Eneo bunge la Changamwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Changamwe ni mojawapo ya Majimbo 290 ya Uchaguzi nchini Kenya. Jimbo hili linapatikana katika Kaunti ya Mombasa, likiwa miongoni mwa majimbo sita ya kaunti hiyo. Jimbo hili lina wodi nane na zote huchagua madiwani kwa baraza la munisipali ya Mombasa.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Jimbo hili lilianzishwa wakati wa Uchaguzi wa 1969.

Wabunge[hariri | hariri chanzo]

Uchaguzi Mbunge [1] Chama Vidokezo
1969 David M. Kioko KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1974 Ferdinard Mwaro KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1979 David M. Kioko KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1983 Joseph Kennedy Kiliku KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1988 Joseph Kennedy Kiliku KANU Mfumo wa Chama Kimoja
1992 Joseph Kennedy Kiliku KANU
1997 Ramadhan Seif Kajembe KANU
2002 Ramadhan Seif Kajembe NARC
2007 Ramadhan Seif Kajembe ODM

Kata[hariri | hariri chanzo]

Kata
Kata Wapiga Kura waliojiandikisha
Changamwe 15,887
Jomvu Kuu 8,457
Kipevu 11,920
Mikindani 11,718
Miritini 7,903
Port Reitz 14,980
Tudor Estate 7,166
Tudor Four 9,228
Jumla 87,259
*Septemba 2005 [2].

Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]