Wandrili

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Wandrili katika dirisha la kioo cha rangi la kanisa la Clichy.

Wandrili (pia: Wandregisel; Verdun, 605 - 22 Julai 668) alikuwa afisa katika ikulu ya mfalme Dagoberti I hadi mwaka 629 alipojifanya mmonaki chini ya Balderiki kisha kukubaliana na mke wake.

Baadaye akaishi upwekeni akaanza kufuata kanuni ya Mt. Kolumbani. Mwisho alipewa upadrisho na askofu Dado akaanzisha msituni monasteri ya aina hiyo, akaiongoza kama abati hadi kifo chake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka siku ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Miracula Sancti Wandregisili abbatis Fontanellensis. In Acta Sanctorum 32 (July 5). Paris: Victor Palmé, 1868. 281–91.
  • Translatio Sancti Wandregisili in montem Blandinium In Acta Sanctorum 32 (July 5). 291–302.
  • Vita Sancti Wandregisili abbatis Fontanellensis I . In Acta Sanctorum 32 (July 5). 265–71.
  • Vita Sancti Wandregisili abbatis Fontanellensis II. In Acta Sanctorum 32 (July 5). 272–81.
  • Vita Wandregiseli abbatis Fontanellensis, ed. B. Krusch. In Passiones vitaeque sanctorum aevi Merovingici 3, ed. Wilhelm Levison, 1-24. MGH SS rer. Merov. 5. Hanover, 1910. 1-24. Available from the Digital MGH.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.