Eneo bunge la Kajiado Kaskazini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Kajiado Kaskazini ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo matano ya Kaunti ya Kajiado. Eneo lote la jimbo hili liko katika Baraza la Olkejuado county.

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 1966.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Mwaka wa Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo zaidi
1966 G. K. ole Kipury KANU
1969 John Keen KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1974 John Keen KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1979 John Keen KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1983 Philip Odupoy KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1988 George Saitoti KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 George Saitoti KANU
1997 George Saitoti KANU
2002 George Saitoti KANU
2007 George Saitoti PNU

Lolesheni na Wodi[hariri | hariri chanzo]

Lokesheni
Jina la Lokesheni Idadi ya Wakazi*
Central Keekonyokie 12,547
Isinya 8,178
Kiserian 22,635
Kitenkela 23,770
Magadi 6,303
Mosiro 4,426
Nkaimoronya 50,221
Ngong 22,065
North Keekonyokie 16,962
Oldonyo Nyoike 3,391
Olkiramatian 10,187
Oloolua 24,647
Ongata Rongai 33,151
Olturoto 6,864
Shompole 7,678
South Keekonyokie 18,570
Jumla x
1999 census.
Wodi za Udiwani
Wodi Wapiga Kura Waliojiandikisha
Central Keekonyokie 3,285
Kaputei North 4,706
Kiserian 6,226
Kitengela 6,631
Magadi 2,812
Mosiro 1,374
Ngong 8,176
Nkai-Murunya 11,855
North Keekonyokie 5,172
Olkiramatian 1,991
Oloolua 6,717
Ongata rongai 9,343
Shompole 1,877
South Keekonyokie 4,163
Total 74,328
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]