Leo Ignas Mangin
Jump to navigation
Jump to search
Picha yake halisi.
Leo Ignas Mangin, S.J. (Verny, Ufaransa, 30 Julai 1857 - Zhujihae 20 Julai 1900) alikuwa padri wa Ufaransa mmisionari nchini China aliyefia Ukristo huko wakati wa Uasi wa Waboksa.
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 mwaka 2000.
Sikukuu yao ya pamoja huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake tarehe 20 Julai.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Wafiadini wa China
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
![]() |
Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Leo Ignas Mangin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |