Nenda kwa yaliyomo

Wizara ya Miundombinu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wizara ya Miundombinu (Kiingereza: Ministry of Infrastructure Development) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.

Kazi yake ni kupanga na kusimami maendeleo ya miundombinu nchini.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Miundombinu Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.