Novosibirsk

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Novosibirsk

Novosibirsk (Kirusi: Новосибирск) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 1,425,508. Iko katika mkoa wa Novosibirsk Oblast.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Novosibirsk kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.