Nenda kwa yaliyomo

Eneo bunge la Nyakach

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi

Eneo bunge la Nyakach ni Jimbo la uchaguzi la Kenya linalopatikana katika Kaunti ya Kisumu. Jimbo hili lina Wadi tisa, zote zikiwatuma madiwani katika Baraza la mtaa Nyando County.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi mkuu wa 1966, wakati lilitawanywa kutoka Jimbo la Uchaguzi la Nyando [1].

Uchaguzi Mbunge [2] Chama Vidokezo
1966M. Ondieki -ChilloKANU
1969James Dennis AkumuKANUMfumo wa Chama Kimoja
1974Samson OdoyoKANUMfumo wa Chama Kimoja
1979Ojwang K’OmbudoKANUMfumo wa Chama Kimoja
1983Ojwang K’OmbudoKANUMfumo wa Chama Kimoja
1988Ojwang K’OmbudoKANUMfumo wa Chama Kimoja
1992James Dennis AkumuFord-K
1997Peter Ochieng OdoyoNDP
2002Peter Ochieng OdoyoNARC
2007Pollyins Ochieng AnyangoODM
Wodi
Wodi Wapigakura
Waliojiandikisha
Central Nyakach / Nyalunya5,031
East Nyakach2,270
North East Nyakach4,749
North Nyakach / Rang'ul4,079
Pap Onditi5,377
Sigoti3,789
South Nyakach5,776
South West Nyakach5,850
Thurdibuoro / West Nyakach8,764
Jumla45,685
*Septemba 2005 [3].

Tazama Pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Nyando Constituency: About Nyando Constituency Ilihifadhiwa 2 Machi 2011 kwenye Wayback Machine.
  2. Center for Multiparty Democracy: Politics and Parliamenterians in Kenya 1944-2007 Ilihifadhiwa 28 Februari 2008 kwenye Wayback Machine.
  3. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]