwa imara", kupunguza zana za kivita hewani, "kupunguza kasi ya kustawishwa kwa , Mipango ya Kivita ya siku za usoni" na kujaribu kuangamiza zana zote za kinuklia . Obama anaunga mkono kusimamishwa kwa ustawishaji zaidi wa zana za kinuklia, kupunguzwa kwa zana za kinuklia ilizo nazo Amerika, kutekeleza kuharamishwa kwa utengenezaji wa vifaa vilivyo na nguvu za kinuklia, na kutafuta mazungumzo na Urusi ili kupunguza mahitaji kwa nchi zote mbili kuweka katika hali ya tahadhari makombara yaliyo na uwezo wa kutumwa kutoka bara moja hadi nyingine.[391]


Obama ametaka kuwe na hatua kali za kupinga mauaji ya halaiki katika jimbo la Darfur nchini Sudan.[394] Amepunguza uwekezaji kwa dola 180,000 za kibinafsi katika hisa zilizo na uhusiano na Sudan, na ametaka kupunguzwa kwa uwekezaji kwa kampuni zinazofanya biashara nchini Iran.[397] Katika jarida la Foreign Affairs la Julai hadi Agosti 2007, Obama alitaka kuwe na sera za kigeni zinazotilia maanani maswala ya nje baada ya vita vya Iraq, na kulingana na maoni yake, kuanzisha upya kwa uongozi wa kivita, wa kidiplomasia, na wa kimaadili wa Amerika ulimwenguni. Akielezea kuwa "hatuwezi kujiondoa kutoka kwa jukwaa la kimataifa wala kuulazimisha ulimwengu kukubali uongozi wetu", aliwataka Waamerika "kuungoza ulimwengu kwa vitendo na kwa kuwa vielelezo.[399]


Akijibu swali katika utafiti mmoja mnamo mwaka wa 1998, Obama alitangaza wazi msimamo wake kuhusu uavyaji wa mimba kwa mujibu wa maoni ya chama cha Democratic: "Uavyaji wa mimba unafaa kuruhusiwa kisheria kwa mujibu wa matokeo ya kesi inayojulikana kama Roe v. Wade."[400]



==Familia na maisha ya Obama==
[[File:Obamas at White House Easter Egg Roll 4-13-09 2.JPG|thumb|right|alt=Barack and Michelle Obama, their children, and her mother, along with the Easter Bunny, on a balcony waving.|Barack Obama, pamoja na familia yake, wakitoa wimbi wakiwa Kusini Portico mwa Ikulu kwa wageni wanaohudhuria sherehe ya White House Easter Egg Roll.]]


{{main|Early life and career of Barack Obama|Family of Barack Obama}}


Katika mahojiano wwa mwaka ya 2006, Obama alizungumzia uanuwai wa familia yake kubwa: "Ni kama mfano mdogo wa Umoja wa Mataifa", alisema. "Nina jamaa wanaofanana na Bernie Mac, na nina jamaa wanaofanana na Margaret Thatcher."[403] Obama ana ndugu wa kike na wa kiume saba nchini Kenya waliotoka kwa jamaa ya baba yake, sita kati yao wakiwa wangali hai, na vile vile dadake wa kambo waliyelelewa pamoja , Maya Soetoro-Ng, ambaye mamake alimzaa na mmewe wa pili aliyetoka Indonesia.[405] Marehemu mamake Obama alimwacha mamaye aliyezaliwa Kansas, Madelyn Dunham[408] aliyeaga dunia tarehe 2 Novemba 2008[410] siku mbili tu kabla ya kuchaguliwa kwake Obama kuwa Rais. Katika kitabu chake Dreams from my Father, Obama anaihusisha historia ya familia ya mamake na mababu waliokuwa Waamerika wa kiasili na kuwa wao wana uhusiano wa mbali wa kifamilia na Jefferson Davis Confederate Rais wa Muungano wa Nchi za Amerika wakati wa Vita vya Ndani kwa Ndani vya Amerika.[414] Kakake babuye Obama alikuwa mpiganaji katika Divisheni ya 89 ya jeshi iliyonyakua Ohrdruf,[416] kambi ya kwanza ya Wanazi za Ujerumani kukombolewa na majeshi ya Amerika wakati wa Vita vya pili vya Dunia.[418]


Wakati wa ujana wake Obama alijulikana kama "Barry", lakini alipokuwa chuo kikuu akasisitiza aitwe kwa jina alilopewa na wazazi wake.[420] Obama huzungumza Kiingereza, lugha yake ya kiasiili, pamoja na Kiindonesia anachokitumia kuzungumza na watu na alichojifunza utotoni mwake walipoishi Jakarta kwa miaka minne.[421] Yeye hucheza mpira wa vikapu, mchezo alioucheza akiwa kwenye timu ya wachezaji bora wa shule ya upili.[424]


[[File:BarackObama-Basketball.JPEG|left|thumb|upright|alt=Obama holding a basketball above his head in midair while four other players look at him. He looks toward the camera over his right shoulder.|Obama akicheza mceao wa kapu na wanajeshi wa Marekani katika kambi ya Lemonier, Djibouti mwaka 2006 &amp;lt;ref&amp;gt; [413] &amp;lt;/ ref&amp;gt;]]


Mwezi wa Juni 1989, Obama alikutana na Michelle Robinson alipokuwa akifanya kazi wakati wa msimu wa kiangazi kama msaidizi katika kampuni ya wanasheria ya Sidley Austin.[427] Robinson, aliyekuwa amepewa jukumu la kumpa mawaidha Obama kwa muda wa miezi mitatu katika kampuni hiyo, alikuwa akiandamana naye katika hafla za watu wengi, lakini alikataa maombi yake ya kwanza ya kuwa rafiki.[428] Katikati ya mwaka huo walikuwa marafiki na wakuwa wachumba mnamo mwaka wa 1991, na hatimaye wakafunga ndoa tarehe 3 Oktoba 1992.[430] Binti wao wa kwanza, Malia Ann, alizaliwa tarehe 4 Julai mwaka wa 1998[432] na kufuatwa na binti wa pili, Natasha ("Sasha"), aliyezaliwa tarehe 10 Juni mwaka wa 2001[434] Mabinti wa Obama walikuwa wanafunzi wa Shule ya Matayarisho ya Chuo Kikuu cha Chicago, iliyo ya kibinafsi. Walipohamia Washington D.C. mnamo mwezi wa Januari 2009, wasichana walijiunga na Shule ya Sidwell Friends ,ambayo ni shule ya kibinafsi vile vile.[435]


Mnamo mwaka wa 2005, mapato yaliyotokana na kandarasi ya uandishi yaliwezesha jamaa ya Obama kuhamia nyumba katika mtaa wa Kenwood , Chigao iliyogharimu dola milioni 1.6 na inayopakana na walipokuwa wakiishi kwa mtaa wa Hyde Park, mjini Chicago.[437] Mkewe Tony Rezko aliyekuwa mwendelezaji ardhi, rafiki na mfadhili wa kampeni ya Obama, alinunua kipande cha ardhi kilichokuwa karibu na nyumba yao na kumuuzia Obama sehemu ya ardhi hiyo. Uhusiano huu wa kibiashara ulizua utata kwenye vyombo vya habari kufuatia kupatwa na hatia na kuhukumiwa kwa Rezko kwa madai ya ufisadi wa kisiasa ambayo hayakumhusu Obama.[438]


Mnamo Desemba 2007, ''[[Money]]'' magazine inakadiriwa familia ya Obama wavu thamani ya dola milioni 1.3.[441] Taarifa zao za malipo ya kodi, mwaka wa 2007, yalionyesha mapata yao ya kwa pamoja kuwa dola milioni 4.2 — hii ikiwa ongezeko kutoka dola milioni moja mwaka wa 2006 na dola milioni 1.6 mwaka wa 2005 — hasa kutokana na mauzo ya vitabu vyake.[443]


Obama ni Mkristo aliyekuza imani yake ya kidini akiwa mtu mzima. Katika kitabu chake The Audacity of Hope, Obama aliandika kuwa "hakulelewa katika familia iliyofuata dini". Akiandika kuhusu mamake, aliyelelewa na wazazi wakosa dini (ambao Obama amewaelezea kwingineko kama Wamethodisti na Wabaptisti wasiofuata mafunzo ya dini zao) Obama anasema alikuwa amejitenga na dini ilhali "kwa watu wote aliopata kuwafahamu alikuwa kwa zaidi ya njia moja mtu aliye na mwamko mkubwa sana wa kiroho". Kuhusu babake, anasema kuwa "alilelewa Mwislamu", lakini alikuwa Kafiri" aliyetambulika” wazazi wake walipokutana, na kuongeza kuhusu babake wa kambo kuwa "alikuwa mtu aliyeiona dini kama jambo lisilo la faida yoyote ". Obama alielezea jinsi vile , kwa kufanya kazi na makanisa ya jamii ya watu weusi kama mhamasishi wa jamii akiwa na umri wa miaka ishirini hivi, alielewa "nguvu zilizo katika utamaduni wa kidini wa Waamerika wenye asili ya Kiafrika zinazoweza kuchangia mabadiliko ya kijamii.[444] Alibatizwa katika Kanisa la Trinity United Church of Christ mnamo mwaka wa 1988 na akawa mwanachama hai kwa muda wa miongo miwili.[445] Obama alijiuzulu kutoka kanisa la Trinity wakati wa kampeni za Urais kufuatia mahubiri ya kuzuia utata yaliyotolewa na Mchunganji Jeremiah Wright kupeperushwa na vyombo vya habari.[447]


Obama amejaribu kuacha kuvuta sigara mara kadhaa,[448] na ameahidi kutovuta sigara katika ikulu ya White House.[450]



==Taswira ya kitamaduni na kisiasa==
[[File:Five Presidents Oval Office.jpg|thumb|alt=Group portrait of five presidential men in dark suits and ties|Rais George W. Bush waliwaalikwa -Rais mteule kwa wakti huo , Barack Obama na Marais wa zamani George HW Bush, Bill Clinton, na Jimmy Carter katika mkutano kwenye ofisi ya Oval mwezi wa Januari 7, 2009.]]
{{main|Public image of Barack Obama}}


Historia ya familia ya Obama, maisha yake ya utotoni na kulelewa kwake, na hata elimu yake ya Ivy League yanatofautiana pakubwa na maisha ya wanasiasa Waamerika wenye asili ya Kiafrika walianzisha maisha yao za kisiasa miaka ya 1960 wakishiriki katika harakati za kutetea haki za kijamii."[454] Akielezea mshangao wake alipoulizwa kama yeye ni "mweusi vya kutosha", Obama aliuambia mkutano wa Chama cha Kitaifa cha Wanahabari Weusi mnamo mwezi wa Agosti 2007 kuwa "bado tumekwama kwenye dhana kuwa Wazungu wakikupenda basi kuna kasoro fulani.[456] Obama alijivunia sura yake ya ujana katika hotuba ya kampeni aliyoitoa mnamo mwezi wa Oktoba 2007, aliposema: "Nisingelikuwa hapa kama, kwa mara nyingine, mwenge haungepitishwa kwa kwa kizazi kipya."[459]


[[File:20090124 WeeklyAddress.ogv|left | thumb | Obama inatoa [[commons:Obama Administration weekly video addresses|anwani wiki]] yake ya kwanza kama Rais wa Marekani, kujadili [[na Reinvestment American Recovery Act of 2009.]]]]


Obama anaelezewa mara kwa mara kama mzungumzaji hodari mwenye kipawa.[460] Muda mfupi kabla ya kuapishwa na alipokuwa akingojea kuchukua uongozi na hadi alipochukua hatamu za urais, Obama ametoa msururo wa hotuba kila wiki kupitia kwa vidio zilizohifadhiwa kwenye mtandao wa Inteneti[202] zilizokaribia [461] mazungumzo kando ya moto yaliyovuma aliyoyafanya Franklin D. Roosevelt kuelezea sera zake na hatua alizozichukua.[463]


Kwa mujibu wa Kura ya maoni ya Kila Siku ya Gallup Poll, umaarufu wa Obama ulikuwa wa katikati ya siku 100 katika za kwanza baada ya kuwa raisi katika fungu la kumi la asilimia 60, ikiwa ni kati ya asilimia 59% na 69%.[464] Kutoka mwishoni Agosti kupitia Novemba 2009, idhini yake ilikuwa karibu 53% <ref> http://www.pollster.com/polls/us/jobapproval-obama.php?xml=/flashcharts/content/xml/Obama44JobApproval.xml&amp;choices=Approve, Disapprove &amp; simu = Gallup &amp; ivr = 0 &amp; Internet = 0 &amp; mail = &amp; smoothing = &amp; from_date = 2009/08/20 &amp; to_date = 2009/11/01 &amp; min_pct = &amp; max_pct = &amp; gridi = &amp; pointi = &amp; mwenendo = &amp; mistari =</ref> ikipungua chini ya 50% kwa mara ya kwanza ya Novemba 17-19 Gallup matokeo ya kila siku. <ref>[455] ^ LA Times: Obama's Job approval rating falls to new low</ref> <ref> [http://www.gallup.com/poll/123806/Obama-Quarterly-Approval-Average-Slips-Nine-Points.aspx Gallup Daily.]</ref> <ref> http://www.gallup.com/poll/122627/Obama-Job-Approval-Down-49.aspx</ref>


Umaarufu wa Obama katika ngazi ya kimataifa umeelezewa kuwa jambo la kina katika jinsi anavyotazamwa na umma.[470] Kura za maoni zinaonyesha kuungwa mkono kwa Obama katika nchi za kigeni.[477] Amewahi kufanya mikatano na watu mashuhuri katika ngazi ya kimataifa kama vile aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair[474] Kiongonzi wa Chama cha Democratic cha Italia na aliyekuwa Meya wa Jiji la Roma Walter Veltroni[476] pamoja naye Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy.[478]


Kulingana na kura ya maoni iliyofanywa na kampuni ya Harris Interactive kwa niaba ya runinga ya France 24 na gazeti la International Herald Tribune, mnamo mwezi wa Mei 2009, Obama aliorodheshwa kama kiongozi wa ulimwengu aliye na umaarufu zaidi na vile vile mtu wa kipekee anayetumainiwa na watu wengi zaidi kuukwamua ulimwengu kutokana na uchumi uliodorora.[479]


Obama alishinda Tuzo la Grammy la Rekodi ya Hotuba Bora kwa nakala fupi za vitabu vyenye rekodi za kusikiza za kitabu chake Dreams from my Father mwezi wa Februari mwaka wa 2006 na rekodi ya kile cha The Audacity of Hope mwezi wa Februari mwaka wa 2008.[481] Hotuba yake ya "Yes We Can" ambayo watunzi walitumia kujitungia nyimbo, ilitazamwa katika mwezi wake wa kwanza na watu milioni 10 katika mtandao wa YouTube[483] na ikatuzwa "Daytime Emmy Award."[485] Mnamo Desemba 2008, gazeti la Time lilimpa Barack Obama taji la Mtu Mashuhuri zaidi wa mwaka kwa kuandika historia kufuatia kuwania na kuchaguliwa kuwa rais, lililoeleza kama "msururu wa matokeo mazuri ambayo hayakutarajiwa kutimika."[487]



===Tuzo la Amani ya Nobel===
{{main|2009 Nobel Peace Prize}}

Tarehe 9 Oktoba, 2009 Kamati ya Nobel ya Norway ilimtangaza Obama kuwa mshindi wa Tuzo la Amani la Nobel la mwaka wa 2009 "kwa jitihada za kipekee alizozifanya kuimarisha diplomasia ya kimataifa na ushirikiano kati ya mataifa".[490] Wakifafanua kwa njia ya mifano iliyopelekea kutuzwa huko, Kamati ya Kutoa Tuzo za Nobel ilitilia mkazo jitihada zake za kutetea wito wa kutojihami na zana za kinuklia (hasa nchini Iran),[492] na kuimarishwa kwa "mazingara mapya" katika uhusiano wa kimataifa, hasa katika kuukaribia ulimwengu wa Kiislamu.[494]


Obama ni rais wa nne wa Amerika kupokea Tuzo ya Amani ya Nobel. Yeye ni wa tatu kuwa mshindi wa tuzo hilo la Nobel akiwa anashikilia hatamu za uongozi, na ni wa kwanza kutuzwa katika mwaka wake wa kwanza wa urais.[497] Wanachama wa Kamati ya Kutoa Tuzo la Nobel walisema kuwa kutolewa kwa tuzo hilo kunaweza kutazamwa kama kura ya imani kwa kazi anayotazamiwa kufanya ya kutafuta kuungwa mkono kimataifa kwa sera za serikali yake mpya.[499] Tuzo hiyo iliwashangaza wengi, akiwemo Obama mwenyewe.[501] Tuzo hili lilizua mchanganyiko wa sifa na shutuma za viongozi wa ulimwenguni na wataalamu wa habari.[503][504] Wanachama wa kamati ya kutoa tuzo waliutetea uamuzi wao dhidi ya shutuma kuwa wakati wa tuzo hiyo haukuwa umewadia.[505]



==Mfumo==
{{Reflist|colwidth=30em|refs=
<ref name="birth-certificate">
{{cite web|url=http://www.politifact.com/media/img/graphics/birthCertObama.jpg|title=Certification of Live Birth for Barack Obama|work=Department of Health, Hawaii|worker=[[St. Petersburg Times]]|date=August 8, 1961|accessdate=December 12, 2008}}
</ref>
<ref name="Christian">
{{cite web
|publisher = Miller Center of Public Affairs at the University of Virginia
|title = American President: Barack Obama
|url = http://millercenter.org/academic/americanpresident/obama
|accessdate = January 23, 2009}}
*{{cite press release
| title = Barack Obama, long time UCC member, inaugurated forty-fourth U.S. President
| publisher = United Church of Christ
| date = January 20, 2009
| url = http://www.ucc.org/news/obama-inauguration.html
| accessdate = January 21, 2009
| quote = Barack Obama, who spent more than 20 years as a UCC member, is the forty-fourth President of the United States. }}<br />
*An [[Associated Press]] wire story on Obama's resignation from [[Trinity United Church of Christ]] in the course of the [[Jeremiah Wright controversy]] stated that he had, in doing so, disaffiliated himself with the UCC. (See {{cite news|title=Obama's church choice likely to be scrutinized|agency=Associated Press|date=November 17, 2008|url=http://www.msnbc.msn.com/id/27775757/|work=[[msnbc.com]]|accessdate=January 20, 2009}})
</ref>
<ref name="Kansas">
{{cite web|publisher=[[FactCheck]]|url=http://www.factcheck.org/elections-2008/born_in_the_usa.html|title=Born in the U.S.A.|date=August 21, 2008|dateformat=mdy|accessdate=October 24, 2008}}
*{{cite news|url=http://www.suntimes.com/news/politics/368961,CST-NWS-ireland03.article|title=For sure, Obama's South Side Irish|last=Hutton|first=Brian|work=[[Chicago Sun-Times|The Chicago Sun-Times]]|date=May 3, 2007|accessdate=November 23, 2008}}
*{{cite web|url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2007/05/12/AR2007051201551.html|title=Tiny Irish Village Is Latest Place to Claim Obama as Its Own - washingtonpost.com|work=Washington Post|date=|accessdate=November 8, 2008}}
</ref>
<ref name="Juris Doctor">
{{cite news|url=http://www.guardian.co.uk/world/2007/may/09/barackobama.uselections20081|title=Barack Obama|last=Adams|first=Richard|date=May 9, 2007|work=The Guardian|accessdate=October 26, 2008}}
*{{cite web|url=http://www.britannica.com/EBchecked/topic/973560/Barack-Obama|title=Barack Obama (American politician)|last=Mendell|first=David|accessdate=October 26, 2008}}
</ref>
<ref name="ranked tenth">
{{cite news|first=David|last=Nather|title=The Space Between Clinton and Obama|date=January 14, 2008|url=http://public.cq.com/docs/cqw/weeklyreport110-000002654703.html|work=CQ Weekly|accessdate=June 25, 2008}}
*{{cite news|first=Tom|last=Curry|title=What Obama's Senate Votes Reveal|date=February 21, 2008|url=http://www.msnbc.msn.com/id/23276453/|work=MSNBC|accessdate=June 25, 2008}}
*{{cite news|url=http://nj.nationaljournal.com/voteratings/|title=Obama: Most Liberal Senator In 2007|work=National Journal|date=January 31, 2008|accessdate=June 25, 2008}}
</ref>
<ref name="transition period">
{{cite web|url=http://www.reuters.com/article/politicsNews/idUSTRE4AF1MJ20081116|title=Obama resigns Senate seat, thanks Illinois|accessdate=March 10, 2009|date=November 16, 2008|work=[[Reuters]]|author=Mason, Jeff}}
*{{cite news|url=http://www.time.com/time/nation/article/0,8599,1859020,00.html|title=Obama to Resign Senate Seat on Sunday|accessdate=November 22, 2008|date=November 13, 2008|publisher=[[Time Inc.]]|work=[[Time (magazine)|Time]]|author=Sidoti, Liz}}
</ref>
<ref name="Democratic primary">
{{cite web |url=http://www.fec.gov/pubrec/fe2000/ilh.htm |title=Federal Elections 2000: U.S. House Results - Illinois |publisher=[[Federal Election Commission]] |accessdate=April 24, 2008}}
*{{cite web|url=http://www.npr.org/templates/story/story.php?storyId=14502364|title=Obama's Loss May Have Aided White House Bid}}
*{{cite news |first=Janny |last=Scott |title=A Streetwise Veteran Schooled Young Obama |date=September 9, 2007 |url=http://www.nytimes.com/2007/09/09/us/politics/09obama.html |work=The New York Times |accessdate=April 20, 2008}}
*{{cite news |first=Edward |last=McClelland |title=How Obama Learned to Be a Natural |date=February 12, 2007 |url=http://www.salon.com/news/feature/2007/02/12/obama_natural/ |work=Salon |accessdate=April 20, 2008}}
*{{cite news |first=Richard |last=Wolffe |coauthors=Daren Briscoe |title=Across the Divide |date=July 16, 2007 |work=MSNBC |url=http://www.newsweek.com/id/33156 |work=Newsweek |accessdate=April 20, 2008}}
*{{cite news |first=Scott |last=Helman |title=Early Defeat Launched a Rapid Political Climb |date=October 12, 2007 |url=http://www.boston.com/news/nation/articles/2007/10/12/early_defeat_launched_a_rapid_political_climb/ |work=Boston Globe |accessdate=April 20, 2008}}
*{{cite news|url=http://www.usatoday.com/news/politics/2007-10-24-3157940059_x.htm 24, 2007-3157940059_x.htm|title=Obama learned from failed Congress run |work=USA Today |author=Wills, Christopher|date=October 24, 2007 |accessdate=September 20, 2008}}
</ref>
<ref name="nuclear terrorism">
{{cite news |first=Adam |last=Graham-Silverman |title=Despite Flurry of Action in House, Congress Unlikely to Act Against Iran |date=September 12, 2007 |url=http://public.cq.com/docs/cqt/news110-000002583189.html |work=CQ Today |accessdate=April 27, 2008}}
*{{cite web |title=Obama, Schiff Provision to Create Nuclear Threat Reduction Plan Approved |date=December 20, 2007 |url=http://obama.senate.gov/press/071220-obama_schiff_pr/ |publisher=Barack Obama U.S. Senate Office |accessdate=April 27, 2008}}
</ref>
<ref name="Forty">
{{cite book|author=White, Jesse (ed.)|year=2000|title=Illinois Blue Book, 2000, Millennium ed.|url=http://www.sos.state.il.us/bb/toc.html|archiveurl=http://web.archive.org/web/20040214180551/http://www.sos.state.il.us/bb/toc.html|archivedate=2004-02-14|location=Springfield, IL|publisher=Illinois Secretary of State|oclc=43923973|accessdate=June 6, 2008|page=83}}
<br/>
*{{cite news|author=Jarrett, Vernon|date=August 11, 1992|title='Project Vote' brings power to the people|url=http://nl.newsbank.com/nl-search/we/Archives?p_product=CSTB&p_theme=cstb&p_action=search&p_maxdocs=200&s_dispstring=(Vernon%20Jarrett)%20AND%20date(8/11/1992%20to%208/11/1992)&p_field_date-0=YMD_date&p_params_date-0=date:B,E&p_text_date-0=8/11/1992%20to%208/11/1992)&p_field_advanced-0=&p_text_advanced-0=(Vernon%20Jarrett)&xcal_numdocs=20&p_perpage=10&p_sort=YMD_date:D&xcal_useweights=no|work=Chicago Sun-Times|format=paid archive|page=23|accessdate=June 6, 2008}}
*{{cite journal|author=Reynolds, Gretchen|month=January|year=1993|title=Vote of Confidence|url=http://www.chicagomag.com/Chicago-Magazine/January-1993/Vote-of-Confidence/|journal=[[Chicago (magazine)|Chicago]]|volume=42|issue=1|pages=53–54|accessdate=June 6, 2008}} {{cite journal|author=Anderson, Veronica|month=September 27–October 3|year=1993|title=40 under Forty: Barack Obama, Director, Illinois Project Vote|journal=[[Crain Communications Inc.|Crain's Chicago Business]]|volume=16|issue=39|accessdate=June 6, 2008|page=43}}
</ref>
<ref name="future">
{{cite news |author=Mendell, David |date=March 17, 2004 |title=Obama routs Democratic foes; Ryan tops crowded GOP field; Hynes, Hull fall far short across state |work=Chicago Tribune |page=1 |url=http://www.chicagotribune.com/features/custom/fashion/chi-0403170332mar17,0,4716349.story |accessdate=March 1, 2009}}
*{{cite news |author=Davey, Monica |date=March 18, 2004 |title=As quickly as overnight, a Democratic star is born |work=The New York Times |page=A20 |url=http://www.nytimes.com/2004/03/18/us/as-quickly-as-overnight-a-democratic-star-is-born.html?pagewanted=all |accessdate=March 1, 2009}}
*{{cite news |author=Howlett, Debbie |date=March 19, 2004 |title=Dems see a rising star in Illinois Senate candidate |work=USA Today |page=A04 |url=http://www.usatoday.com/news/politicselections/nation/2004-03-18-obama-usat_x.htm |accessdate=March 1, 2009}}
*Mendell (2007), pp. 235–246.
*{{cite journal |author=Scheiber, Noam |date=May 31, 2004 |title=Race Against History. Barack Obama's miraculous campaign |journal=The New Republic |volume=230 |issue=20 |pages=21–22, 24–26 (cover story) |url=http://www.tnr.com/politics/story.html?id=f8c75ffb-705b-4697-9e87-7829e139c76c |accessdate=March 24, 2009}}
*{{cite journal |author=Finnegan, William |date=May 31, 2004 |title=The Candidate. How far can Barack Obama go? |journal=The New Yorker |volume=20 |issue=14 |pages=32–38 |url=http://www.newyorker.com/archive/2004/05/31/040531fa_fact1?currentPage=all |accessdate=March 24, 2009}}
*{{cite news |author=Dionne Jr., E. J. |date=June 25, 2004 |title=In Illinois, a star prepares |work=The Washington Post |page=A29 |url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/articles/A4062-2004Jun24.html |accessdate=March 24, 2009}}
*Mendell (2007), pp. 247–259.
</ref>
<ref name="margin">
{{cite news |title=America Votes 2004: U.S. Senate / Illinois |url=http://www.cnn.com/ELECTION/2004/pages/results/states/IL/S/01/index.html |work=CNN |accessdate=April 13, 2008}} {{cite news |first=Peter |last=Slevin |title=For Obama, a Handsome Payoff in Political Gambles |date=November 13, 2007 |url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2007/11/12/AR2007111201945.html |work=The Washington Post |accessdate=April 13, 2008}}
*{{cite news|title=Obama scores a record landslide | author=Chase, John and Mendell, David |url=http://www.noticiasdot.com/publicaciones/2004/1104/0311/noticias031104/presidenciales-usa/images/usa/chicago_tribune/chicago_tribune_031104.pdf | work=[[Chicago Tribune]] | page=1 | date=November 3, 2004 | accessdate=April 3, 2009}}
*{{cite news | url=http://www.suntimes.com/news/politics/obama/1113153,cst-nws-obama110304.article | work=[[Chicago Sun-Times]] | title=Obama takes Senate seat in a landslide | author=Fornek, Scott | date=November 3, 2004 | accessdate=April 3, 2009}}
</ref>
<ref name="status">
{{cite news |author=. |date=August 2, 2004 |title=Star Power. Showtime: Some are on the rise; others have long been fixtures in the firmament. A galaxy of bright Democratic lights |work=Newsweek |pages=48–51 |url=http://www.newsweek.com/id/54728/output/print |accessdate=November 15, 2008}}
*{{cite news |author=Samuel, Terence |date=August 2, 2004 |title=A shining star named Obama. How a most unlikely politician became a darling of the Democrats |work=U.S. News & World Report |page=25 |url=http://www.usnews.com/usnews/news/articles/040802/2obama.htm |accessdate=November 15, 2008}}
*{{cite news |author=Lizza, Ryan |month=September |year=2004 |title=The Natural. Why is Barack Obama generating more excitement among Democrats than John Kerry? |work=The Atlantic Monthly |pages=30, 33 |url=http://www.theatlantic.com/doc/200409/lizza |accessdate=November 15, 2008}}
*{{cite news |author=Davey, Monica |date=July 26, 2004 |title=A surprise Senate contender reaches his biggest stage yet |work=The New York Times |page=A1 |url=http://www.nytimes.com/2004/07/26/politics/campaign/26obama.html?pagewanted=all |accessdate=November 15, 2008}}
*{{cite news |author=Leibovich, Mark |date=July 27, 2004 |title=The other man of the hour |work=The Washington Post |page=C1 |url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/articles/A16606-2004Jul26.html |accessdate=November 15, 2008}}
*{{cite news |author=Milligan, Susan |date=July 27, 2004 |title=In Obama, Democrats see their future |work=The Boston Globe |page=B8 |url=http://www.boston.com/news/local/articles/2004/07/27/in_obama_democrats_see_their_future/ |accessdate=November 15, 2008}}
*{{cite news |author=Seelye, Katharine Q. |date=July 28, 2004 |title=Illinois Senate nominee speaks of encompassing unity |work=The New York Times |page=A1 |url=http://www.nytimes.com/2004/07/28/politics/campaign/28blacks.html |accessdate=November 15, 2008}}
*{{cite news |author=Broder, David S. |date=July 28, 2004 |title=Democrats focus on healing divisions; Addressing convention, newcomers set themes |work=The Washington Post |page=A1 |url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/articles/A17865-2004Jul27.html |accessdate=November 15, 2008}}
*{{cite news |author=Bing, Jonathan; McClintock, Pamela |date=July 29, 2004 |title=Auds resist charms of Dem stars |work=Daily Variety |page=1 |url=http://www.variety.com/article/VR1117908388.html?categoryid=1077&cs=1 |accessdate=November 15, 2008}}
* Mendell (2007), pp. 272–285.
</ref>
<ref name="Kenyan">
{{cite news |first=Christina |last=Larson |title=Hoosier Daddy: What Rising Democratic Star Barack Obama Can Learn from an Old Lion of the GOP |date=September 2006 |url=http://www.washingtonmonthly.com/features/2006/0609.larson.html |work=Washington Monthly |accessdate=April 27, 2008}}
*{{cite news |first=Chuck |last=Goudie |title=Obama Meets with Arafat's Successor |date=January 12, 2006 |url=http://abclocal.go.com/wls/story?section=news/local&id=3806933 |work=WLS-TV |accessdate=April 27, 2008}}
*{{cite news |title=Obama Slates Kenya for Fraud |date=August 28, 2006 |url=http://www.news24.com/News24/Africa/News/0,,2-11-1447_1989646,00.html |work=News24.com |accessdate=April 27, 2008}}
*{{cite news |first=Chris |last=Wamalwa |title=Envoy Hits at Obama Over Graft Remark |date=September 2, 2006 |url=http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143957666 |archiveurl=http://web.archive.org/web/20071010050740/http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143957666 |archivedate=October 10, 2007 |work=The Standard (Nairobi) |accessdate=April 27, 2008}}
*{{cite news |first=Vincent |last=Moracha |coauthors=Mangoa Mosota |title=Leaders Support Obama on Graft Claims |date=September 4, 2006 |url=http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143957752 |archiveurl=http://web.archive.org/web/20071007115436/http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=1143957752 |archivedate=October 7, 2007 |work=The Standard (Nairobi) |accessdate=April 27, 2008}}
</ref>
<ref name="allocation">
{{cite news | url=http://www.time.com/time/politics/article/0,8599,1738331,00.html |title=The Five Mistakes Clinton Made |author=Tumulty, Karen |work=Time |date=May 8, 2008 |accessdate=November 11, 2008}}
*{{cite news | url=http://www.nytimes.com/2008/06/08/us/politics/08recon.html |title=The Long Road to a Clinton Exit |author=Baker, Peter and Rutenberg, Jim |work=The New York Times |date=June 8, 2008 |accessdate=November 29, 2008}}
</ref>
<ref name="presumptive">
{{cite news|url=http://www.cnn.com/2008/POLITICS/06/03/election.democrats/index.html|title=Obama: I will be the Democratic nominee|work=CNN.com|date=June 4, 2008|accessdate=June 6, 2008}}
*{{cite news|url=http://www.news.com.au/heraldsun/story/0,21985,23809081-23109,00.html|title=Obama clinches nomination|work=Herald Sun|location=Australia|date=June 4, 2008|accessdate=June 6, 2008|author=John Whitesides in Washington}} <!-- {{dead link|date=September 2009}} -->
<!-- *{{dead link|date=September 2009}} -->
</ref>
<ref name="delegates">
{{cite news|author=Tom Baldwin|title=Hillary Clinton: 'Barack is my candidate'|url=http://www.timesonline.co.uk/tol/news/world/us_and_americas/us_elections/article4616719.ece|work=TimesOnline|date=August 27, 2008|accessdate=August 27, 2008}}
*{{cite news|url=http://www.nytimes.com/2008/08/28/us/politics/28DEMSDAY.html?pagewanted=all|title=Obama Wins Nomination as Biden and Bill Clinton Rally the Party|work=The New York Times|author=Nagourney, Adam|date=August 27, 2008|accessdate=August 27, 2008}}
</ref>
<ref name="acceptance">
{{cite news|title=Obama accepts Democrat nomination|url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/americas/7586375.stm|work=[[BBC News]]|date=August 29, 2008|accessdate=August 29, 2008}}
*{{cite news|url=http://features.csmonitor.com/politics/2008/08/29/soaring-speech-from-obama-plus-some-specifics/|title=Soaring speech from Obama, plus some specifics|work=The Christian Science Monitor|author=Marks, Alexandra|date=August 29, 2008|accessdate=September 20, 2008}}
</ref>
<ref name="small donations">
{{cite news|first=Jim|last=Malone|title=Obama Fundraising Suggests Close Race for Party Nomination|date=July 2, 2007|url=http://www.voanews.com/english/archive/2007-07/2007-07-02-voa52.cfm |work=Voice of America|accessdate=January 14, 2008}}
*{{cite news|first=Jeanne|last=Cummings|title=Small Donors Rewrite Fundraising Handbook|date=September 26, 2007|url=http://dyn.politico.com/printstory.cfm?uuid=3ECB3515-3048-5C12-004D622CB6F4E214|work=Politico|accessdate=January 14, 2008}}
*{{cite news|first=Emily|last=Cadei|title=Obama Outshines Other Candidates in January Fundraising|date=February 21, 2008|url=http://www.cqpolitics.com/wmspage.cfm?docID=news-000002674309|work=CQ Politics|accessdate=February 24, 2008}}
</ref>
<ref name="presidential debates">
{{cite web|accessdate=July 6, 2008|url=http://www.debates.org/pages/news_111907.html|title=Commission on Presidential Debates Announces Sites, Dates, Formats and Candidate Selection Criteria for 2008 General Election|publisher=[[Commission on Presidential Debates]]|date=November 19, 2007}}
*{{cite news|accessdate=July 6, 2008|url=http://www.courant.com/topic/|title=Gun Ruling Reverberates|work=[[The Hartford Courant]]|date=June 27, 2008}}
</ref>
<ref name="electoral votes">
{{cite news|work=MSNBC|accessdate=February 20, 2009|date=November 4, 2008|url=http://www.msnbc.msn.com/id/27531033/|title=Barack Obama elected 44th president|author=Johnson, Alex}}
*{{cite news|url=http://www.cnn.com/ELECTION/2008/results/president/|title=CNN Electoral Map Calculator—Election Center 2008|work=CNN.com|date=2008|accessdate=December 14, 2008}}
</ref>
<ref name="direct assistance">
{{cite news|url=http://www.usbudgetwatch.org/stimulus|title=Committee for a Responsible Federal Budget, Stimulus Watch}}
*{{cite news|url=http://www.cnn.com/2009/POLITICS/02/17/obama.stimulus.remarks/|title=Obama's remarks on signing the stimulus plan|accessdate=February 17, 2009|work=CNN}}
</ref>
<ref name="markets opened">
{{cite news|title=U.S. Expands Plan to Buy Banks’ Troubled Assets|date=March 23, 2009|work=New York Times|url=http://www.nytimes.com/2009/03/24/business/economy/24bailout.html}}
*{{cite news|title=Wall Street soars 7 percent on bank plan debut|date=March 23, 2009|work=REUTERS|url=http://www.reuters.com/article/businessNews/idUSTRE52H2FA20090323?feedType=RSS&feedName=businessNews}}
</ref>
<ref name="preceding administration">
{{cite news|first=|last=|coauthors=|authorlink=|title=Biden vows break with Bush era foreign policy|date=|publisher=|url=http://www.canada.com/news/unveils+changes+foreign+policy/1265065/story.html|work=|pages=|accessdate=June 15, 2009|language=}}
*{{cite news|first=|last=|coauthors=|authorlink=|title= Clinton's gaffes and gains on tour|date=|publisher=|url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/americas/7931699.stm|work=|pages=|accessdate=June 15, 2009|language=}}
</ref>
<ref name="Middle East peace">
[http://www.cnn.com/2009/POLITICS/06/04/egypt.obama.speech/index.html Obama in Egypt reaches out to Muslim world], [[CNN]], June 4, 2009
*Jeff Zeleny and Alan Cowell, [http://www.nytimes.com/2009/06/05/world/middleeast/05prexy.html?_r=2&hp Addressing Muslims, Obama Pushes Mideast Peace], [[The New York Times]], June 4, 2009.
*{{cite web|url=http://www.whitehouse.gov/blog/The-President-in-the-Middle-East/|title=The President in the Middle East|date=June 3, 2009|author=Jesse Lee|publisher=White House|accessdate=June 4, 2009}}
</ref>
<ref name="counterinsurgency tactics">
{{cite news|url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2009/05/11/AR2009051101864.html|title=Top U.S. Commander in Afghanistan Is Fired|date=May 12, 2009|work=[[The Washington Post]]}}
*{{cite web|url=http://www.foxnews.com/politics/2009/05/12/new-commander-brings-counterinsurgency-experience-afghanistan|title=New U.S. Commander Brings Counterinsurgency Experience to Afghanistan|date=May 13, 2009|work=[[Fox News Channel]]}}
</ref>
<ref name="spoke out">
{{cite news|author=Obama, Barack|date=October 2, 2002|title=Remarks of Illinois State Sen. Barack Obama Against Going to War with Iraq|url=http://www.barackobama.com/2002/10/02/remarks_of_illinois_state_sen.php|publisher=BarackObama.com|accessdate=February 3, 2008}}
*{{cite news|author=McCormick, John|date=October 3, 2007|work=Chicago Tribune|page=7|title=Obama marks '02 war speech; Contender highlights his early opposition in effort to distinguish him from his rivals|url=http://pqasb.pqarchiver.com/chicagotribune/access/1351610621.html?dids=1351610621:1351610621&FMT=ABS&FMTS=ABS:FT|format=paid archive|quote=The top strategist for Sen. Barack Obama has just 14 seconds of video of what is one of the most pivotal moments of the presidential candidate's political career. The video, obtained from a Chicago TV station, is of Obama's 2002 speech in opposition to the impending Iraq invasion.|accessdate=October 28, 2008}}
*{{cite news|author=Pallasch, Abdon M.|date=October 3, 2007|work=Chicago Sun-Times|page=26|title=Obama touts anti-war cred; Kicks off tour 5 years after speech critical of going to Iraq|url=http://nl.newsbank.com/nl-search/we/Archives?p_product=CSTB&p_theme=cstb&p_action=search&p_maxdocs=200&s_dispstring=headline(Obama%20touts%20anti-war%20cred)%20AND%20date(all)&p_field_advanced-0=title&p_text_advanced-0=(Obama%20touts%20anti-war%20cred)&xcal_numdocs=20&p_perpage=10&p_sort=YMD_date:D&xcal_useweights=no|format=paid archive|accessdate=October 28, 2008}}
</ref>
<ref name="stop the war">
{{cite news|author=Ritter, Jim|date=March 17, 2003|work=Chicago Sun-Times|page=3|title=Anti-war rally here draws thousands|url=http://nl.newsbank.com/nl-search/we/Archives?p_product=CSTB&p_theme=cstb&p_action=search&p_maxdocs=200&s_dispstring=headline(Anti-war%20rally%20here%20draws%20thousands)%20AND%20date(all)&p_field_advanced-0=title&p_text_advanced-0=(Anti-war%20rally%20here%20draws%20thousands)&xcal_numdocs=20&p_perpage=10&p_sort=YMD_date:D&xcal_useweights=no|format=paid archive|accessdate=February 3, 2008}}
*{{cite news|author=Office of the Press Secretary|date=March 16, 2003|title=President Bush: Monday "Moment of Truth" for World on Iraq|publisher=The White House|url=http://www.cnn.com/2003/WORLD/meast/03/16/sprj.irq.main/index.html|accessdate=February 17, 2008}}
*{{cite news|agency=Associated Press|date=March 17, 2003|work=Chicago Sun-Times|page=1|title='Moment of truth for the world'; Bush, three allies set today as final day for Iraq to disarm or face massive military attack|url=http://nl.newsbank.com/nl-search/we/Archives?p_product=CSTB&p_theme=cstb&p_action=search&p_maxdocs=200&s_dispstring=headline(Moment%20of%20truth%20for%20the%20world)%20AND%20date(all)&p_field_advanced-0=title&p_text_advanced-0=(Moment%20of%20truth%20for%20the%20world)&xcal_numdocs=20&p_perpage=10&p_sort=YMD_date:D&xcal_useweights=no|format=paid archive|accessdate=February 3, 2008}}
</ref>
<ref name="without preconditions">
{{cite web|url=http://origin.barackobama.com/issues/foreign_policy/|title=Barack Obama and Joe Biden's Plan to Secure America and Restore Our Standing|publisher=Obama for America|accessdate=September 22, 2008}}
*{{cite news|url=http://www.nytimes.com/2007/11/02/us/politics/01cnd-obama.html?pagewanted=all |title=Obama Pledges 'Aggressive' Iran Diplomacy|author=Gordon, Michael R. and Zeleny, Jeff|work=The New York Times|date=November 2, 2007|accessdate=June 17, 2008}}
*{{cite news|url=http://www.nytimes.com/2007/07/24/us/politics/24transcript.html?pagewanted=all|title=Transcript of fourth Democratic debate|work=The New York Times|date=July 24, 2007|accessdate=June 17, 2008}}
</ref>
<ref name="in Jakarta">
{{cite web|title=Obama's Indonesian Redux|url=http://languagelog.ldc.upenn.edu/nll/?p=1025|author=Zimmer, Benjamin|year=2009|accessdate=March 12, 2009|publisher=Language Log}}
*{{cite web|title=Obama: Saya Kangen Nasi Goreng, Bakso, dan Rambutan|url=http://cetak.kompas.com/read/xml/2008/11/26/00223862/obama.saya.kangen.nasi.goreng.bakso.dan.rambutan}}
</ref>
<ref name="corruption charges">
{{cite news|url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2006/12/16/AR2006121600729.html|title=Obama says he regrets land deal with fundraiser|work=The Washington Post|date=December 17, 2006|accessdate=June 10, 2008|last=Slevin|first=Peter}}
*{{cite news|url=http://www.msnbc.msn.com/id/24973282/|title=Rezko found guilty in corruption case|accessdate=June 24, 2008|date=June 4, 2008|agency=Associated Press|work=MSNBC.com|last=Robinson|first=Mike}}
</ref>
<ref name="social change">
Obama (2006), pp. 202–208. Portions excerpted in: {{cite news|first=Barack|last=Obama|title=My Spiritual Journey|date=October 23, 2006|url=http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,1546579,00.html|work=Time|accessdate=April 28, 2008}}
*{{cite web|url=http://obama.senate.gov/speech/060628-call_to_renewal/|title='Call to Renewal' Keynote Address|accessdate=June 16, 2008|last=Obama|first=Barack|date=June 28, 2006|work=Barack Obama: U.S. Senator for Illinois (website)}}
</ref>
<ref name="two decades">
{{cite news|url=http://www.iht.com/articles/2007/04/30/america/30obama.php?page=2|title=Barack Obama's search for faith|first=Jodi|last=Kantor|date=April 30, 2007|work=International Herald Tribune}} April 30, 2007
*{{cite journal|url=http://www.time.com/time/magazine/article/0,9171,1546579,00.html|title=My Spiritual Journey|first=Barack|last=Obama|date=October 23, 2006|journal=[[Time (magazine)|Time]]}}
</ref>
<ref name="exceptional orator">
{{cite web|url=http://www.theage.com.au/world/a-classic-orator-obama-learnt-from-the-masters-20081129-6nf1.html|title=Obama: Oratory and originality|last=Holmes|first=Stephanie|date=November 30, 2008|accessdate=December 11, 2008|work=The Age}}
*{{cite news|url=http://www.businessweek.com/smallbiz/content/mar2008/sb2008033_156351.htm|title=How to Inspire People Like Obama Does|last=Gallo|first=Carmine|date=March 3, 2008|accessdate=February 21, 2009|work=Business Week}}
*{{cite web|url=http://www.thestar.com/living/article/551538|title=New emotion dubbed 'elevation|date=December 11, 2008|work=[[Toronto Star]]|accessdate=December 11, 2008}}
</ref>
}}



==Marejeleo==

* {{cite book |last=Mendell |first=David |authorlink=David Mendell |year=2007 |title=[[Obama: From Promise to Power]] |location=New York |publisher=Amistad/[[HarperCollins]] |isbn=0-06-085820-6}}
* {{cite book |last=Obama |first=Barack |year=1995, 2004 |title=[[Dreams from My Father|Dreams from My Father: A Story of Race and Inheritance]] |location=New York |publisher=[[Three Rivers Press]] |isbn=1-4000-8277-3}}
* {{cite book |last=Obama |first=Barack |year=2006 |title=[[The Audacity of Hope|The Audacity of Hope: Thoughts on Reclaiming the American Dream]] |location=New York |publisher=[[Crown Publishing Group]] |isbn=0-307-23769-9}}



==Masomo zaidi==

* Curry, Jessica. "Barack Obama:Under the Lights", Chicago Life, Fall 2004. Tarehe 14 Januari , 2008.
* Graff, Garrett. [http://www.washingtonian.com/articles/mediapolitics/1836.html "The Legend wa Barack Obama",] ''Washingtonian,'' 1 Novemba 2006. Tarehe 14 Januari , 2008.
* Koltun, Dave (2005) "The 2004 Illinois Senate Race: Obama Wins Open Seat and Becomes National Political “Star”" in"The Road to Congress 2004" Wahariri: Sunil Ahuja (Youngstown State University) na Robert Dewhirst (Truman State University) , Nova Sayansi Publishers, Haupauge, New York, Binding: Hardcover Pub. Date: 2005, ISBN 1-59454-360-7
* Lizza, Ryan. "Above the Fray", GQ, Septemba 2007. Tarehe 14 Januari , 2008.
* MacFarquhar, Larissa. "The Conciliator: Where is Barack Obama Coming from?", New Yorker, Mei 7, 2007. Tarehe 14 Januari , 2008.
* Mundy, Liza. "A Series of Fortunate Events ", The Washington Post Magazine, August 12, 2007. Tarehe 14 Januari , 2008.
* Wallace-Wells, Ben. [http://www.rollingstone.com/politics/story/13390609/campaign_08_the_radical_roots_of_barack_obama "Destiny's Child",] ''Rolling Stone,'' February 7 2007. Tarehe 14 Januari , 2008.
* Zutter, Hank De. "[http://www.chicagoreader.com/obama/951208/ What Makes Obama Run?]", Chicago Reader , 8 Desemba 1995. Tarehe 14 Januari , 2008.



==Viungo vya nje==
{{Sisterlinks|author=yes|wikt=no|v=no|b=no|n=Category:Barack Obama}}
{{Spoken Wikipedia|En-Barack_Obama-article1.ogg|September 3, 2008}}


;Mitandao rasmi


* President Barack Obama mtandao rasmi wa ikulu ya White House
* [http://www.whitehouse.gov/blog/inaugural-address/ Maandishi kamili na video ya hotuba ya kwanza ya Rais Obama (kutoka whitehouse.gov)]
* [http://www.barackobama.com/ BarackObama.com (tovuti rasmi)]
* [http://www.nobel.se/peace/laureates/2009/index.html Ukurasa rasmi wa Nobel ya Obama]


;Orodha za mitandao


* {{dmoz|Society/History/By_Region/North_America/United_States/Presidents/Obama,_Barack}}
* {{worldcat id|id=lccn-n94-112934}}

;Ripoti za vyombo vya habari


* Ripoti za kila siku za BBC News, Chicago Sun-Times, Chicago Tribune, The Guardian, Washington Post
* {{cite news|title=US election results map|url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/americas/us_elections_2008/7697829.stm|work=[[BBC News]]}}
* {{cite news|title=In pictures: Election result reaction|url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/in_pictures/7709830.stm|work=[[BBC News]]}}
* {{cite news|title=In quotes: US election reaction|url=http://news.bbc.co.uk/2/hi/americas/us_elections_2008/7710020.stm|work=[[BBC News]]}}
* FACTBOX: Barack Obama, Democratic President Elect (Reuters, November 5, 2008)



;Mitandao ya Bunge la Congress

{{CongLinks|congbio=o000167|fec=S4IL00180|opensecrets=N00009638|votesmart=9490|ontheissuespath=Barack_Obama.htm|legistorm=76/Sen_Barack_Obama.html|surge=923|govtrack=400629|findagrave=}}


{{Barack Obama/succession}}
{{Barack Obama|state=expand}}
{{US Presidents}}
{{Current G20 Leaders}}
{{Current APEC Leaders}}
{{Organization of American States Leaders}}
{{United States presidential election, 2008}}
{{USDemPresNominees}}
{{USSenIL}}
{{Nobel Peace Prize Laureates 2001-2025}}
{{2009 Nobel Prize Winners}}
{{Time Persons of the Year 2001–2025}}
{{Featured article}}
{{Use mdy dates}}


{{Persondata <!-- Metadata: see [[Wikipedia:Persondata]] -->
|NAME=Obama, Barack, II
|ALTERNATIVE NAMES=Obama, Barack Hussein
|SHORT DESCRIPTION=44th President of the United States of America
|DATE OF BIRTH=August 4, 1961
|PLACE OF BIRTH=[[Honolulu]], Hawaii
|DATE OF DEATH=
|PLACE OF DEATH=
}}
{{DEFAULTSORT:Obama, Barack}}
[[Category:Barack Obama]]
[[Category:Wasomi Waamerika wenye asili ya Kiafrika]]
[[Category:Historia ya jamii ya Waamerika wenye asili ya Kiafrika]]
[[Category:Mawakili Waamerika wenye asili ya Kiafrika]]
[[Category:Waandishi wa maisha ya kibinafsi ya Waamerika wenye asili ya Kiafrika]]
[[Category:Wanasiasa Waamerika wenye asili ya Kiafrika]]
[[Category:Waliowahi kugombea urais wa Amerika wa kutoka kwa jamii ya Waamerika wenye asili ya Kiafrika]]
[[Category:Maseneta wa Amerika kutoka kwa jamii ya Waamerika wenye asili ya Kiafrika]]
[[Category:Mawakili Waamerika wanaotetea haki za raia]]
[[Category:Masomo ya kisheria ya Amerika]]
[[Category:Washindi wa Tuzo la Nobel kutoka Amerika]]
[[Category:Waandishi wa kisiasa wa Marekani]]
[[Category:Wasimilizi wa vitabu kwa wasikilizaji]]
[[Category:Wanafunzi wa zamani wa Chuo Kikuu cha Columbia]]
[[Category:Wahamasishaji wa jamii]]
[[Category:Viongozi wa sasa wa kitaifa]]
[[Category:Wanasiasa wa Chama cha Democratic (cha Amerika).]]
[[Category:Wagombezi wateule wa urais kwa tikiti ya Chama cha Democratic (cha Amerika)]]
[[Category:Waamerika wenye asili ya Kiingereza]]
[[Category:Washindi katika mashindano ya Grammy Award]]
[[Category:Wanafunzi wa zamani wa Chuo cha Sheria cha Harvard]]
[[Category:Wanachama wa Democrats kutoka Illinois]]
[[Category:Mawakili wa kutoka Illinois]]
[[Category:Maseneta wa Jimbo la Illinois]]
[[Category:Waamerika wenye asili ya Kikenya]]
[[Category:Watu kutoka jamii ya waluo]]
[[Category:Washindi wa Tuzo la Amani la Nobel]]
[[Category:Wanafunzi wa zamani wa Chuo cha Occidental]]
[[Category:Watu kutoka Honolulu, Hawaii]]
[[Category:Wanasiasa kutoka Chicago, Illinois]]
[[Category:Marais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa]]
[[Category:Marais wa Amerika]]
[[Category:Wanafunzi wa zamani wa Shule ya Punahou]]
[[Category:Watetezi wa matumizi ya kawi inayoweza kuzalishwa maradufu]]
[[Category:Orodha ya Jarida la Time ya Watu Mashuhuri Zaidi wa Mwaka]]
[[Category:Waumini wa kanisa la United Church of Christ]]
[[Category:Wagombezi wa urais wa Amerika mwaka wa 2008]]
[[Category:Maseneta wa Amerika kutoka Illinois]]
[[Category:Waandishi kutoka Chicago, Illinois]]
[[Category:Kitivo cha Chuo Kikuu cha Chicago]]
[[Category:Kitivo cha Chuo cha Sheria katika Chuo Kikuu cha Chicago]]
[[Category:Waliozaliwa mwaka wa 1961]]
[[Category:Watu wanaoishi]]
[[Category:Karne ya marais 21 wa Marekani]]


{{Link FA|vi}}
{{Link FA|th}}
{{Link FA|ro}}
{{Link FA|mr}}
{{Link FA|fi}}


[[af:Barack Obama]]
[[ak:Ɔbenem]]
[[als:Barack Obama]]
[[am:ባራክ ኦባማ]]
[[ang:Barack Obama]]
[[ar:باراك أوباما]]
[[an:Barack Obama]]
[[ast:Barack Obama]]

[[en:Obama]]
[[gn:Barack Obama]]
[[az:Barak Obama]]
[[bm:Barack Obama]]
[[bn:বারাক ওবামা]]
[[zh-min-nan:Barack Obama]]
[[ba:Обама, Барак]]
[[be:Барак Абама]]
[[be-x-old:Барак Абама]]
[[bcl:Barack Obama]]
[[bi:Barack Obama]]
[[bar:Barack Obama]]
[[bo:བ་རག་ཨོ་པྰ་མ།]]
[[bs:Barack Obama]]
[[br:Barack Obama]]
[[bg:Барак Обама]]
[[ca:Barack Hussein Obama]]
[[cv:Барак Обама]]
[[ceb:Barack Obama]]
[[cs:Barack Obama]]
[[cbk-zam:Barack Obama]]
[[co:Barack Obama]]
[[cy:Barack Obama]]
[[da:Barack Obama]]
[[pdc:Barack Obama]]
[[de:Barack Obama]]
[[dv:ބަރަކް އޮބާމާ]]
[[nv:Hastiin alą́ąjįʼ dahsidáhígíí Barack Obama]]
[[dsb:Barack Obama]]
[[et:Barack Obama]]
[[el:Μπαράκ Ομπάμα]]
[[myv:Обамань Барак]]
[[es:Barack Obama]]
[[eo:Barack Obama]]
[[ext:Barack Obama]]
[[eu:Barack Obama]]
[[fa:باراک اوباما]]
[[fo:Barack Obama]]
[[fr:Barack Obama]]
[[fy:Barack Obama]]
[[ga:Barack Obama]]
[[gv:Barack Obama]]
[[gd:Barack Obama]]
[[gl:Barack Obama]]
[[gan:奧巴馬]]
[[hak:Barack Obama]]
[[ko:버락 오바마]]
[[ha:Barack Obama]]
[[haw:Barack Obama]]
[[hy:Բարաք Օբամա]]
[[hi:बराक ओबामा]]
[[hsb:Barack Obama]]
[[hr:Barack Obama]]
[[io:Barack Obama]]
[[id:Barack Obama]]
[[ia:Barack Obama]]
[[ie:Barack Obama]]
[[is:Barack Obama]]
[[it:Barack Obama]]
[[he:ברק אובמה]]
[[jv:Barack Obama]]
[[kl:Barack Obama]]
[[kn:ಬರಾಕ್ ಒಬಾಮ]]
[[ka:ბარაკ ობამა]]
[[kk:Барак Обама]]
[[ky:Барак Хусеин Обама]]

[[ht:Barack Obama]]
[[ku:Barack Obama]]
[[la:Baracus Obama]]
[[lv:Baraks Obama]]
[[lb:Barack Obama]]
[[lt:Barack Obama]]
[[li:Barack Obama]]
[[ln:Barack Obama]]
[[jbo:byRAK.obamas]]
[[lmo:Barack Obama]]
[[hu:Barack Obama]]
[[mk:Барак Обама]]
[[mg:Barack Obama]]
[[ml:ബറാക്ക് ഒബാമ]]
[[mt:Barack Obama]]
[[mr:बराक ओबामा]]
[[arz:باراك اوباما]]
[[mzn:باراک اوباما]]
[[ms:Barack Obama]]
[[mn:Барак Обама]]
[[my:ဘာရတ်အိုဗားမား]]
[[nah:Barack Obama]]
[[nl:Barack Obama]]
[[nds-nl:Barack Obama]]
[[ne:बराक ओबामा]]
[[ja:バラク・オバマ]]
[[nap:Barack Obama]]
[[no:Barack Obama]]
[[nn:Barack Obama]]
[[nrm:Barack Obama]]
[[nov:Barack Obama]]
[[oc:Barack Obama]]
[[uz:Barack Obama]]
[[pnb:بارک اوبامہ]]
[[pap:Barack Obama]]
[[ps:باراک حسين اوباما]]
[[km:បារ៉ាក់ អូបាម៉ា]]
[[tpi:Barack Obama]]
[[nds:Barack Obama]]
[[pl:Barack Obama]]
[[pt:Barack Obama]]
[[crh:Barak Obama]]
[[ksh:Barack Obama]]
[[ro:Barack Obama]]
[[rm:Barack Obama]]
[[qu:Barack Obama]]
[[ru:Обама, Барак]]
[[sah:Барак Обама]]
[[se:Barack Obama]]
[[sc:Barack Obama]]
[[sco:Barack Obama]]
[[sq:Barack Obama]]
[[scn:Barack Obama]]
[[simple:Barack Obama]]
[[sk:Barack Obama]]
[[sl:Barack Obama]]
[[szl:Barack Obama]]
[[so:Barack Obama]]
[[sr:Барак Обама]]
[[sh:Barack Obama]]
[[fi:Barack Obama]]
[[sv:Barack Obama]]
[[tl:Barack Obama]]
[[ta:பராக் ஒபாமா]]
[[roa-tara:Barack Obama]]
[[tt:Barack Hussein Obama II]]
[[th:บารัก โอบามา]]
[[tg:Барак Ҳусейн Обама]]
[[tr:Barack Obama]]
[[uk:Барак Обама]]
[[ur:بارک اوبامہ]]
[[ug:باراك ئوباما]]
[[vec:Barack Obama]]
[[vi:Barack Obama]]
[[wa:Barack Obama]]
[[vls:Barack Obama]]
[[war:Barack Obama]]
[[wo:Barack Obama]]
[[wuu:巴拉克·奥巴马]]
[[yi:באראק אבאמא]]
[[yo:Barack Obama]]
[[zh-yue:奧巴馬]]
[[diq:Barack Obama]]
[[zea:Barack Obama]]
[[bat-smg:Barack Obama]]
[[zh:贝拉克·奥巴马]]

Pitio la 13:21, 7 Desemba 2009

Kigezo:Pp-semi-blpKigezo:Active editnotice

Obama
Portrait of Barack Obama

Aliingia ofisini 
January 20, 2009
Makamu wa Rais Joe Biden
mtangulizi George W. Bush

Muda wa Utawala
January 3, 2005 – November 16, 2008
mtangulizi Peter Fitzgerald
aliyemfuata Roland Burris

Member of the Illinois Senate
from the 13th district
Muda wa Utawala
January 8, 1997 – November 4, 2004
mtangulizi Alice Palmer
aliyemfuata Kwame Raoul

tarehe ya kuzaliwa Agosti 4 1961 (1961-08-04) (umri 63)[1]
Honolulu, Hawaii[2]
jina ya kuzaliwa Barack Hussein Obama II[2]
utaifa American
chama Democratic
ndoa Michelle Obama (m. 1992)
watoto Malia Ann (b. 1998)
Natasha (Sasha) (b. 2001)
makazi The White House (official) Chicago, Illinois (private)
mhitimu wa Occidental College
Columbia University (B.A.)
Harvard Law School (J.D.)
taaluma Community organizer
Lawyer
Constitutional law Professor
Author
dini Christian[3]
signature Barack Obama
tovuti The White House
Barack Obama
This article is part of a series about
Barack Obama

Barrack Hussein Obama II ([5]; aliyezaliwa tarehe 4 mwezi Agosti 1961), ni Rais wa 44 na wa sasa wa Amerika. Ndiye Mwamerika wa kwanza mwenye asili ya Kiafrika kushikilia wadhifa huo, mbali na kuwa rais wa kwanza mzaliwa wa Hawaii. Awali, Obama alikuwa mbunge mdogo wa Bunge la Amerika akiwakilisha jimbo la Illinois kuanzia Januari 2005 hadi wakati alipojiuzulu kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa urais mwezi wa Novemba 2008.

Obama ana shahada ya digrii kutoka Chuo Kikuu cha Columbia na Chuo cha Sheria cha Harvard, ambako alikuwa rais au mwenyekiti wa Jarida la Sheria la Harvard. Aliwahi kuhudumu kama mhamasishaji wa jamii huko Chicago kabla ya kuhitimu na shahada yake ya digrii katika fani ya sheria. Alifanya kazi kama mwanasheria mtetezi wa haki za wananchi huko Chicago na akawa mhadhiri wa sheria ya katiba katika Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Chicago kuanzia mwaka wa 1992 hadi mwaka wa 2004.


Obama alihudumu mihula mitatu katika Bunge la Jimbo la Illinois kuanzia mwaka wa 1997 hadi wa 2004. Baada ya kutofanikiwa katika jaribio la kuchaguliwa kama mjumbe wa Jumba la Wawakilishi la Amerika mnamo mwaka 2000, Obama aliwania kiti cha Bunge la Amerika mwaka wa 2004. visa kadhaa vilipelekea kutambulika kwake katika jukwaa la kitaifa; kwa mfano ushindi wa kuteuliwa kwake na chama cha Democratic ili kugombea kiti cha Mwakilishi wa Jimbo la Illinois katika Bunge la Amerika mnamo Machi 2004 na vilevile hotuba kuu Aliyoitoa na iliyoonyeshwa kwenye runinga katika Mkutano Mkubwa wa Kitaifa wa Chama cha Democratic mnamo Julai 2004. Alishinda katika uchaguzi wa Bunge la Marekani mnamo Novemba 2004.


Obama alianza kugombea urais mwezi Februari 2007. Baada ya kampeni iliyopiganiwa vikali kushindania uteuzi wa tikiti ya kuwania urais kupitia Chama cha Democratic mwaka wa 2008 kati yake na Hillary Clinton,aliibuka mshindi wa uteuzi huo. Katika uchaguzi wa kitaifa wa mwaka wa 2008, alimshinda mteule wa Chama cha Republican John McCain na kuapishwa kama rais mnamo tarehe 20 Januari, mwaka wa 2009. Tarehe 9 Oktoba 2009, yeye ilipatiwa 2009 Tuzo ya Amani ya Nobel.


Maisha ya Utotoni na Kazi


Barack Obama alizaliwa katika Hospitali ya kujifungulia akina mama wajawazito ya Kapi'olani mjini Honolulu, Hawaii, Marekani,[8] Mamake Stanley Ann Dunham, alikuwa Muamerika mwenye asili ya Kiingereza kutoka mji wa Wichita, Kansas,[10] na babake Barack Obama,Sr., alikuwa Mluo kutoka kijiji cha Nyang'oma Kogelo, Mkoa wa Nyanza, katika Colony ya Kenya. Wazazi wake Obama walikutana mwaka wa 1960 katika darasa la lugha ya Kirusi katika Chuo Kikuu cha Hawaii cha Manoa, ambako babake alikuwa mwanafunzi wa kigeni aliyekuwa amebahatika kupata msaada wa kimasomo.[12][14] Wawili hao walifunga ndoa mnamo tarehe 2 Februari, 1961,[16] na Barack akazaliwa baadaye mwaka huo. Wazazi wake walitengana akiwa na miaka miwili na kutalikiana mwaka wa 1964.[17] Babake Obama alio tena na kurudi Kenya, ambako alikuwa na wana wawili zaidi, Daudi na Mark Ndesandjo.[19] Mwandamizi Obama aliona mwana wake wa kwanza mara moja tu zaidi kabla ya kufa katika ajali mwaka 1982.[22]


Baada ya kupewa talaka, Dunham alifunga ndoa tena na mwanafunzi Muindonesia Lolo Soetoro aliyekuwa akisomea chuo kimoja cha Hawaii. Wakati Suharto, kiongozi wa kijeshi katika nchi yake Soetoro , aliposhika hatamu za uongozi mwaka wa 1967, wanafunzi wote kutoka Indonesia waliokuwa wakisomea nchi za nje waliamrishwa kurudi nyumbani na familia yake Soetoro ikalazimika kurudi kisiwani Indonesia.[23] Alipokuwa na umri wa kati ya miaka sita na kumi, Obama alihudhuria masomo katika shule za umma nchini Jakarta, ikiwemo Shule ya Umma ya Besuki na shule ya Mtakatifu Francis wa Assisi.


Mwaka wa 1971, alirudi Honolulu kuishi na wazazi wa mamake Madelyn na Stanley Armour Dunham, wakati akisomea Shule ya Punahou , shule ya kibinafsi iliyokuwa ya kuwatayarisha wanafunzi wanao jiunga na vyuo vya juu, alikohudhuria masomo kutoka darasa la tano hadi alipomaliza masomo ya shule ya upili mnamo mwaka wa 1979.[25]


Mamake Obama alirejea Hawaii mwaka wa 1972 na kusalia huko hadi mwaka wa 1977 alipohamia Indonesia kufanya kazi kama mtafiti wa nyanjani wa kianthropolojia. Hatimaye alirudi kukaa Hawaii mwaka wa 1994, mwaka mmoja kabla ya kifo chake kutokana na ugonjwa wa saratani ya kikapu cha uzazi.[28]


Right to left:A young boy possibly in his early teens, a younger girl (about age 5), a grown woman and an elderly man, sit on a lawn wearing contemporary circa-1970 attire. The adults wear sunglasses and the boy wears sandals.
Kulia-hadi-kushoto : Barack Obama na dadake wa kambo Maya Soetoro, pamoja na mama yao Ann Dunham na babu Stanley Dunham,huko Hawaii (mapema 1970)


Akizungumzia maisha yake ya utotoni, Obama alisema, "Sikusumbuliwa akilini na fikra ya kuwa babangu alikuwa tofauti na watu wengine waliokuwa karibu nami na kwamba alikuwa mweusi ti naye mamangu alikuwa mweupe ja maziwa- sikuifikiria hata.[29] Alisimulia mawazo yaliyokuwa yakimkera kama kijana aliyekuwa akijaribu kuyatafakari na kulinganisha maoni ya jamii kuhusu asili yake ya kichotara.[31] Akitafakari kuhusu maisha yake ya utotoni huko Honolulu, Obama aliandika: "Fursa niliyopata Hawaii ya kuweza kushuhudia watu wakiheshimiana ilhali wakiishi katika mazingira ya mchanganyiko wa tamaduni nyingi, iliniwezesha kuyaiga maisha hayo na kuyadumisha katika fikira na tabia zangu na ikawa ni chanzo cha maadili niliyoyatukuza zaidi.[33] Katika maandishi yake, Obama amezungumzia jinsi alivyokunywa pombe, na kutumia , bangi na kokeini katika ujana wake ili "kuondoa akilini mwake maswali mengi kuhusu asili yake.[37] Alipokuwa akihutubia Kikao cha Wananchi cha mwaka wa 2008 Kujadili Urais, Obama aliufedhehekea utumiaji wake wa mihadarati akiwa shule ya upili na kuelezea hali hiyo kama "upotovu wake mkubwa zaidi wa kimaadili."[39]


Kufuatia high school, Obama alihamia Los Angeles mwaka 1979 kuhudhuria Chuo cha Occidental.[41] Baada ya miaka miwili alihamia Chuo Kikuu cha Columbia mwaka wa 1981 mjini New York City, na akalitaalimikia somo la siasa huku akisomea kwa kina uhusiano ya kimataifa[43] akahitimu Shahada ya BA mwaka wa 1983. Alifanya kazi kwa muda wa mwaka mmoja katika kampuni ya Business International Corporation,[47] kabla ya kujiunga na kampuni ya New York Public Interest Research Group.[51]


Uanaharakati wa jamii Chicago na Harvard Law

Baada ya kuishi miaka minne mjini New York, Obama alirejea mjini Chicago alikopata ajira kama mkurugenzi wa Mradi wa Ustawishaji wa Jamii (DCP), shiriki la kijamii lililodhaminiwa na kanisa na lililojumuisha parokia nane za Kikatoliki huko Greater Roseland (eneo lililo jumuisha Roseland, West Pullman na Riverdale) lililoko kusini zaidi mwa jiji la Chicago linalojulikana kama South Side. Alifanya kazi hapo kama mhamasishaji wa jamii kutoka Juni 1985 hadi Mei 1988.[52] 55] Kwa muda wa miaka mitatu alipokuwa mkurugenzi wa DCP, wafanyi kazi wa shirika hilo waliongezeka kutoka idadi ya mtu mmoja na kufikia watu kumi na watatu na bajeti ya shirika ikaongezeka maradufu kutoka dola 70,000 hadi dola 400,000. Alisaidia kuanzisha mpango wa mafunzo ya kikazi, ya kuwatayarisha wanafunzi kwa masomo katika ngazi ya vyuo, na kusajilisha huko Altgeld Gardens shirika la kutetea haki za wapangaji nyumba.[58] Aidha, Obama alifanya kazi kama mtaalamu na mkufunzi katika Wakfu wa Gamaliel, taasisi ya uhamasishaji wa jamii.[62] Katikati ya mwaka wa 1988, kwa mara ya kwanza alilizuru Bara Uropa kwa mujuma matatu kabla ya kuzuru Kenya kwa majuma matano na kukutana na jamaa wengi wa babake kwa mara ya kwanza.[63] Mnamo Agosti 2006, alirudi kutembelea kijiji alipozaliwa babake karibu na Kisumu, sehemu ya vijijini magharibi mwa Kenya.[65]


Obama alijiunga na Chuo cha Sheria cha Harvard, mwishoni mwa mwaka 1988. Aliteuliwa mhariri wa Jarida la Sheria la Harvard mwishoni mwa mwaka wake wa kwanza,[71] kabla ya kupandishwa cheo ha kuwa rais au mwenyekiti wa jarida hilo alipokuwa katika mwaka wake wa pili.[79] Nyakati za likizo wa msimu wa joto alirejea Chicago alikofanya kazi kama mwana sheria msaidizi wakati wa msimu wa joto katika kampuni ya kisheria ya Sidley Austin mwaka 1989 na ile ya Hopkins & Sutter mwaka wa 1990.[81] Baada ya kufuzu na shahada iitwayo Juris Doctor (JD) magna cum laude[82] kutoka chuo cha Harvard mwaka 1991, alirejea teana Chicago.[83] Kuchaguliwa kwa Obama kuwa rais wa kwanza mwenye asili ya Kiafrika wa Jarida la Sheria la Harvard, kuliangaziwa sana na vyombo vya habari vya taifa.[84] Aliweza kutwaa kandarasi ya uchapishaji na kupata malipo ya awali ya kuandika kitabu kuhusu uhusiano baina ya watu wa rangi tofauti,[86] ingawa kitabu kiliibuka kuwa kumbukumbu la maisha yake binafsi hatimaye. Mswada huo ulichapishwa katikati ya mwaka wa 1995 na kupewa anwani Dreams from my Father.[87]


Kurudi Chicago

Kuanzia Aprili hadi Oktoba 1992, Obama alisimamia Mradi wa Upigaji Kura wa Illinois, kampeni ya usajili wa wapiga kura iliyowaajiri wafanyi kazi kumi na kuwakaribisha wafanyi kazi 700 wa kujitolea. Kampeni hiyo ilifikia lengo lake la kuwasajili Wamarekani wenye asili ya Kiafrika 150,000 kati ya 4000,000 walio katika jimbo hilo waliokuwa hawajajisajili kupiga kura. Kufuatia shughuli hiyo, gazeti la kibiashara la Crain's Chicago Business lilimtaja Obama katika orodha ya mwaka wa 1993 ya watu "40 walio na umri wa chini ya miaka arobaini" wenye uwezo wa kuongoza.[86]


Kwa miaka 12, Obama alikuwa profesa wa sheria ya kikatiba katika Chuo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Chicago ;akihudumu kama Mhadhiri kuanzia mwaka wa 1992 hadi 1996, na Mhadhiri Mkuu kuanzia mwaka wa 1996 hadi wa 2004.[92] Mnamo mwaka wa 1993, alijiunga na Davis, Miner, Barnhill & Galland, kampuni ya sheria ya wanasheria 12 wenye taaluma spesheli ya utetezi katika kesi zilizohusu haki za wananchi na mambo ya ustawi wa kiuchumi wa mitaa. Alihudumu kama mwana sheria msaidizi kwa miaka mitatu kuanzia mwaka wa 1993 hadi wa 1996, kabla ya kuwa mwana sheria kamili kuanzia mwaka wa 1996 hadi wa 2004 , na kuacha kutumia kibali chake cha uanasheria mwaka 2002.[98]


Obama alikuwa mwanachama mwanzilishi wa bodi ya wakurugenzi waanzilishi wa Marafiki wa Umma (Public Allies) mwaka 1992, na akajiuzulu kabla ya mkewe, Michelle, kuwa mkurugenzi mtendaji mwanzilishi wa tawi la Marafiki wa Umma wa Chicago mwanzoni mwa mwaka wa 1993[99][101] Alihudumu kuanzia mwaka wa 1994 hadi 2002 kama mwanachama wa bodi ya wakurugenzi wa Hazina ya Woods ya Chicago, iliyokuwa wakfu wa kwanza kutoa pesa kwa Mradi wa Ustawi wa Jamii mnamo mwaka wa 1985. Aidha alihudumu kuanzia mwaka wa 1994 hadi wa 2002 kama mwanachama wa bodi ya wakurugenzi wa Wakfu wa Joyce.[102] na kuhudumu vile vile katika bodi ya wakurugenzi wa Chicago Annenberg Challenge kuanzia mwaka wa 1995 hadi 2002, kama rais mwanzilishi na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi kuanzia mwaka wa 1995 hadi 1999.[103] Alipata pia kuwa mwanachama wa bodi za Kamati Ya Wanasheria Wa Chicago Ya Kushughulikia Haki Za Wananchi Katika Sheria, Kituo cha Mtaa cha Technolojia,, na Kituo cha Matumaini cha Lugenia Burns.


Kazi katika ulingo wa siasa: 1996–2008

Mjumbe katika Bunge la Jimbo: 1997–2004


Obama alichaguliwa katika Bunge la Seneti la Illinois mwaka wa 1996, akamfuata Seneta Alice Palmer kama Seneta kutoka Wilaya ya 13 ya Illinois, ambayo wakati huo ilijumuisha maeneo jirani na Chicago South Side kuazia Hyde Park - Kenwood kuelekea kusini hadi South Shore na kuelekea magharibi hadi Chicago Lawn].[108] Baada ya uchaguzi wake, Obama alipata kuungwa mkono na mirengo yote miwili ya kisiasa kwa kuleta hoja za kisheria zilizoleta mabadiliko katika sheria kuhusu maadili na huduma za afya.[113] Alifadhili sheria iliyoipandisha ruzuku ya kodi kwa wafanyikazi wenye mapato ya chini, na kuleta mabadiliko katika masilahi ya jamii kupitia kwa mazungumzo na kupelekea kupandishwa kwa msaada wa kuwatunza watoto.[116] Mnamo mwaka wa 2001, akiwa mwenyekiti mshiriki wa Kamati ya Muungano wa vyama vyote viwili kuhusu Kanuni za Usimamizi, Obama alimuunga mkono Gavana wa chama cha Republican Ryan kuhusu utekelezaji wa kanuni za mikopo ya siku za ridhaa na kanuni za mikopo ya nyumba zenye dhamira ya kudhalilisha biashara ili kuepuka kuchukua mali ya mkopaji aliyeshindwa kulipia nyumba yake kwa wakati uliokubaliwa.[119]


Obama alichaguliwa kwa mara ya pili katika Seneti ya Illinois mwaka wa 1998, alipomshinda mgombezi wa chama cha Republican Yesse Yehudah katika uchaguzi wa jimbo, na akachaguliwa kwa mara nyingine mwaka wa 2002.[122] Mnamo mwaka wa 2000, alishindwa kwa kura mbili kwa kila kura moja aliyoipata wakati wa uteuzi wa chama cha Democratic wa kuwania kiti cha Jumba la Uwakilishi la Amerika na Bobby Rush aliyekuwa ameshikilia kiti hicho kwa mihula minne.[123]


Mnamo Januari 2003, Obama aliteuliwa kuwa mwenyikiti wa Kamati ya Bunge la Seneti la Illinois kuhusu Huduma za Afya na za Kibinadamu wakati ambapo chama cha Democratic kilishinda viti vingi zaidi baada ya mwongo mmoja wa kuwa na viti vichache.[125] Alidhamini na kuongoza upitishaji wa hoja ya kisheria iliyoungwa mkono na bunge lote. Hoja hiyo ilihusu kuchunguzwa kwa kutumia jamii ya mkosi iliowataka polisi kurekodi jamii ya madereva waliowazuilia, na vile vile sheria iliyolifanya jimbo la Illinois kuwa la kwanza kuhalalisha upigwaji wa picha za video wakati wa kuwahoji washukiwa wa mauaji.[126][130] Wakati wa kampeni zake za kitaifa za kuwania kiti cha Bunge la Seneti la Amerika mnamo mwaka wa 2004, wawakilishi wa polisi walimpongeza Obama kwa kuwa mstari wa mbele katika kufanya kazi na matawi ya polisi kutekeleza mabadiliko kuhusu hukumu ya kifo.[133] Obama alijiuzulu mwezi wa Novemba 2004 kutoka kwa Bunge la Seneti la Illinois kufuatia kuchaguliwa kwake katika Bunge la Seneti la Amerika.[135]


Mwaka wa 2004 Kampeni za kuwania kiti cha Bunge la Seneti la Amerika


Mnamo Mei 2002, Obama alidhamini kura ya maoni kuchunguza uwezekano wake wa kushinda katika uchaguzi wa Bunge la Seneti la Amerika wa mwaka wa 2004. Alibuni kamati ya kampeni na akaanza kuchangisha fedha na akamhusisha, mnamo Agosti 2002 David Axelrod mtaalamu wa habari za kisiasa kabla ya kutangaza rasmi nia yake ya kuwania kiti cha Bunge la Seneti mnamo Januari 2003.[138] Maamuzi ya mshikilizi wa kiti hicho Peter Fitzgeraldwa wa chama cha Republican, pamoja na mtangulizi wake wa chama cha Democratic Carol Moseley Braunkutowania kutowania katika uchaguzi huo, kiti hicho kulifungua mlango wazi na watu kumi na watano wakatafuta uteuzi wa vyama vya Democratic na Republican.[140] Kampeni ya Obama ilipata fanaka kufuatia matangazo ya Axelrod yaliyomhusisha Hayati Harold Washington aliyekuwa Meya wa Chicago na kule kuungwa mkono na bintiye marehemu Paul Simon, Seneta wa kitaifa wa zamani wa Illinois.[142] Katika uchaguzi wa Machi 2004 msingi, Obama alishinda kwa ukingo kubwa, huku akimaliza na 53% ya kura kati ya wagombea saba, na kumshina aliyemfuata kwa pointi asilimia 29. Akauchomoa ya kushinda usikivu wa Democrats kote, na uvumi ukaanza juu ya uwezekano wa kampeni za urais.[143]


Mnamo Julai 2004, Obama aliandika na kusoma hotuba kuu katika Mkutano wa Kitaifa wa Chama cha Democratic wa mwaka wa 2004 mjini Boston, Massachusetts.[145] Ingawa haikutangazwa na mitandao ya biashara ya televisheni,watu 9.1 milioni waliona hotuba ya Obama, ambayo ilikuwa ni belysa ya mkataba wake na muinuko sasa ndani ya Democratic Party. [4]


Mpinzani wa Obama katika uchaguzi huo , Jack Ryan mteule wa chama cha Republican, alijiondoa mnamo Juni 2004.[148] Miezi miwili baadaye Alan Keyes, aliukubali uteuzi wa Chama cha Republican cha Illinois kuwania kiti hicho badala yake Ryan.[150] Keyes, aliyekuwa kwa muda mrefu mkaazi wa Maryland, alihamia Illinois kwa mujibu wa sheria baada ya uteuzi wake. Katika uchaguzi wa ngazi ya jimbo mnamo Novemba 2004, Obama alishinda 70% ya kura dhidi 27% za Keyes. Huu ulikuwa ni ushindi mkubwa zaidi katika historia ya uchaguzi katika Jimbo la Illinois.[153]


Seneta katika Bunge la Amerika: 2005–2008 ,


Obama aliapishwa kuwa seneta mnamo Januari 4, 2005.[156] Obama alikuwa Seneta Mwamerika mwenye asili ya Kiafrika wa tano katika historia ya Amerika na wa tatu kuchaguliwa kupitia njia ya kura.[158] Aidha alikuwa Seneta pekee aliyekuwa mwanachama wa Kundi la Wabunge Weusi, lililojulikana kama Congressional Black Caucus.[161] Gazeti la CQ , lisiloegemea upande wowote lilimtaja kama "mwana chama cha Democratic anayeaminika" kulingana na uchanganuzi wa kura zote za Maseneta kati ya mwaka wa 2005 na 2007. Jarida la National Journal lilimworodhesha kama seneta "mwenya siasa huru zaidi" kutokana na utafiti uliofanywa kwa kura za maoni zilizopigwa mwaka wa 2007; mwaka wa 2005 aliibuka wa kumi na sita katika orodha hiyo ya Maseneta wenya siasa huru zaidi, na mwaka wa 2006 akaibuka wa kumi.[162] Mnamo mwaka wa 2008, tovuti ya Congress.org lilimworodhesha kama Seneta wa kumi na moja aliye na ushawishi zaidi,[164] na mwanasiasa aliyependwa zaidi na watu katika Seneti, kwani 72% ya watu wa Illinois waliridhika na kazi yake.[166] Obama alitangaza mnamo Novemba 13, 2008 kwamba atajiuzulu kiti chake Novemba 16, 2008, kabla ya mwanzo wa kipindi cha Bunge la Congress kinachojiri wakati wa muda wa kuondoka kwa serikali ya zamani na wa kuingia kwa serikali mpya inayojulikana kama "lame-duck session" ili aweze kukamilisha matayarisho yake kushika hatamu za urais.[167] Kwa kufanya hivyo aliweza kujiepusha na utata ulio kati ya nafasi ya Rais mteule na vile vile Seneta wakati wa kipindi hiki cha Congress ambapo walio ofisini wanajitayarisha kuondoka. Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mwanachama wa Congress kujipata katika hali hii tangu siku za Warren Harding.[169]


Utungaji Sheria


A man with glasses and Obama sit and hold a sheet of paper. Obama points at the paper and talks. Both men wear dark suits and ties.
Seneti muswada wadhamini Tom Coburn (R-OK) na Obama akijadili Coburn-Obama sheria ya uwazi &lt;ref&gt; [169] &lt;/ ref&gt;


Obama aliipigia kura hoja ya kisheria iliyojulikana kama Sheria kuhusu Sera ya Kawi ya mwaka wa 2005 na kudhamini kwa pamoja Sheria kuhusu Usalama wa Amerika na Uhamiaji wenye Mpangilio.[173] Mnamo septemba 2006, Obama aliiunga mkono hoja ya kisheria iliyohusiana na sheria hiyo , Sheria kuhusu Sheria kuhusu Usalama wa Ua la Kitaifa[175] Obama alidhamini hoja mbili za kisheria ziliyopewa jina lake: sheria ya Lugar–Obama, iliyoimarisha sheria kuhusu kupunguzwa kwa hatari wakati wa kushirikiana na nchi zingine iliyodhaminiwa kwa mara ya kwanza na[178] Nunn-Lugar iliyohusisha zana zilizokubalika na Sheria ya Coburn-Obama kuhusu uwazi, iliyotoa ruhusa ya kuanzishwa kwa tovuti ya USAspending.gov, mtambo wa utafiti katika mtandao wa intaneti kuhusu matumizi ya fedha ya serikali kuu ya Amerika.[181] Mnamo Juni 3, 2008, Seneta Obama, pamoja na Masenetan Thomas R. Carper, Tom Coburn, na John McCain, walidhamini hoja ya kisheria ya ufwatiliaji wa matumizi: Sheria ya mwaka wa 2008 kuhusu Uimarishaji wa Uwazi na Uwajibikaji katika Matumizi ya Fedha na Serikali Kuu.[182]


Gray-haired man and Obama stand, wearing casual polo shirts. Obama wears sunglasses and holds something slung over his right sholder.
Obama na Seneta Richard Lugar (R-IN) wazuru nchi ya Urusi kwa kampuni ya masilahi mnamo mwezi Agosti mwaka wa 2005. &lt;ref&gt; [181] &lt;/ ref&gt;


Obama alifadhili utungaji sheria ambao ungewahitaji wanaomiliki mitambo ya kinuklia kutaarifu serikali za majimbo na za mitaa kuhusu uvujaji wa vinururishi, lakini mswada huu haukupitishwa wakati wa kikao cha Seneti kamili baada ya kubadilishwa sana ulipofika hatua ya kamati.[185] Obama hachukii mabadiliko yanayohusu makosa ya daawa kwa hivyo alipigia kura Sheria ya Mwaka 2005 ya Kitendo cha Haki katika Matabaka na Sheria ya Marekebisho ya FISA ya mwaka wa 2008 inayotoa kinga dhidi ya kuwajibika kiraia kwa makampuni ya kimawasiliano yanayoshiriki katika shughuli za kunasa na na kusikiliza mawasiliano kusiko haki kwa NSA.[187]


Mnamo December 2006, Rais Bush alitia sahihi hoja ya kisheria na kuidhinisha Sheria kuhusa Kuimarishwa kwa Msaada, Usalama na Demokrasia katika Jamhuri ya Kidemokorasia ya Congo hii ikiwa ni sheria ya kwanza ya kitaifa kuidhiniswa baada ya kudhaminiwa tangu mwanzo na Obama.[190] Mnamo Januari 2007, Obama pamoja na Seneta Feingold walitunga kipengele kuhusu usafiri kwa ndege za kampuni kwenye Sheria kuhusu Uongozi Unaoaminika na Uwazi katika Serikali , kilichoidhinishwa mnamo Septemba 2007.[194] Aidha, Obama aliwasilisha Sheria ya Kuzuia Udanganyifu na Kutishwa kwa Wapiga Kura ,hoja ya kisheria iliyolenga kuharamisha udanganyifu katika chaguzi za kitaifa[198] na vile vile Sheria ya Mwaka wa 2007 kuhusu Kupunguzwa kwa Vita vya Iraq[201]. Hoja zote mbili hazijaidhinishwa kuwa sheria.


Baadaye mnamo mwaka wa 2007, Obama alidhamini hoja ya marekebisho ya Sheria kuhusu Ruhusa za Kiulinzi na kuongeza kipengele kuhusu uwezekano wa kuachishwa kazi kwa wanajeshi wenye nafsi punguani.[204] Marekebisho haya yalipitishwa na Seneti mwanzo wa mwaka wa 2008.[206] Aliidhamini pia hoja iliyojulikana kama Sheria ya Kuimarisha Vikwazo dhidi ya Iran iliyounga mkono kupunguzwa kwa uwekezaji wa fedha za malipo ya uzeeni katika sekta ya mafuta na gesi nchini Iran; hoja ambayo haikupitishwa katika kamati. Aidha alidhamini kwa pamoja hoja ya kisheria iliyolenga kupunguza hatari ya ughaidi wa kinuklia.[207] Obama alidhamini vile vile marekebisho ya Seneti kwa Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Afya kwa Watoto yaliyolenga kuwahakikishia bima jamaa wanaowatunza wanajeshi waliojeruhiwa vitani.[210]


Kamati za Bunge

Obama alikuwa na majukumu katika kamati za Bunge la Seneti; kamati za Maswala ya Kigeni, Mazingira na Kazi za Umma na Maswala ya Wakongwe wa Kivita hadi Desemba 2006.[212] Mnamo Januari 2007, alijiondoa katika Kamati ya Mazingira na Kazi za Umma na kutwaa majukumu ya ziada katika kamati za Afya, Masomo, Leba na Malipo ya Uzeeni na Usalama wa Nchi na Maswala ya Kiserikali.[214] Alikuwa pia mwenyekiti wa kamati ndogo ya Seneti kuhusu Maswala ya Bara Ulaya.[216] Akiwa mwanachama wa Kamati ya Maswala ya Kigeni, Obama alitembelea maeneo ya Ulaya ya Mashariki, Mashariki ya Kati, eneo la kati la Bara Hindi na Bara la Afrika. Alikutana na Mahmoud Abbas kabla hajachaguliwa kuwa Rais wa Serikali ya Palestina, na akatoa hotuba katika Chuo Kikuu cha Nairobi ilikoshutumu ufisadi katika serikali ya Kenya.[217][218]


Kampeni za Mwaka wa 2008 za Uchaguzi wa Urais

Obama stands on stage with his family. They wave.
Obama anasimama juu ya jukwaa na mke wake na mabinti wawili kabla ya kutangaza Ugombea urais wake katika Springfield, Illinois, Februari 10, 2007.

Mnamo Februari 10, 2007, Obama alitangaza kuwa atawania kiti cha urais wa Amerika mbele ya jengo linaloitwa Old State Capitol katika eneo la Springfield, mjini Illinois.[221][223][224] Chaguo la pahali hapo lilichukuliwa kama kielelezo[225][227]kwani ni pahali hapo ambapo Abraham Lincoln alipotolea hotuba yake ya kihistoria inayojulikana kama ""House Divided" mnamo mwaka wa 1858.[229] Kwa muda wote wa kampeni, Obama aliyapigia upatu maswala ya kumaliza vita vya Iraq War, kujitegemea zaidi kikawi na kuhakikisha huduma za afya kwa kila mtu. [230] Tazama pia:

  • Thomas, Evan (2009). A Long Time Coming. New York: PublicAffairs. uk. 74. ISBN 9781586486075.
  • Falcone, Michael. "Obama's 'One Thing'", The New York Times, December 21, 2007. Retrieved on April 14, 2008.  </ ref>


Obama delivers a speech at a podium while several flashbulbs light the background.
Obama atangaza ushindi wake katika uchaguzi wa rais katika hotuba huko Grant Park.


Wagombezi wengi walijisajilisha katika uteuzi na Chama cha Democratic. Baada ya kura kupigwa mara kadhaa wengi wa wagombezi hawa waliondolewa katika uteuzi na wakabaki Obama na Seneta Hillary Rodham Clinton kupimana nguvu, na shindano hilo Obama aliongoza kwa idadi ya wajumbe walioahidi kumpigia kura kwa kuwa alikuwa na mpango wa kudumu katika kampeni yake, aliweza kukusanya fedha nyingi zaidi za kugharamia kampeni, kuandaa mipango kabambe katika majimbo yenye uzito wa kikura, na kuizingatia na kuzitumia kanuni za kujishindia wajumbe.[233] Majimbo yote yalipohesabiwa tarehe 3 Juni, Obama alitangazwa mgombezi mteule[234] na akatoa hotuba mjini St. Paul, Minnesota, kusheherekea ushindi wake. Mnamo Juni 7, Clinton alitamatisha kampeni yake na kukubali kumuunga mkono.[236]


Obama meets with Bush in the Oval Office. Both sit at a distance in front of the presidential desk with their legs crossed and their backs on an angle toward the camera. They sit at right angles to each other.
Obama akutana na Rais wa arobaini na tatu , George W. Bush katika Ofisi ya Oval tarehe 10 Novemba, 2008.


Obama aliendelea na mipango yake ya kampeni ya uchaguzi katika ngazi ya kitaifa dhidi ya Seneta John McCain, aliyekuwa mgombezi mteule wa chama cha Republican kabla ya Mkutano Mkuu wa Kitaifa wa Chama cha Democratic. Alitangaza mnamo Agosti 23, 2008, kwamba alikwisha mchagua Seneta Joe Biden wa Delaware kama mgombezi mwenza katika uchaguzi wa makamu wa rais.[238] Katika mkutano mkuu wa kitaifa wa chama ulioandaliwa kuazia Agosti 25 hadi 28 mjini Denver, Colorado, Hillary Clinton aliwataka wajumbe waliokuwa wamemwahidi kura na wafwasi wake kumkubali Obama, kabla kutoa hutuba katika mkutano huo pamoja na mmewe Bill Clinton kumuunga mkono Obama.[239] Akiukubali uteuzi wake, Obama aliwahutubia zaidi ya wafuasi wake 75,000 waliomuunga mkono na kuwajulisha kuhusu sera zake katika hotuba iliyotazamwa na zaidi ya watu milioni 38 kote ulimwenguni.[240]


Wakati wa harakati za uteuzi na uchaguzi, timu ya kampeni ya Obama iliweka rekodi kadhaa za kuchangisha pesa, hasa kutoka kwa watu waliotoa idadi ndogo ya pesa.[241] Mnamo Juni 19, 2008, Obama alikuwa mgombezi wa kwanza wa chama kikubwa cha kisiasa kukataa fedha za umma katika kuugharamia uchaguzi mkuu tangu kubuniwa kwa mpango huo mwaka wa 1976.[243]


Baada ya kuteuliwa kwa McCain kuwa mgombezi wa chama cha Republican mijadala mitatu kati ya wagombezi wa urais iliandaliwa kati ya Septemba na Oktoba 2008.[244] Mwezi wa Novemba, Obama alishinda urais kwa 52.9% ya kura za wananchi naye McCain's akapata 45.7%. [246] Aidha , Obama alipata kura za wajumbe 365 dhidi ya mpinzani wake aliyepata kura 173 za wajumbe.[247] Kwa hivyo aliibuka mshindi na kuwa Mwamerika wa kwanza mwenye asili ya Kiafrika[252] kuchaguliwa kuwa rais. Obama alitoa hotuba yake ya ushindi mbele ya mamia ya maelfu ya wafuasi wake uwanjani Grant Park, jijini Chicago.[254]


Urais

Barack Obama anachukua kiapo ya ofisi ya rais wa Amerika.

Siku za kwanza

Kuapishwa kwa Barack Obama kama Rais wa 44, na Joe Biden kama Makamu wa Rais, ulifanyika mnamo tarehe 20 Januari 2009. Katika siku za kwanza za urais, Obama alitoa maagizo rasmi na kutuma nyaraka za kirais kuliamuru jeshi la Amerika kuanzisha mipango ya kuondoka Iraq[258] na kuamuru kufungwa kwa kambi ya kizuizi ya Guantanamo "haraka iwezekanavyo na kabla ya" Januari 2010.[260] Aidha, Obama alipunguza usiri zinazopewa rekodi za rais[262] na kubadili mipangilio ili kuwezesha kutolewa kwa habari kwa mujibu wa Sheria kuhusu Uhuru wa Kupata Habari.[264] Rais Obama vile vile alibadilisha marufuku wa George W. Bush ya kutowapa fedha za kitaifa mashirika ya kigeni yaliyoruhusa uavyaji mimba (iliyojulikana kama Sera ya Jiji la Mexico na iliyojulikana na wapinzani wa marufuku hiyo kama "Kanuni ya Kumfunga Kila Mtu", yaani "Global Gag Rule").[266]


Sera ya Maswala ya Ndani

Mnamo tarehe 29 Januari 2009, Rais Obama alitia sahihi mswada wake wa kwanza kuwa sheria , Sheria ya mwaka wa 2009 kuhusu Malipo ya Haki ya Lilly Ledbetter , iliyoharamisha uamuzi wa Mahakama Kuu katika kesi ya Ledbetter dhidi ya kampuni ya Goodyear Tire & Rubber Co. na hivyo kurahisisha matakwa ya kuwasilisha kesi kotini kuhusu visa vya ubaguzi katika ajira.[268] Siku tano baadaye, aliitia sahihi idhini ya pili kwa Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Afya kwa Watoto (SCHIP) ili kuwezesha watoto milioni nne zaidi kupewa bima ya maisha.[270]


Mwezi Machi 2009, Obama alibatilisha sera ya serikali ya Bush iliyoharamisha utumizi wa dola zilizotokana na kodi kulipia gharama ya utafiti mpya uliolenga chembe chembe changa yaani embryonic stem cells. Ingawa utafiti wa aina hii ulikuwa bado unajadiliwa, Obama alisema kuwa aliamini kuwa "sayansi yenye manufaa na maadili ya kijamii... ni vitu vinavyotangamana," na kuongezea kuwa tuna "utu na dhamira" kujihusisha na utafiti huu kwa uwajibikaji na kuahidi kubuni "taratibu za kufuatwa" kuhakikisha uwajibikaji huo katika utafiti.[271]


Mnamo tarehe 26 Mei 2009, Obama alimteua Sonia Sotomayor kuchukua nafasi yake Jaji Msaidizi David Souter. Uteuzi wa Sotomayor uliidhinishwa mnamo tarehe 6 Agosti 2009 kwa kura 68 dhidi ya 31[273] na hivyo kumfanya Jaji wa Mahakama Kuu wa kwanza mwenye asili ya Kihispania. Alijiunga na Ruth Bader Ginsburg kuwa mwanamke wa pili katika Mahakama hiyo na mwanamke wa tatu kuwahi kuwa Jaji.[274]


Tarehe 30 Septemba 2009, serikali ya Obama ilitangaza kanuni mpya kuhusu vituo vya nguvu za umeme, viwanda na vituo vya kusafisha mafuta katika jaribio la kupunguza kutolewa kwa gesi za sumu katika mazingira na kupambana na ongezeko la joto ulimwenguni.[275][276][277]


Usimamizi wa kiuchumi

Tarehe 17 Februari 2009, Barack Obama aliidhinisha Sheria ya mwaka wa 2009 kuhusu Ufufuaji Uchumi wa Amerika na Uwekezaji Upya, mpango wa kukwamua uchumi wa dola bilioni 787 uliolenga kusaidia kuufufua uchumi kutokana na uzorotaji wa uchumi ulimwenguni kote. Obama alilitembelea Bunge la Congress kwenye jengo la Capitol Hill kushiriki katika mijadala na Wabunge wa chama cha Republican, ingawaje hoja hiyo ya kisheria ilipitishwa mwishowe baada ya kuungwa mkono na Senata watatu tu wa chama cha Republican.[279] Baadhi ya mapendekezo ya sheria hiyo ni kuongeza matumizi ya fedha kwa huduma za afya, ujenzi wa nyenzo ya kiuchumi, elimu, gharama za kukatwa kwa kodi na kutoa motisha ya kuwekeza , pamoja na usaidizi wa moja kwa moja kwa watu binafsi,[280] Mabadiliko haya yalilengwa kufanyika kwa muda wa miaka kadhaa, ilhali 25% yanatarajiwa kutekelezwa kabla ya mwisho wa mwaka wa 2009. Mwezi Juni, Obama, akiwa hajatoshelezwa na kasi ya kuimarika kwa uchimi, alitoa wito kwa mawaziri wake kuongeza kasi ya matumizi ya katika wiki zijazo.[282]


Mnamo Machi, Waziri wa Fedha wa Obama, Timothy Geithner, alichukua hatua zaidi za kukabiliana na mgogoro wa ukosefu wa kifedha, ikiwemo kuanzishwa kwa Mpango wa Uwekezaji Unaojumuisha Sekta ya Umma na Kibinafsi unaoruhusu kununuliwa kwa nyumba zilizoshuka bei kwa gharama ya trilioni mbili ili kuzuia kupunguka kwa bei za hisa, kusimamishwa kwa kutolewa kwa mikopo na kuchelewesha kufufuka kwa uchumi. Mnamo tarehe 23 Machi, gazeti la, The New York Times lilieleza kwamba wawekezaji walisisimka huku bei zote za masoko makubwa ya hisa zikianza kupanda wakati wa ufunguzi wa masoko haya.[283] Kuandamana na matumizi hayo ya serikali na hakikisho kwa mikopo uliyotolewa na Hazina ya Kitaifa na Idara ya Fedha, takriban dola trilioni 11.5 zilikuwa zimeidhinishwa kutolewa na serikali za Bush na Obama. Idadi ya dola trilioni 2.7 zilikuwa zimetumika tayari kufikia mwisho wa Juni 2009.[285]


Mnamo mwezi wa machi, Obama aliingilia kati katika sekta ya utengenezaji wa magari uliyodorora[287] alipoidhinisha mikopo ya ziada kwa kampuni za General Motors na Chrysler Corporation kuziwezesha kuendelea na shughuli za matengenezo ya magari huku wakijipanga upya. Miezi iliyofuatia, Ikulu ya Rais wa Amerika, White House, ilitoa mwongozo kuhusiana na kufilisika kwa makampuni hayo, pamoja na kuuzwa kwa Chrysler kwa watengenezaji ma magari wa Italia, Fiat[289] na kupangwa upya kwa General Motors na kuipa serikali ya Amerika asilimia 60 ya hisa za kampuni, na serikali ya Canada kuchukua aslimia 12 ya hisa.[291] Yeye pia alitia saini kuwa sheria ya "Car Allowance Rebate System", inayojulikana kama muswada wa "Cash for Clunkers" , tarehe 7 Agosti, 2009.


Katika robo ya tatu ya 2009, uchumi wa Marekani wigo katika 2,8% mwaka kasi.[294] Obama, amedai kuwa kichocheo paket ulisaidia kukomesha kukosekana kiuchumi.[295] Mbalimbali wanauchumi na credited paket ya kichocheo kwa kusaidia kujenga uchumi. [5] [6] Hata hivyo, ukosefu wa ajira imeendelea kuongezeka hadi 10.2% (juu zaidi katika miaka 26), [7] na kiwango cha kutotumika kikamilifu kimeongezeka hadi 17.5%. [8] Katikati ya Novemba, Obama alisema alikuwa na wasiwasi kwamba matumizi ya kupindukia unaweza kusababisha uchumi uingia katika hali ya kudorota mara ya pili. [9] [10]


Sera za kigeni

Katika miezi ya Februari na Machi, Makamu wa Rais Joe Biden na Hillary Clinton walitembelea nchi za kigeni kutangaza "mwanzo mpya" katika uhusiano wa Amerika na Urusi pamoja na Ulaya, wakitumia maneno kama "kuvunja" na "kuanzisha upya" kuashiria mabadiliko makubwa, tofauti na sera za serikali iliyotangulia.[303] Kukubali kwa Obama kuhojiwa kwa mara ya kwanza tangu kuchukua hatamu za urais na runinga ya Kiarabu ya , Al Arabiya, kulieleweka kama jaribio la kuwakaribia Waarabu.[305]


Mnamo tarehe 19 Machi, Obama aliendelea na majaribio yake ya kuukaribia Ulimwengu wa Waisilamu aliopowatumia ujumbe wa vidio wa mwaka mpya wananchi na serikali ya Iran.[307] Jiribio hili la kuwakaribia lilikataliwa na viongozi wa Iran.[309] Mnamo Aprili, Obama alitoa hotuba mjini Ankara, Uturuki, iliyopongezwa na serikali nyingi za Kiarabu.[311] Tarehe 4 Juni, 2009, Obama alitoa hotuba katika Chuo Kikuu cha Cairo nchini Misri na kutaka kuwe na "mwanzo mpya" katika uhusiano kati ya ulimwengu wa Kiislamu na Amerika na kuimarishwa kwa amani amani Mashariki ya Kati.[301]


Tarehe 26 Juni, 2009, katika kukabiliana na vitendo Iranian serikali kuelekea waandamanaji Irans 2009 kufuatia uchaguzi wa urais, Obama alisema: "Ghasia waliotendewa ni ya kushangaza. Tumeiona na tunailaani."[314] Julai 7, alipokuwa Moscow, yeye alijibu kwa Makamu wa Rais Biden maoni juu ya uwezekano wa mgomo Israel kijeshi Iran kwa kusema: "Tumesema moja kwa moja kwa Waisraeli kwamba ni muhimu kujaribu na kutatua haya katika mazingira ya kimataifa katika njia ambayo haitajenga mgogoro kubwa katika Mashariki ya Kati."[315]


Mnamo tarehe 24 Septemba 2009, Obama alikuwa Rais wa kwanza wa Amerika aliye mamlakani kuongoza mkutano wa baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa."[316]


Vita vya Iraq

Makala kuu: Iraq War

Akiwa anagali rais mteule Obama alitangaza kuwa angemdumisha Waziri wa Ulinzi wakati huo, Robert Gates, katika baraza lake la mawaziri.[308]


Siku za kwanza wa Urais wake, Obama aliamua kubadilisha mtazamo wa ulimwengu kuhusu mbinu za kivita za Amerika kwa kupanga kupunguza idadi ya wanajeshi nchini Iraq kama ilivyonuiwa na serikali ya Bush katika siku zake za mwisho.[320] Mnamo tarehe 27 Februari, Obama alitangaza kwamba mapigano yataisha nchini Iraq kabla ya mwisho wa miezi 18. Aliyatamka haya alipokuwa akizungumza na kundi la wanajeshi wa Amerika waliokuwa wametumwa Afghanistan. Obama alisema, "Hebu nisema haya kinagaubaga: Kufikia tarehe 31 Agosti 2010, mapigano yetu nchini Iraq yatafika kikomo.[311]


Vita nchini Afghanistan


Mwanzoni mwa urais wake, Obama alibadili mbinu za kivita za Amerika kwa kuliongezea nguvu jeshi lililoko Afghanistan.[324] Tarehe 18 Februari 2009, Obama alitangaza kuwa Marekani itaongeza idadi ya wanajeshi nchini Afghanistan kwa idadi ya 17,000, huku akidai kwamba ongezeko ilikuwa muhimu na "kutengemaa kwa hali ya kuzorota nchini Afghanistan", eneo alisema haikuwa imepokea "kimkakati makini, mwelekeo na rasilimali hiyo inahitaji haraka."[326]


Mnamo Mei 11, Obama alimwachisha kazi kamanda wake wa kijeshi nchini Afghanistan, Jemedari David McKiernan D.,na kumteuwa kamanda wa zamani wa Jeshi la Kipekee . Luteni Jemedari Stanley McChrystal, kuchukua nafasi yake, akiwa na imani kwamba ujuzi wa Jemedari McChrystal katika Jeshi la Kipekee ungemwezesha kutumia mbinu za kivita dhidi ya wanamgambo wa kivita.[316]


Mabadiliko katika huduma za afya

Obama ameliambia Bunge la Congress kupitisha mabadiliko katika huduma za afya, ahadi kuu aliyoitoa wakati wa kampeni na lengo lake kuu la kisheria. Mnamo Julai 14, 2009, viongozi wa Bunge wa chama cha Democratic waliwasilisha mpango wa kurasa 1,017 wa kubadilisha pakubwa mfumo wa huduma za afya wa Amerika, ambao Obama analitaka Bunge la Congress kupitisha kabla ya mwaka kuisha.[330] Aidha, Obama amesema kuwa uwezekano wa bima ya afya ya umma ni nguzo muhimu katika kupunguza gharama na kuimarisha huduma katika sekta ya afya.[331]


Baada ya mjadala mrefu wa umma wakati wa likizo ya Bunge la Congress wakati wa msimu wa kiangazi wa mwaka wa 2009, Obama alihutubia kikao cha pamoja cha Bunge la Congress mnamo Septemba 9 na kuyajibu maswali yaliyoibuka kufuatia mapendekezo ya serikali yake.[332]


Mnamo Novemba 7, 2009, hoja hiyo ya kisheria ilipitishwa katika Bunge baada ya wabunge kujadiliana kirefu kuhusu kujumuishwa au kutojumuishwa kwa uavyaji wa mimba katika mpanga wa huduma ya afya uliopendekezwa na serikali . [11]


Msimamo ya kisiasa


Njia inayofuatwa na baadhi ya wataalamu wa kisiasa kupima maadili ya kisiasa ni kulinganisha ukadiriaji wa mwaka wa "Americans for Democratic Action" (ADA) na ule unaotolewa na "American Conservative Union" (ACU).[338] Kwa mujibu wa miaka aliyohudumu katika Bunge la Congress, kundi la ACU limempa Obama kadri ya asilimia 7.67 kwa msimamo wake kuhusu siasa za mrengo wa kulia[330] nalo kundi la ADA[342] limempa kadri ya asilimia 90 kwa msimamo wake kuhusu siasa za mrengo wa kushoto .[346]


Obama gestures from the podium while campaigning. The front of the podium has a sign that reads "Change We Need" with WWW.BARACKOBAMA.COM below and his campaign logo above.
Obama akifanya kampeni katika Abington, Pennsylvania, Oktoba 2008


Kiuchumi, aliunga mkono mnamo Aprili 2005 Makubaliano Mapya yaani "New Deal" , sera za maslahi ya kijamii za Franklin D. Roosevelt na kupinga mapendekezo ya chama cha Republican ya kufungua akaunti za kibinafsi kwa ajili ya Usaidizi wa Kijamii yaani "Social Security".[348] Baada ya Kimbunga cha Katrina, Obama alishutumu kuzembea kwa serikali kuhusu kuongozeka kwa tofauti za kimapato, na kutaka vyama vyote viwili kuhakikisha usaidizi wa kijamii kwa maskini umetekelezwa.[350] Muda mfupi kabla ya kutangaza kampeni yake ya urais, Obama alisema anaunga mkono huduma za afya kwa watu wote nchini Amerika.[352] Amependekeza tuzo kwa kazi nzuri kwa waalimu kando na mipango ya malipo kulingana na matokeo na kuvihakikishia vyama vya wafanyi kazi kuwa mabadiliko yatafanywa kupitia kwa mpango wa mijadala ya pamoja kuhusu mishahara.[354]


Kuhusu kodi, alisema kuwa mpango wake utamaliza kodi kwa wakongwe walio na mapato chini ya dola 50,000 kwa mwaka, utaongeza kodi kwa walio na mapato ya zaidi ya dola 250,000, utaongeza mapato ya uwekezaji na kodi kwa mapato ya hisa,[356] utamaliza dosari za kodi za kampuni, utainua pia mapato ya chini zaidi ya kutozwa kodi za Usaidizi wa Kijamii, utapunguza maeneo yasiyotoza kodii kwa wakezaji wa kigeni na vile vile utarahisisha ujazaji wa fomu za kodi inayotozwa mishahara kwa kujaza mbeleni habari za mishahara na za benki ambazo zimeshakusanywa na IRS.[360] Mnamo Septemba 2007,alilaumu watu walio na nia za kibinafsi kwa kutoa habari za uwongo kuhusu Sheria ya kodi ya Amerika.[360]


Obama facing forward with his body facing left while wearing a white open-collared dress shirt
Barack Obama akitoa hotuba katika Chuo Kikuu cha Southern California katika kuunga mkono pendekezo kufadhili utafiti wa nishati mbadala


Kuhusu mazingira, Obama alipendekeza mpango wa mnada wa cap na biashara kupunguza kutolewa kwa gesi ya “carbon” na mpango wa miaka kumi wa uwekezaji katika vyanzo vipya vya kawi ili kupunguza kutegemewa kwa mafuta ya kununuliwa nje ya Amerika.[362] Obama alipendekeza kuwa malipo yanayotolewa kwa uchafuzi wa mazingira yanadiwe na kuhakikisha hayajapitishwa kwa vizazi vijavyo kwa kampuni za mafuta na gesi, na kutumiwa na serikali kwa mapato ya ustawi wa kawi pamoja na gharama za kufufuliwa kwa uchumi. [364]


Kuhusu maswala ya kigeni, Obama alianza zamani sana kupinga sera za serikali ya George W. Bush kuhusu Iraq.[366] Mnamo tarehe 2 Oktoba 2002, siku ya makubaliano kati ya Rais Bush na Bunge la Congress ya kufanya azimio la pamoja la kuruhusu Vita vya Iraq,[369] Obama alihutubia mkutano dhidi ya Vita vya Iraq, uliokuwa mkubwa zaidi kuandaliwa mjini Chicago[375] na kushutumu, vita hivyo.[377] Alihutubia mkutano mwingine wa kupinga vita ulioandaliwa mwezi wa Machi 2003 na kusisitiza kuwa vita "bado vinaweza kusimamishwa."[377]


Ingawa Obama alikuwa ametaja hapo awali kwamba aliyataka majeshi yote ya Amerika kutoka Iraq miezi 16 baada ya kuchukua hatamu za urais, alisema baada ya kuteuliwa kuwa angebadili au kuimarisha mipango yake kulingana na hali ilivyobadilika.[378] Mnamo Novemba 2006, alipendekeza "kuondolewa kwa majeshi ya Amerika kutoka Iraq kwa awamu kadhaa" na ufunguzi wa mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Amerika na Syria na vile vile Iran.[380] Katika hotuba aliyoitoa mwezi wa Machi 2007 kwa AIPAC,kundi la kushawishi kundi la ushawishi linaloiunga mkono Israel, alisema kuwa njia ya kwanza ya kuizuia Iran kujihami kinuklia ni kufuata mazungumzo na diplomasia, ingawaje hakutupilia mbali utumizi wa nguvu za kijeshi.[384] Obama ameeleza kuwa atajihusisha katika "diplomasia ya moja kwa moja ya ngazi ya rais" na Iran bila vikwazo.[384] Mnamo Agosti 2007, Obama alisema "lilikuwa kosa kubwa kukosa kuchukua hatua" mwaka 2005 wakati ilibainika kupitia kwa vyombo vya ujasusi vya Amerika kuwa viongozi wa mtandao wa al-Qaeda walikuwa wanakutana nchini Pakistan katika Maeneo ya Kikabila yanayosimamiwa Kitaifa. Alisema kuwa akiwa rais, hatakosa kutumia fursa kama hiyo hata bila ya kuungwa mkono na serikali ya Pakistan.[389]


Obama alisema kuwa akichaguliwa ataipunguza bajeti kwa mabilioni ya dola, ataacha kuwekeza katika mipango ya ulinzi dhidi ya kombora, iliyokuwa haijathibitishwa kuwa imara", kupunguza zana za kivita hewani, "kupunguza kasi ya kustawishwa kwa , Mipango ya Kivita ya siku za usoni" na kujaribu kuangamiza zana zote za kinuklia . Obama anaunga mkono kusimamishwa kwa ustawishaji zaidi wa zana za kinuklia, kupunguzwa kwa zana za kinuklia ilizo nazo Amerika, kutekeleza kuharamishwa kwa utengenezaji wa vifaa vilivyo na nguvu za kinuklia, na kutafuta mazungumzo na Urusi ili kupunguza mahitaji kwa nchi zote mbili kuweka katika hali ya tahadhari makombara yaliyo na uwezo wa kutumwa kutoka bara moja hadi nyingine.[391]


Obama ametaka kuwe na hatua kali za kupinga mauaji ya halaiki katika jimbo la Darfur nchini Sudan.[394] Amepunguza uwekezaji kwa dola 180,000 za kibinafsi katika hisa zilizo na uhusiano na Sudan, na ametaka kupunguzwa kwa uwekezaji kwa kampuni zinazofanya biashara nchini Iran.[397] Katika jarida la Foreign Affairs la Julai hadi Agosti 2007, Obama alitaka kuwe na sera za kigeni zinazotilia maanani maswala ya nje baada ya vita vya Iraq, na kulingana na maoni yake, kuanzisha upya kwa uongozi wa kivita, wa kidiplomasia, na wa kimaadili wa Amerika ulimwenguni. Akielezea kuwa "hatuwezi kujiondoa kutoka kwa jukwaa la kimataifa wala kuulazimisha ulimwengu kukubali uongozi wetu", aliwataka Waamerika "kuungoza ulimwengu kwa vitendo na kwa kuwa vielelezo.[399]


Akijibu swali katika utafiti mmoja mnamo mwaka wa 1998, Obama alitangaza wazi msimamo wake kuhusu uavyaji wa mimba kwa mujibu wa maoni ya chama cha Democratic: "Uavyaji wa mimba unafaa kuruhusiwa kisheria kwa mujibu wa matokeo ya kesi inayojulikana kama Roe v. Wade."[400]


Familia na maisha ya Obama

Barack and Michelle Obama, their children, and her mother, along with the Easter Bunny, on a balcony waving.
Barack Obama, pamoja na familia yake, wakitoa wimbi wakiwa Kusini Portico mwa Ikulu kwa wageni wanaohudhuria sherehe ya White House Easter Egg Roll.



Katika mahojiano wwa mwaka ya 2006, Obama alizungumzia uanuwai wa familia yake kubwa: "Ni kama mfano mdogo wa Umoja wa Mataifa", alisema. "Nina jamaa wanaofanana na Bernie Mac, na nina jamaa wanaofanana na Margaret Thatcher."[403] Obama ana ndugu wa kike na wa kiume saba nchini Kenya waliotoka kwa jamaa ya baba yake, sita kati yao wakiwa wangali hai, na vile vile dadake wa kambo waliyelelewa pamoja , Maya Soetoro-Ng, ambaye mamake alimzaa na mmewe wa pili aliyetoka Indonesia.[405] Marehemu mamake Obama alimwacha mamaye aliyezaliwa Kansas, Madelyn Dunham[408] aliyeaga dunia tarehe 2 Novemba 2008[410] siku mbili tu kabla ya kuchaguliwa kwake Obama kuwa Rais. Katika kitabu chake Dreams from my Father, Obama anaihusisha historia ya familia ya mamake na mababu waliokuwa Waamerika wa kiasili na kuwa wao wana uhusiano wa mbali wa kifamilia na Jefferson Davis Confederate Rais wa Muungano wa Nchi za Amerika wakati wa Vita vya Ndani kwa Ndani vya Amerika.[414] Kakake babuye Obama alikuwa mpiganaji katika Divisheni ya 89 ya jeshi iliyonyakua Ohrdruf,[416] kambi ya kwanza ya Wanazi za Ujerumani kukombolewa na majeshi ya Amerika wakati wa Vita vya pili vya Dunia.[418]


Wakati wa ujana wake Obama alijulikana kama "Barry", lakini alipokuwa chuo kikuu akasisitiza aitwe kwa jina alilopewa na wazazi wake.[420] Obama huzungumza Kiingereza, lugha yake ya kiasiili, pamoja na Kiindonesia anachokitumia kuzungumza na watu na alichojifunza utotoni mwake walipoishi Jakarta kwa miaka minne.[421] Yeye hucheza mpira wa vikapu, mchezo alioucheza akiwa kwenye timu ya wachezaji bora wa shule ya upili.[424]


Obama holding a basketball above his head in midair while four other players look at him. He looks toward the camera over his right shoulder.
Obama akicheza mceao wa kapu na wanajeshi wa Marekani katika kambi ya Lemonier, Djibouti mwaka 2006 &lt;ref&gt; [413] &lt;/ ref&gt;


Mwezi wa Juni 1989, Obama alikutana na Michelle Robinson alipokuwa akifanya kazi wakati wa msimu wa kiangazi kama msaidizi katika kampuni ya wanasheria ya Sidley Austin.[427] Robinson, aliyekuwa amepewa jukumu la kumpa mawaidha Obama kwa muda wa miezi mitatu katika kampuni hiyo, alikuwa akiandamana naye katika hafla za watu wengi, lakini alikataa maombi yake ya kwanza ya kuwa rafiki.[428] Katikati ya mwaka huo walikuwa marafiki na wakuwa wachumba mnamo mwaka wa 1991, na hatimaye wakafunga ndoa tarehe 3 Oktoba 1992.[430] Binti wao wa kwanza, Malia Ann, alizaliwa tarehe 4 Julai mwaka wa 1998[432] na kufuatwa na binti wa pili, Natasha ("Sasha"), aliyezaliwa tarehe 10 Juni mwaka wa 2001[434] Mabinti wa Obama walikuwa wanafunzi wa Shule ya Matayarisho ya Chuo Kikuu cha Chicago, iliyo ya kibinafsi. Walipohamia Washington D.C. mnamo mwezi wa Januari 2009, wasichana walijiunga na Shule ya Sidwell Friends ,ambayo ni shule ya kibinafsi vile vile.[435]


Mnamo mwaka wa 2005, mapato yaliyotokana na kandarasi ya uandishi yaliwezesha jamaa ya Obama kuhamia nyumba katika mtaa wa Kenwood , Chigao iliyogharimu dola milioni 1.6 na inayopakana na walipokuwa wakiishi kwa mtaa wa Hyde Park, mjini Chicago.[437] Mkewe Tony Rezko aliyekuwa mwendelezaji ardhi, rafiki na mfadhili wa kampeni ya Obama, alinunua kipande cha ardhi kilichokuwa karibu na nyumba yao na kumuuzia Obama sehemu ya ardhi hiyo. Uhusiano huu wa kibiashara ulizua utata kwenye vyombo vya habari kufuatia kupatwa na hatia na kuhukumiwa kwa Rezko kwa madai ya ufisadi wa kisiasa ambayo hayakumhusu Obama.[438]


Mnamo Desemba 2007, Money magazine inakadiriwa familia ya Obama wavu thamani ya dola milioni 1.3.[441] Taarifa zao za malipo ya kodi, mwaka wa 2007, yalionyesha mapata yao ya kwa pamoja kuwa dola milioni 4.2 — hii ikiwa ongezeko kutoka dola milioni moja mwaka wa 2006 na dola milioni 1.6 mwaka wa 2005 — hasa kutokana na mauzo ya vitabu vyake.[443]


Obama ni Mkristo aliyekuza imani yake ya kidini akiwa mtu mzima. Katika kitabu chake The Audacity of Hope, Obama aliandika kuwa "hakulelewa katika familia iliyofuata dini". Akiandika kuhusu mamake, aliyelelewa na wazazi wakosa dini (ambao Obama amewaelezea kwingineko kama Wamethodisti na Wabaptisti wasiofuata mafunzo ya dini zao) Obama anasema alikuwa amejitenga na dini ilhali "kwa watu wote aliopata kuwafahamu alikuwa kwa zaidi ya njia moja mtu aliye na mwamko mkubwa sana wa kiroho". Kuhusu babake, anasema kuwa "alilelewa Mwislamu", lakini alikuwa Kafiri" aliyetambulika” wazazi wake walipokutana, na kuongeza kuhusu babake wa kambo kuwa "alikuwa mtu aliyeiona dini kama jambo lisilo la faida yoyote ". Obama alielezea jinsi vile , kwa kufanya kazi na makanisa ya jamii ya watu weusi kama mhamasishi wa jamii akiwa na umri wa miaka ishirini hivi, alielewa "nguvu zilizo katika utamaduni wa kidini wa Waamerika wenye asili ya Kiafrika zinazoweza kuchangia mabadiliko ya kijamii.[444] Alibatizwa katika Kanisa la Trinity United Church of Christ mnamo mwaka wa 1988 na akawa mwanachama hai kwa muda wa miongo miwili.[445] Obama alijiuzulu kutoka kanisa la Trinity wakati wa kampeni za Urais kufuatia mahubiri ya kuzuia utata yaliyotolewa na Mchunganji Jeremiah Wright kupeperushwa na vyombo vya habari.[447]


Obama amejaribu kuacha kuvuta sigara mara kadhaa,[448] na ameahidi kutovuta sigara katika ikulu ya White House.[450]


Taswira ya kitamaduni na kisiasa

Group portrait of five presidential men in dark suits and ties
Rais George W. Bush waliwaalikwa -Rais mteule kwa wakti huo , Barack Obama na Marais wa zamani George HW Bush, Bill Clinton, na Jimmy Carter katika mkutano kwenye ofisi ya Oval mwezi wa Januari 7, 2009.


Historia ya familia ya Obama, maisha yake ya utotoni na kulelewa kwake, na hata elimu yake ya Ivy League yanatofautiana pakubwa na maisha ya wanasiasa Waamerika wenye asili ya Kiafrika walianzisha maisha yao za kisiasa miaka ya 1960 wakishiriki katika harakati za kutetea haki za kijamii."[454] Akielezea mshangao wake alipoulizwa kama yeye ni "mweusi vya kutosha", Obama aliuambia mkutano wa Chama cha Kitaifa cha Wanahabari Weusi mnamo mwezi wa Agosti 2007 kuwa "bado tumekwama kwenye dhana kuwa Wazungu wakikupenda basi kuna kasoro fulani.[456] Obama alijivunia sura yake ya ujana katika hotuba ya kampeni aliyoitoa mnamo mwezi wa Oktoba 2007, aliposema: "Nisingelikuwa hapa kama, kwa mara nyingine, mwenge haungepitishwa kwa kwa kizazi kipya."[459]


Obama inatoa anwani wiki yake ya kwanza kama Rais wa Marekani, kujadili na Reinvestment American Recovery Act of 2009.


Obama anaelezewa mara kwa mara kama mzungumzaji hodari mwenye kipawa.[460] Muda mfupi kabla ya kuapishwa na alipokuwa akingojea kuchukua uongozi na hadi alipochukua hatamu za urais, Obama ametoa msururo wa hotuba kila wiki kupitia kwa vidio zilizohifadhiwa kwenye mtandao wa Inteneti[202] zilizokaribia [461] mazungumzo kando ya moto yaliyovuma aliyoyafanya Franklin D. Roosevelt kuelezea sera zake na hatua alizozichukua.[463]


Kwa mujibu wa Kura ya maoni ya Kila Siku ya Gallup Poll, umaarufu wa Obama ulikuwa wa katikati ya siku 100 katika za kwanza baada ya kuwa raisi katika fungu la kumi la asilimia 60, ikiwa ni kati ya asilimia 59% na 69%.[464] Kutoka mwishoni Agosti kupitia Novemba 2009, idhini yake ilikuwa karibu 53% [12] ikipungua chini ya 50% kwa mara ya kwanza ya Novemba 17-19 Gallup matokeo ya kila siku. [13] [14] [15]


Umaarufu wa Obama katika ngazi ya kimataifa umeelezewa kuwa jambo la kina katika jinsi anavyotazamwa na umma.[470] Kura za maoni zinaonyesha kuungwa mkono kwa Obama katika nchi za kigeni.[477] Amewahi kufanya mikatano na watu mashuhuri katika ngazi ya kimataifa kama vile aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza Tony Blair[474] Kiongonzi wa Chama cha Democratic cha Italia na aliyekuwa Meya wa Jiji la Roma Walter Veltroni[476] pamoja naye Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy.[478]


Kulingana na kura ya maoni iliyofanywa na kampuni ya Harris Interactive kwa niaba ya runinga ya France 24 na gazeti la International Herald Tribune, mnamo mwezi wa Mei 2009, Obama aliorodheshwa kama kiongozi wa ulimwengu aliye na umaarufu zaidi na vile vile mtu wa kipekee anayetumainiwa na watu wengi zaidi kuukwamua ulimwengu kutokana na uchumi uliodorora.[479]


Obama alishinda Tuzo la Grammy la Rekodi ya Hotuba Bora kwa nakala fupi za vitabu vyenye rekodi za kusikiza za kitabu chake Dreams from my Father mwezi wa Februari mwaka wa 2006 na rekodi ya kile cha The Audacity of Hope mwezi wa Februari mwaka wa 2008.[481] Hotuba yake ya "Yes We Can" ambayo watunzi walitumia kujitungia nyimbo, ilitazamwa katika mwezi wake wa kwanza na watu milioni 10 katika mtandao wa YouTube[483] na ikatuzwa "Daytime Emmy Award."[485] Mnamo Desemba 2008, gazeti la Time lilimpa Barack Obama taji la Mtu Mashuhuri zaidi wa mwaka kwa kuandika historia kufuatia kuwania na kuchaguliwa kuwa rais, lililoeleza kama "msururu wa matokeo mazuri ambayo hayakutarajiwa kutimika."[487]


Tuzo la Amani ya Nobel

Tarehe 9 Oktoba, 2009 Kamati ya Nobel ya Norway ilimtangaza Obama kuwa mshindi wa Tuzo la Amani la Nobel la mwaka wa 2009 "kwa jitihada za kipekee alizozifanya kuimarisha diplomasia ya kimataifa na ushirikiano kati ya mataifa".[490] Wakifafanua kwa njia ya mifano iliyopelekea kutuzwa huko, Kamati ya Kutoa Tuzo za Nobel ilitilia mkazo jitihada zake za kutetea wito wa kutojihami na zana za kinuklia (hasa nchini Iran),[492] na kuimarishwa kwa "mazingara mapya" katika uhusiano wa kimataifa, hasa katika kuukaribia ulimwengu wa Kiislamu.[494]


Obama ni rais wa nne wa Amerika kupokea Tuzo ya Amani ya Nobel. Yeye ni wa tatu kuwa mshindi wa tuzo hilo la Nobel akiwa anashikilia hatamu za uongozi, na ni wa kwanza kutuzwa katika mwaka wake wa kwanza wa urais.[497] Wanachama wa Kamati ya Kutoa Tuzo la Nobel walisema kuwa kutolewa kwa tuzo hilo kunaweza kutazamwa kama kura ya imani kwa kazi anayotazamiwa kufanya ya kutafuta kuungwa mkono kimataifa kwa sera za serikali yake mpya.[499] Tuzo hiyo iliwashangaza wengi, akiwemo Obama mwenyewe.[501] Tuzo hili lilizua mchanganyiko wa sifa na shutuma za viongozi wa ulimwenguni na wataalamu wa habari.[503][504] Wanachama wa kamati ya kutoa tuzo waliutetea uamuzi wao dhidi ya shutuma kuwa wakati wa tuzo hiyo haukuwa umewadia.[505]


Mfumo

  1. "President Barack Obama". The White House. Iliwekwa mnamo Desemba 12, 2008.
  2. 2.0 2.1 "Certification of Live Birth for Barack Obama". Department of Health, Hawaii. Agosti 8, 1961. Iliwekwa mnamo Desemba 12, 2008. {{cite web}}: Unknown parameter |worker= ignored (help)
  3. "American President: Barack Obama". Miller Center of Public Affairs at the University of Virginia. Iliwekwa mnamo Januari 23, 2009.
  4. .. "Star Power. Showtime: Some are on the rise; others have long been fixtures in the firmament. A galaxy of bright Democratic lights", Newsweek, August 2, 2004, pp. 48–51. Retrieved on November 15, 2008. 
  5. Mpya Consensus anayaona kichocheo Package kama anastahili Hatua
  6. Too Little ya jambo zuri
  7. Peter S. Goodman. "U.S. Unemployment Rate Hits 10.2%, Highest in 26 Years", New York Times, November 6, 2009. 
  8. http://www.nytimes.com/2009/11/07/business/economy/07econ.html?_r=1&em
  9. http://www.npr.org/blogs/thetwo-way/2009/11/obama_china_afghanistan_recess.html
  10. http://www.google.com/hostednews/ap/article/ALeqM5g8-DEMtAE9q4i4ySQ0eV_qZefmRQD9C21N7G2
  11. Hulse, Carl (11-7-09). "Sweeping Health Care Plan Passes House" (kwa English). The New York Times. Iliwekwa mnamo 2009-11-08. {{cite web}}: Check date values in: |date= (help); Unknown parameter |coauthors= ignored (|author= suggested) (help)CS1 maint: unrecognized language (link)
  12. http://www.pollster.com/polls/us/jobapproval-obama.php?xml=/flashcharts/content/xml/Obama44JobApproval.xml&choices=Approve, Disapprove & simu = Gallup & ivr = 0 & Internet = 0 & mail = & smoothing = & from_date = 2009/08/20 & to_date = 2009/11/01 & min_pct = & max_pct = & gridi = & pointi = & mwenendo = & mistari =
  13. [455] ^ LA Times: Obama's Job approval rating falls to new low
  14. Gallup Daily.
  15. http://www.gallup.com/poll/122627/Obama-Job-Approval-Down-49.aspx

Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "Kansas" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "Juris Doctor" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "ranked tenth" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "transition period" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "Democratic primary" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "nuclear terrorism" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "Forty" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "future" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "margin" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "Kenyan" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "allocation" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "presumptive" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "delegates" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "acceptance" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "small donations" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "presidential debates" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "electoral votes" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "direct assistance" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "markets opened" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "preceding administration" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "Middle East peace" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "counterinsurgency tactics" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "spoke out" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "stop the war" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "without preconditions" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "in Jakarta" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "corruption charges" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "social change" defined in <references> is not used in prior text.
Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "two decades" defined in <references> is not used in prior text.

Hitilafu ya kutaja: <ref> tag with name "exceptional orator" defined in <references> is not used in prior text.


Marejeleo


Masomo zaidi

  • Curry, Jessica. "Barack Obama:Under the Lights", Chicago Life, Fall 2004. Tarehe 14 Januari , 2008.
  • Graff, Garrett. "The Legend wa Barack Obama", Washingtonian, 1 Novemba 2006. Tarehe 14 Januari , 2008.
  • Koltun, Dave (2005) "The 2004 Illinois Senate Race: Obama Wins Open Seat and Becomes National Political “Star”" in"The Road to Congress 2004" Wahariri: Sunil Ahuja (Youngstown State University) na Robert Dewhirst (Truman State University) , Nova Sayansi Publishers, Haupauge, New York, Binding: Hardcover Pub. Date: 2005, ISBN 1-59454-360-7
  • Lizza, Ryan. "Above the Fray", GQ, Septemba 2007. Tarehe 14 Januari , 2008.
  • MacFarquhar, Larissa. "The Conciliator: Where is Barack Obama Coming from?", New Yorker, Mei 7, 2007. Tarehe 14 Januari , 2008.
  • Mundy, Liza. "A Series of Fortunate Events ", The Washington Post Magazine, August 12, 2007. Tarehe 14 Januari , 2008.
  • Wallace-Wells, Ben. "Destiny's Child", Rolling Stone, February 7 2007. Tarehe 14 Januari , 2008.
  • Zutter, Hank De. "What Makes Obama Run?", Chicago Reader , 8 Desemba 1995. Tarehe 14 Januari , 2008.


Viungo vya nje

Jua habari zaidi kuhusu Obama kwa kutafuta kupitia mradi wa Wikipedia Sister
Uchambuzi wa kamusi kutoka Wikamusi
Vitabu kutoka Wikitabu
Dondoo kutoka Wikidondoa
Matini za vyanzo kutoka Wikichanzo
Picha na media kutoka Commons
Habari kutoka Wikihabari
Vyanzo vya elimu kutoka Wikichuo


Mitandao rasmi



Orodha za mitandao


Ripoti za vyombo vya habari



Mitandao ya Bunge la Congress



Kigezo:Barack Obama/succession Kigezo:Barack Obama

}} Kigezo:Current G20 Leaders Kigezo:Current APEC Leaders Kigezo:Organization of American States Leaders Kigezo:United States presidential election, 2008 Kigezo:USDemPresNominees Kigezo:USSenIL Kigezo:Nobel Peace Prize Laureates 2001-2025 Kigezo:2009 Nobel Prize Winners Kigezo:Time Persons of the Year 2001–2025



Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA ak:Ɔbenem