Vladivostok

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Vladivostok (Kirusi: Владивосток) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 594.701. Iko katika mkoa wa Primorskiy Krai.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Vladivostok kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.