Abidjan : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Replacing Le_Transport_Lagunaire_à_Abidjan_(STL)_réalisé_par_Bouba_Kam's.webm with File:Le_Transport_Lagunaire_à_Abidjan_(STL)_réalisé_par_Bouba_Kams.webm (by CommonsDelinker because: File renamed:).
Rescuing 1 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.8
Mstari 38: Mstari 38:
== Viungo vya nje ==
== Viungo vya nje ==
{{Commons}}
{{Commons}}
* [http://www.district.abidjan.org/ Tovuti rasmi]
* [http://www.district.abidjan.org/ Tovuti rasmi]{{Dead link|date=January 2021 |bot=InternetArchiveBot |fix-attempted=yes }}
* [http://abidjan.ci.site.voila.fr Photos from Abidjan]
* [http://abidjan.ci.site.voila.fr Photos from Abidjan]
* [http://www.fotopaises.com/fotos/Costa_de_Marfil/CI.html More photos]
* [http://www.fotopaises.com/fotos/Costa_de_Marfil/CI.html More photos]
* [http://ivorycoast.site.voila.fr Akwaba in Ivory Coast]
* [http://ivorycoast.site.voila.fr Akwaba in Ivory Coast]
* [http://www.izf.net/izf/documentation/cartes/centreVille/abidjan.htm Map of Abidjan]
* [http://www.izf.net/izf/documentation/cartes/centreVille/abidjan.htm Map of Abidjan] {{Wayback|url=http://www.izf.net/izf/documentation/cartes/centreVille/abidjan.htm |date=20041108091425 }}


{{mbegu-jio-Afrika}}
{{mbegu-jio-Afrika}}

Pitio la 18:54, 15 Januari 2021


Jiji la Abidjan
Nchi Cote d'Ivoire
Mkoa Lagunes
Wilaya Wilaya
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 4,707,000
Tovuti:  www.district.abidjan.org

Abidjan ndio mji mkubwa zaidi nchini Cote d'Ivoire pia ni bandari kuu ya nchi kwenye Ghuba ya Guinea ya bahari ya Atlantiki. Abidjan haiko baharini moja kwa moja lakini kwenye wangwa ya Ebrie inayotengwa na bahari kwa kanda nyembamba ya mchanga.

Ilikuwa pia mji mkuu rasmi tangu mwaka 1934 hadi 1983. Kwa sasa imetambulika rasmi kama mji mkuu kiuchumi na bado ofisi nyingi za serikali na balozi za nchi nyingine ziko Abidjan.

Abidjan imekua haraka kuanzia wakazi 65,000 mwaka 1950 hadi 4,707,000 mwaka 2014.[1]

Kuna viwanda vya ngozi, nguo, vyakula na mafuta.

Usafiri jijini Abidjan.
Eneo la Plateau na wangwa wakati wa usiku.

Historia

Abidjan ilikuwa kijiji tu hadi mwaka 1904. Wakati ule iliteuliwa kuwa mwanzo wa reli ya kuelekea bara. Reli ilianzishwa huko kwa sababu ng'ambo ya wangwa ilikuwepo bandari ndogo ya Port-Bouët. Tangu reli kujengwa Abidjan ilikua haraka. Mwaka 1934 ilitangazwa kuwa mji mkuu wa koloni la Ufaransa la Cote d'Ivoire.

Mwaka 1950 mfereji wa Vridi ulikata kanda la mchanga na kufungua wangwa kwa meli kutoka bahari; wangwa ikawa bandari kubwa yenye usalama mzuri kwa meli, na Abidjan ikawa mji wa bandari iliyosababisha kukua kwa uchumi na kuongezeka kwa watu.

Abidjan kuna chuo kikuu tangu mwaka 1964.

Wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe miaka 2002-2007, na hasa 2010-2011 hali ya usalama mjini ilipungua sana.

Marejeo

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Abidjan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.