Eneo bunge la Kaiti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Jimbo la Uchaguzi la Kaiti)

Eneo bunge la Kaiti ni mojawapo ya majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Kaunti ya Makueni, Mashariki mwa Kenya miongoni mwa majimbo sita katika kaunti hiyo.

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi Mkuu wa 1997.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1997 Gideon Musyoka Ndambuki KANU
2002 Gideon Musyoka Ndambuki KANU
2007 Gideon Musyoka Ndambuki ODM-Kenya

Kata na Wodi[hariri | hariri chanzo]

Kata
Kata Idadi ya Watu*
Ilima 22,311
Kee 14,760
Kikolo 21,805
Kilala 18,846
Kilungu 8,955
Okia 22,484
Kithembe 18,292
Watema 11,046
Jumla x
Wodi
Wodi Wapiga Kura waliojisajili Utawala wa Mitaa
Kaumoni 4,395 Wote (Mji)
Kilungu / Ilima 9,117 Makueni county
Kithembe / Kikoko 13,209 Makueni county
Ukia / Iuani 10,030 Makueni county
Watema / Kee / Kivani 8,507 Makueni county
Jumla 45,258
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]