Velikiy Novgorod

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Velikiy Novgorod

Velikiy Novgorod (Kirusi: Великий Новгород) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 221.954. Iko katika mkoa wa Novgorod Oblast.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Katika Zama za Kati, jiji hilo lilikuwa mji mkuu wa Jamhuri ya Novgorod.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Velikiy Novgorod kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.