Samsoni wa Konstantinopoli
Mandhari

Samsoni wa Konstantinopoli (kwa Kigiriki: Σαμψὼν ὁ φιλόξενος, Sampsón ho philóxenos; alizaliwa Roma, Italia akafariki Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 530 hivi) alikuwa daktari aliyepata umaarufu kwa huduma yake hata akapewa upadirisho.
Baada ya kumponya kaisari Justiniani I alimuomba kama shukrani amjengee hospitali kwa ajili ya maskini ambayo ilitoa huduma kubwa kwa miaka 600 baadaye[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi, Wakatoliki na Waanglikana kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Sampson the Hospitable Ilihifadhiwa 24 Januari 2022 kwenye Wayback Machine.
- Orthodox Calendar – Sampson the Hospitable
- Reconstruction of the Hospital of Sampson in Istanbul
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |