Ufa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ufa

Ufa (Kirusi: Уфа) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 1,042,437. Iko katika mkoa wa Bashkortostan.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ufa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.