Melesi wa Antiokia
Mandhari

Melesi wa Antiokia (Malatya, Armenia ya Kale, karne ya 3 au karne ya 4 - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 381) alikuwa askofu mkuu wa Antiokia, leo nchini Uturuki, kuanzia mwaka 360 hadi kifo chake, ingawa alifukuzwa mara tatu na makaisari waliounga mkono Uario[1].
Alifariki akiwa anasimamia mtaguso wa kwanza wa Konstantinopoli.
Gregori wa Nisa na Yohane Krisostomo walimsifu sana kwa maadili yake.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kwenye 12 Februari[2][3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/92499
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Cross, F. L.; Livingstone, E. A., whr. (2009) [2005]. "Melitius, St". The Oxford Dictionary of the Christian Church (tol. la 3rd rev.). Oxford University Press.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Cavallera, F. Le Schisme de Mélèce. Paris: Picard, 1906.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |