Ziwa Mwananyamala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ziwa Mwananyamala ni kati ya maziwa madogo ya Tanzania.

Lilipatikana katika mkoa wa Dar es Salaam. Kwa sasa limepotea kutokana na makazi ya watu kujengwa katika eneo hilo na hivyo kupelekea maji yaliyokuwa yanakusanyika hapo kuathiri maeneo mengine, hasa kwenye mkondo wa maji Jangwani.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]